waislamu

The National Muslim Council of Tanzania is an Islamic organisation based in Tanzania. It is well known by its Swahili acronym BAKWATA.
BAKWATA is a well-established faith-based Islamic organisation registered since 1968. The Council has branch offices all over Tanzania with a network from the national to grassroots level with 22 regional and 169 district offices served by over 3000 sheikhs.Around 10,800 mosques run under its co-ordination. It owns around 40 acres of land in
each of its 22 regions and it has 32 secondary schools, two teachers’ colleges, 30
theological colleges, and a radio station and support numerous madras schools.

From the
late 1990s, BAKWATA has organised and facilitated training for its Muslim scholars on
environmental issues.
Ongoing work on environmental issues includes: environmental education for madras
pupils in 10 coastal districts, environmental education and management clubs in 10
secondary schools owned by BAKWATA and spreading the use of environmental
theological materials in religious ceremonies and sermons on Friday prayers for more
than 80 imams and sheikhs throughout Tanzania.
from 2016 BAKWATA is Offering free education under Mufti Office. this special knowledge is offered to Islamic Imams and Qur an Teacher In Several Centers in different region
the course is aimed to empower them in computer and information Technology and conflict arbitration

the headquarter of BAKWATA is in Kinondoni shamba area, Kinondoni district, Dar es salaam Region

View More On Wikipedia.org
  1. ERTUGRUL BEY

    Siri ya Waislamu kuwa na Amani kuliko watu wengine hapa duniani

    My people, Kwa Nini Waislamu Huishi Kwa Amani: Imani ya Kuamini Mtoa Riziki ni Allah na Kadari Iliyokwisha Andikwa Moja ya nguzo kuu zinazowatofautisha Waislamu katika mtazamo wa maisha ni amani ya ndani wanayoilea mioyoni mwao. Amani hii haiji kwa bahati, wala haitokani na wingi wa mali au...
  2. Yoda

    Kwanini masheikh wa Iran hawawakemei Waislamu wafanya maandamano?

    Iran kuna Baraza la maulamaa la Ayatollah linaloitwa Guardian Council na masheikh viongozi mbalimbali wa kidini ila mpaka sasa hakuna masheikh wowote waliothubutu kujitokeza kuwasomea watu vifungu vya Quran na Biblia kuwasisitiza Uislamu ni dini ya amani na kwamba amani ni muhimu zaidi ya Haki...
  3. Pakome

    Sielewi na wala sijui wanachogombania Wakristo na Waislamu

    Nadhani ni ukosefu wa uelewa Sielewi wanachogombania Wakristo na Waislamu ni kitu gani Kila siku kelele za Waislamu wamefanya hivi mara Wakristo wamefanya vile Tofauti ya hizi Dini ni Lugha na Utamaduni Zote zipo ndani ya dunia moja sijaona dunia mbili Mwenye hii dunia ni mmoja Dini hizi...
  4. Mhaya

    Wakristo ndio watu pekee wanaoweza kuwavumilia Waislamu?

    Hivi karibuni kumekuwa na matamko mengi kutoka kwa Viongozi na watu wanaoaminika kuwa Waislamu wakirusha video clip zao zenye kutoa maneno yenye viashiria vya ubaguzi na vijembe vya kudhihaki kwenda kwa wakristo. Nimefanya Tafiti (Observetional) yangu duniani kote, nikagundua wakristo ndio...
  5. kavulata

    Ilikuwaje marais wetu wote wakawa wakatoliki na waislamu tu?

    Baada ya machafuko ya Octoba 29 ndiyo nikagundua kuwa kumbe tangu nchi ipate uhuru marais wote wa Tanzania walikuwa ni Wakatoliki na waislamu. Hii iliwezekana vipi, ni bahati mbaya tu au imeandikwa pahala kama makubaliano? Je, itakuwa hivi hadi lini?
  6. Yoda

    Masheikh wanaokataza waumini wao Waislamu kusherehekea Christmas katika nchi kama Tanzania hawafikiri vyema na wana matatizo.

    Sikukuu ya Christmas mwaka huu imekuja na jambo la ajabu na la hovyo sana la masheikh wengi kuharamisha katika umma kupitia vyombo vya habari kwa ukubwa sana waumini wa Kiislamu kutoshiriki Christmas na Wakristo, hawa masheikh kwa vyovyote vile sidhani kama wanaelewa wanachokifanya na kwa hakika...
  7. fimboyaukwaju

    Ushirikiano baina ya wakristo na waislamu ni muhimu kuliko hata vyama vya siasa

    Ni bora pasiwepo na vyama vya siasa lakini ukawapo ushirikiano wa dhati baina ya waislamu na wakristo kwani kila siku,tunashirikiana kwenye mambo mengi mno.Angalia baadhi ya mambo tunayoshirikiana japo kwa uchache: 1.Kuzikana 2.Kusafiri pamoja 3.Kufanya biashara 4.Kufanya ngono 5.Kucheza michezo...
  8. Mhaya

    Sheikh: BAKWATA sio ya Waislamu wote ni ya Wasunni tu

    Sheikh ponda atoa maelezo kuwa Bakwata sio kwa ajili ya kila Muislamu bali ni ya Wasunni tu https://www.instagram.com/reel/DSpOXVaAhne/?igsh=NHZkYzNjcG5wcm5z
  9. M

    Nafurahishwa na vita ya maneno mtandaoni kati ya wakristo na Waislamu

    Kwa siku kadhaa kwenye nchi hii nimeshuhudia vita ya kimaneno katika watu wa imani ya kikristo na kiislamu na tena leo vita imechagizwa baada ya yule shekhe barahiyan kusema marufuku waislamu kula chakula cha krismasi kiukweli ukiona comment za wachangiaji wakristo na Waislamu nabaki nacheka na...
  10. Fbn

