Walisema sisi ni washamba.
Tukaacha ngozi zetu, tukavaa suti.
Tukaacha ngoma, tukavaa saxophone.
Tukaacha majina yetu, tukaitwa Yohana wa Pili.
Ajabu leo Wamasai, Wahamer, na BaTwa waliobaki washamba ndiyo kivutio cha dunia.
Mungu mmoja alitoka Asia,
akapita Ulaya,
akaruka Mediteranea,
akaruka...