Waganga wa kienyeji ni watu wenye mchango mkubwa upande wa pili ndani ya ulimwengu.
Hapa kuna watu povu na maneno ya kejeli yata watoka kwa sababu hizi:
*Wengi wanawatumia kwa ajili ya mabaya!
*Wengi ni walonzi ,wanga na wachawi.
*Wengi humu mtaki kujionesha kuogopa kuwa mnatatua matatizo yenu...