waislamu

The National Muslim Council of Tanzania is an Islamic organisation based in Tanzania. It is well known by its Swahili acronym BAKWATA.
BAKWATA is a well-established faith-based Islamic organisation registered since 1968. The Council has branch offices all over Tanzania with a network from the national to grassroots level with 22 regional and 169 district offices served by over 3000 sheikhs.Around 10,800 mosques run under its co-ordination. It owns around 40 acres of land in
each of its 22 regions and it has 32 secondary schools, two teachers’ colleges, 30
theological colleges, and a radio station and support numerous madras schools.

From the
late 1990s, BAKWATA has organised and facilitated training for its Muslim scholars on
environmental issues.
Ongoing work on environmental issues includes: environmental education for madras
pupils in 10 coastal districts, environmental education and management clubs in 10
secondary schools owned by BAKWATA and spreading the use of environmental
theological materials in religious ceremonies and sermons on Friday prayers for more
than 80 imams and sheikhs throughout Tanzania.
from 2016 BAKWATA is Offering free education under Mufti Office. this special knowledge is offered to Islamic Imams and Qur an Teacher In Several Centers in different region
the course is aimed to empower them in computer and information Technology and conflict arbitration

the headquarter of BAKWATA is in Kinondoni shamba area, Kinondoni district, Dar es salaam Region

View More On Wikipedia.org
  1. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini waislamu wanamuita malaika mtoa roho "Azrael/Israeli ?

    Wakati huohuo kumekua na migogoro ya mara kwa mara tangu zamani kati ya nchi ya Israel na mataifa ya kiarabu na kiislamu ( Arab-Israel conficts ) Kwanini kwenye mapokeo ya kiislam kuna malaika Israel mtoa roho ?
  2. MK254

    JamiiForums Tanzania Video: Babu Seif Kisauji asema waislamu wote wanaotumia mitandao ya kijamii watakwenda motoni

    Asema Waislamu hawaruhusiwi kutumia chochote cha makafir, na kwa vile hii mitandao na teknolojia zote hizi ni za makafir, hivyo wanaozitumia watakwenda motoni. https://vm.tiktok.com/ZS9R1jRMqEye9-PlLgb
  3. Mto Songwe

    JamiiForums Tanzania TBC ni TV ya waislam na wakristo wakatoliki?

    Binafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ? Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Israel + Marekani vs Iran

    Kwa miaka mingi, Marekani na Israel zimekuwa na hofu kuwa Iran inatengeneza bomu la nyuklia. Israel anaamini bomu hilo likikamilika, Iran italitumia kuifuta nchi yao kwenye ramani, hivyo wamekuwa wakitafuta namna ya kuzuia mpango huo kwa nguvu. madarakani Januari 20, 2025, aliweka msimamo mkali...
  5. Johnny Impact

    JamiiForums Tanzania Waislamu nijibuni haya maswali

    Quran ni kitabu kilichokamilika na hakina mashaka ndani yake 1. Issa alizaliwa chini ya mtende. Wapi? Quran 19:22 - 23 Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye...
  6. Driz de Mafwele

    JamiiForums Tanzania Sweden waislamu ni laki mbili tu lakini wamejaa magerezani

    Idadi ya wananchi Sweden ni million 11. Waislamu ni 220,000 tu lakini ndio wengi jela na magerezani kwa makosa ya kuua, kubaka, wizi, madawa na vurugu. Labda mfungo wa ramadhani utasaidia. adios amigo Jagina adriz Adiosamigo
  7. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Waislamu wanaruhusiwa (HALAL) kula FISI NA MIJUSI. Lakini Nguruwe ni kharamu

    Waislamu tunaruhusiwa kula FISI na MIJUSI hao ni HALAL kabisa Hadithi inayoelezea hivyo ni riwaya ya Sayyidina Jabir ibn Abdullah (RA) kuhusu uwindaji na kula fisi, na ipo katika makusanyo ya hadithi ya Kiislamu. Muhtasari wa tukio Sayyidina Ibn Ammar (RA) alimwuliza Jabir ibn Abdullah (RA)...
  8. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Je, wajua? Wasio Waislamu hawaruhusiwi kukanyaga Makka?

    Katika Nchi ya Saudi Arabia, Eneo la Makka inachukuliwa kuwa mji mtakatifu zaidi katika Uislamu. Ndiko kunakopatikana Msikiti wa Masjid al-Haram, ambako ipo Kaaba (Lile jiwe linalozungushiwa kitambaa cheusi ambalo waumini ulizunguka). Hapo ndio kitovu cha kiroho cha Uislamu, na Waislamu duniani...
  9. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Waislamu tisa waliokula mchana hadharani wakamatwa Nigeria

    #HABARI Polisi wa Kiislamu katika jimbo la Kano kaskazini mwa Nigeria, wanaojulikana kama Hisbah, wamewakamata Waislamu tisa- wanaume saba na wanawake wawili kwa kosa la kula chakula hadharani siku ya kwanza ya mfungo wa Ramadhani. Mwezi wa Ramadhani umeanza nchini Nigeria siku ya Jumatano...
  10. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Wakristo na waislamu katika hili nani ni mkweli kati yenu?

