waha

Waha (Walloon: Wahå) is a village of Wallonia and a district of the municipality of Marche-en-Famenne, located in the province of Luxembourg, Belgium.
The village of Marloie is a part of the district.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    RC Mtaka adai Wakinga, Wapemba, Wanyantuzu, Waha, na Wachaga, ndio vinara wa sekta binafsi Tanzania.

    ..RC Mtaka anadai Kariakoo haiwezi ku-survive bila ya uwepo wa Wakinga. ..sikiliza mahojiano yake hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=USgtsZ6LwvY
  2. M

    Wasukuma na waha mna shida gani? Yaani nyie mkizamia Tanga ndiyo hamtaki kurudi kwenu?

    Wasukuma na waha yaani wakija Tanga ndiyo wanazamia mazima hawataki kurudi kwao na kama unataka kugombana nae msukuma au Muha waliokuwa huku Tanga mwambie arudi kwao atakuzingua mpaka ujute kwanini ulimwambia hivyo yaani huku Tanga unaweza kukutana na msukuma au Muha ana miaka zaidi ya 30,20 au...
  3. James Hadley Chase

    Historia ya Kihima Ujiji na asili ya Waha

    HISTORIA YA KIGOMA UJIJI NA ASILI YA KABILA LA WAHA Wakati miji mingine ikipata majina kutokana na ujio wa wageni, kuna baadhi ya miji ilipata majina yake kutokana na Waafrika wenyewe. Na kutaja majina kutokana na wenyeji kulitegemea sana watu, hasa wale waliokuwa maarufu kwenye jami. Na ile...
  4. Davidmmarista

    Wanawake waha 🙌🏻wapo unique sana

    Wadau, kama Kuna mtu ame notice hawa wanawake wa Kigoma waha wapo humble sana na pia ni wife material mno
  5. Investigation Unit

    Huenda waha wa Kigoma wakamshukuru Rais Samia kwa miaka mingi ijayo hii SGR ya kutoka Tabora hadi Kigoma ni nani angeijenga kwa pesa nyingi namna hii

    https://youtu.be/CR33rwJsPKg?si=q0zQsyQ7wFv3SY8h Mnafahamu, Rais Samia anajenga mradi wa SGR kutoka Tabora hadi Kigoma kilometa 506 kwa TZS5.1Trilioni sawa na $2.2bn Mtaku,buka mradi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka Tabora hadi Kigoma ni sehemu ya awamu ya sita ya ujenzi wa reli ya Standard Gauge...
  6. mdukuzi

    Mwingiliano wa makabila, kabila la waha lilivyoharibu mbegu ya wasukuma, sasa kuna wasukuma hawafiki hata futi 5

    Hapo zamani wasukuma wote walianzia futi 5 na inch 8 sio mwanamke sio mwanaume Tukija kwa ndugu zetu waha,kule kuna vibinti vina futi 4 na point,hata kuku wa kigomani wadogo wadogo na wepesi, ng'ombe wa kigoma halikadharika, ni wadogo wadogo, mahindi ya kigoma ukikoboa sembe yanakupa uzito...
  7. Tman900

    Waha na Biashara za Kukopesha

    Kwa Jinsi mambo yalivyo, naimani ipo siku waha, wataanza kukopesha kila kitu Maana Hawa jamaa wameshika hatamu uku mtaani kwa Biashara ya kukopesha. Malipo Buku kwa siku.....
  8. Lycaon pictus

    Watawala wa Wasukuma, Waha, Wahaya, Wazinza, Wanyamwezi na Wafipa walikuwa Wahima(Watutsi). Kuna ukweli kiasi gani?

    Haya yameandikwa katika kitabu Zamani Mpaka Siku Hizi. Inadaiwa Wahima(Watutsi ni Wahima walioelekea magharibi kwenye vilima vilivyoitwa Tutsi) Walipotoka kaskazini kwenye karne ya 14 walikuwa na nguvu na maarifa mengi. Hilo liliwafanya kila walikopita, kuanzia Uganda hadi Kusini Mashariki ya...
  9. ELI COHEN

    Kumbe mlikuaga mnakula misaada ya Marekani alafu mkija humu JF mnawaita mashetani mara sijui firauni, etc 😂

    https://youtu.be/ShzDBSbPbm4?si=F3MM9-KNiFf54Oqm
  10. Mikopo Consultant

    Waha tupeni majibu ya hii kauli ya Lissu; 'Kuna kijiji kinaitwa Kazura Mimba kipo Kigoma, kina watoto wengi kweli kweli'

    Akihojiwa na Charles William wa Wasafi TV, Lissu alisema 'kuna kijiji kinaitwa Kazura Mimba kipo Kigoma, kina watoto wengi kweli kweli. Mpaka mwandishi kacheka na mimi mwenyewe nimecheka kweli kweli. Embu Waha njooni tulijadili hili, hapo Kazura Mimba kunani?? Au ni mbegu za majini...
  11. Mkalukungone Mwamba

    Wabunge watatu wa ajali ya Dodoma wahamishiwa MOI

    Wakuu! Ile ajali ya wabunge ukitazama kama ilikuwa ndogo lakini baadhi ya wabunge hali zao bado ni mbaya hadi wamehamishiwa MOI au tuseme maombi ya baadhi a wabongo? ===================== Wabunge watatu majeruhi wa ajali ya basi la Kampuni ya Shabiby waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya...
  12. R

    Waha na Wakinga wanapesa ila wanaongoza kuishi maeneo yasiyopimwa (Uswazi); Kabila gani jingine linapenda msongamano?

    Waha wangeamua kuishi kifahari wangeweza ila wengi wanapenda kuficha utajiri wao. Ni mara chache sana kuwakuta Waha wakiishi maeneo ya uzunguni. Hata awe na pesa kiasi gani atakwenda kununua kiwanja eneo lisilopimwa. Yupo tayari ameseme ana viwanja hata kumi ila vyote hakuna chenye sqm 1000...
  13. KING MIDAS

    Kwa uzoefu wangu, sehemu zenye Waha wengi ni ngumu sana kufanya biashara

    Salaam Nia ya uzi wangu sio kubeza wala kudhihaki mtu yoyote, ila natoa angalizo tu kwa mtu mwenye nia/ ndoto/ dhamira/ kusudi la kufanya biashara ajue anakabiliwa na mtihani mkubwa mbeleni. Utafiti wangu umejikita mitaa ya Boko Chasimba, ambako Nina nyumba kadhaa za kupangisha na ninaona hali...
  14. Bob Manson

    Waha na kusamehe madeni kwa wake za watu

    Habarini za jioni waumini Mtaani kuna wale jamaa wanakopesha bidhaa hasa kwa wanawake au wake za watu, hawatumii nguvu kudai na wakiambiwa hela hakuna wanaelewa. Niliona mmoja akiombwa kusamehe deni lililo baki na mke wa mtu, akasema tutaongea vizuri kwenye simu, tafsiri nyepesi ni kwamba...
Back
Top Bottom