    Wakiona hii waislamu wenye msimamo mkali

    FaizaFoxy ,Lucha Mnakaribishwa kutoa mapovu
  11. Mhaya

    Wagalatia Vs Serikali Nzima, Wavaa kobazi Vs Wagalatia. Wala tende kila jambo wanaligeuza la kidini

    Miongoni mwa mambo yanayoshangaza ni namna wala tende walivyogeuza jambo la mauaji ya wananchi siku ya maandamano kuwa ni vita dhidi ya wagalatia. Ukisikiliza hotuba za Wagalatia utagundua kuwa wao hawashambulii dini ya mtu, wanashambulia mambo yanayotendwa na serikali nzima, ambayo Mama...
  12. M

    Waislam Tanzania; Mtume Muhammad (S.A.W) alikuwa kiongozi mwenye hekima kubwa, na alisimamia migogoro kwa ustadi wa hali ya juu

    Mtume Muhammad (S.A.W) alikuwa kiongozi mwenye hekima kubwa, na alisimamia migogoro kwa ustadi wa hali ya juu. Hakupendelea vurugu, bali alitegemea mazungumzo, usuluhishi, uadilifu, subira na maono ya mbali. Hapa chini ni baadhi ya njia muhimu alizotumia wakati nchi au jamii ipo katika migogoro...
  13. Mkalukungone Mwamba

    Shekhe: Waislamu na Wakristo katika nchi hii ya Tanzania udugu wao ni wa kale

    Waislamu na Wakristo katika nchi hii ya Tanzania udugu wao ni wa kale; mapenzi baina yao ni ya muda mrefu, na hata ushirikiano wao umejengwa katika misingi ya amani na heshima kwa vizazi vingi. Qur’an Takatifu inatukumbusha: ‘Na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja, na sisi ni wenye kunyenyekea...
  14. Mjanja M1

    Uamuzi wa Waislamu na Wakristo baada ya jaribio la kugombanishwa

    Baada ya watu fulani kutaka kutugombanisha Watanzania kwa kutumia UDini, huu ndio uamuzi wa Waislamu na Wakristo nchini. Kuanzia sasa, salamu za Merry Christmas tutakuwa tunatakiana kwa kusema "Christmas Mubarak" na salamu za Idd Mubarak tutatakiana kwa kusema "Merry Idd". Mimi ni...
  15. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Jumuiya ya taasisi za Kiislamu yawataka Waislamu kujitenga na maandamano ya Disemba 9, 2025. Vijana waaswa kukaa nyumbani na wazazi wao

    Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini zilizo chini ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) zimewataka vijana na wananchi kwa ujumla kutumia busara, utulivu na kufuata utaratibu wa kisheria wanapodai haki zao, huku zikisisitiza umuhimu wa kuepuka mikusanyiko isiyo rasmi hususan tarehe 9...
  16. gijos

    Tanzania: waislamu tukemee upuuzi wa kuitumia dini kuwashambulia viongozi wa kanisa katoliki TEC

    Kumetokea wimbi hatari la vikundi vya watu wachache wanaojiita waislamu au viongozi wa waislamu, lakini wanachofanya hakina uhusiano wowote na Uislamu. Vikundi hivi vinatumiwa na watawala na mitandao ya kisiasa kueneza chuki, kutukana na kushambulia Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC) kwa sababu...
  17. Mhaya

    Masheikh wote ni kama wanaona Maandamano ni dhidi ya Uislamu na si dhidi ya utawala mbovu

    https://www.instagram.com/reel/DRRCZIBgsNx/?igsh=MXZvNWQwdHFlbGRyZg== https://www.instagram.com/reel/DRRQh0SDDUj/?igsh=MTdvanF1dTN1YWQ1aQ== ALLY KIBAO alikuwa Muislamu, lakini leo hawa waandamanaji ndio wanaotaka huu utekaji uishe, polisi wawajibishwe au watekaji wapatikane. Lakini hata...
  18. Zee la madawa

    Hawa wajinga wanaukosea sana uislamu, wanataka tuonekane wote ni wajinga

    Je! Baada ya kuua maelfu ya Watanzania, Wauaji wanacheza karata ya udini kwa kuwatumia wapumbavu wanaojiita Waislamu? Je! Baada ya kutengeneza utawala wa kuteka, kutesa, kupoteza na kuua wakosoaji wa CCM, sasa wanaongeza na kueneza chuki za kidini? Uislamu ni dini ya HAKI. Uislamu ni dini ya...
  19. T

    Naomba tuwapuuze baadhi ya waislamu na wakristo wanaotaka kutuharibia maandamano yetu ya Disemba 99

    Ndugu wana jamvi na hasa vijana kama mimi Gen Z. Najua CCM inafanya kila liwezalo kuzima moto wa Gen Z. Ndo maana unaona wanatumia baadhi ya waislamu na baadhi ya wakiristo wanaoweza kushawishika/kununulika kirahisi. Hawa watu hawajuhi kabisa sisi vijana magumu tunayopitia. Naomba ieleweke...
  20. U

    Haina shaka yoyote kuwa, waislamu wameamua kufanya vita na Wakristo. Nukuu za tamko, kutetea ukatili wa Samia zinathibitisha hili!

    👉Kuna kikundi fulani cha waislamu wajinga wafia dini wanaojiita "Wahadhiri wa DINI ya Kiislam" wameanzisha vita dhidi ya Ukristo kupitia (Wakatoliki & TEC). Ni wajinga hawa. Hawajui kuwa Rais Samia anakosolewa si kwa sbb ya dini yake. Watu hatuoni dini ya mtu pale ikulu. Tunayemuona ni Rais...
Back
Top Bottom