    Wakristo wanasema Yesu alisulubiwa akafa akazikwa akafufuka akapaa mbinguni. Lakini Waislamu wanasema Yesu hakusulubiwa hakufa hivyo hakufufuka. Wakati waislamu wanasema Yesu si Mungu wala mwana wa Mungu wakristo wanaamini vinginevyo. Ukisikiliza stori zao kuhusu Ibrahimu Bado zinapishana...
  11. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini Shia wanapigwa vita sana na Wasunni kama vile sio Waislamu?

    Jana Pakistan limetokea shambulio la bomu katika msikiti wa Shia na kupelekea mauaji zaidi ya washia 30, ni kawaida sana kwa mashambulio kama haya kutokea kwenye nchi kadhaa kwenye jamii za Shia huko Asia, Kwa nini Wasunni hawawakubali washia kama Waislamu wenzao wakati wanafanana kila kitu...
  12. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kwanini waislamu wanapingana kuhusu uhalali wa Hadithi?

    Kwa Sasa kwenye mitandao ya kijamii duniani kote, kuna mabishano makubwa sana juu ya uhalali wa kutumia Hadithi kuuhimilisha Uislamu. Lipo kundi linalosema kuwa Hadithi zimejaza tamaduni za Uarabuni na kuacha misingi ya dini ya kiislamu inayotokana na Quran. Lakini kundi linalounga mkono...
  13. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Namna ya Waislamu kufanya mijadala ya kidini na wasio kuwa Waislamu

    My people, NAMNA YA KUFANYA MAJADILIANO YA KIDINI NA WASIO WAKUWA WAISLAMU KATIKA UISLAMU Uislamu ni dini ya hikma, adabu na rehema. Unapozungumzia dini na watu wasiokuwa Waislamu, Uislamu hauhimizi mabishano ya jazba, bali majadiliano yenye hekima, heshima na lengo la kufikisha ukweli kwa...
  14. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Siri ya Waislamu kuwa na Amani kuliko watu wengine hapa duniani

    My people, Kwa Nini Waislamu Huishi Kwa Amani: Imani ya Kuamini Mtoa Riziki ni Allah na Kadari Iliyokwisha Andikwa Moja ya nguzo kuu zinazowatofautisha Waislamu katika mtazamo wa maisha ni amani ya ndani wanayoilea mioyoni mwao. Amani hii haiji kwa bahati, wala haitokani na wingi wa mali au...
  15. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini masheikh wa Iran hawawakemei Waislamu wafanya maandamano?

    Iran kuna Baraza la maulamaa la Ayatollah linaloitwa Guardian Council na masheikh viongozi mbalimbali wa kidini ila mpaka sasa hakuna masheikh wowote waliothubutu kujitokeza kuwasomea watu vifungu vya Quran na Biblia kuwasisitiza Uislamu ni dini ya amani na kwamba amani ni muhimu zaidi ya Haki...
  16. Pakome

    JamiiForums Tanzania Sielewi na wala sijui wanachogombania Wakristo na Waislamu

    Nadhani ni ukosefu wa uelewa Sielewi wanachogombania Wakristo na Waislamu ni kitu gani Kila siku kelele za Waislamu wamefanya hivi mara Wakristo wamefanya vile Tofauti ya hizi Dini ni Lugha na Utamaduni Zote zipo ndani ya dunia moja sijaona dunia mbili Mwenye hii dunia ni mmoja Dini hizi...
  17. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Wakristo ndio watu pekee wanaoweza kuwavumilia Waislamu?

    Hivi karibuni kumekuwa na matamko mengi kutoka kwa Viongozi na watu wanaoaminika kuwa Waislamu wakirusha video clip zao zenye kutoa maneno yenye viashiria vya ubaguzi na vijembe vya kudhihaki kwenda kwa wakristo. Nimefanya Tafiti (Observetional) yangu duniani kote, nikagundua wakristo ndio...
  18. kavulata

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje marais wetu wote wakawa wakatoliki na waislamu tu?

    Baada ya machafuko ya Octoba 29 ndiyo nikagundua kuwa kumbe tangu nchi ipate uhuru marais wote wa Tanzania walikuwa ni Wakatoliki na waislamu. Hii iliwezekana vipi, ni bahati mbaya tu au imeandikwa pahala kama makubaliano? Je, itakuwa hivi hadi lini?
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Masheikh wanaokataza waumini wao Waislamu kusherehekea Christmas katika nchi kama Tanzania hawafikiri vyema na wana matatizo.

    Sikukuu ya Christmas mwaka huu imekuja na jambo la ajabu na la hovyo sana la masheikh wengi kuharamisha katika umma kupitia vyombo vya habari kwa ukubwa sana waumini wa Kiislamu kutoshiriki Christmas na Wakristo, hawa masheikh kwa vyovyote vile sidhani kama wanaelewa wanachokifanya na kwa hakika...
  20. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Ushirikiano baina ya wakristo na waislamu ni muhimu kuliko hata vyama vya siasa

    Ni bora pasiwepo na vyama vya siasa lakini ukawapo ushirikiano wa dhati baina ya waislamu na wakristo kwani kila siku,tunashirikiana kwenye mambo mengi mno.Angalia baadhi ya mambo tunayoshirikiana japo kwa uchache: 1.Kuzikana 2.Kusafiri pamoja 3.Kufanya biashara 4.Kufanya ngono 5.Kucheza michezo...
Back
Top Bottom