Waganga wa kienyeji ni watu wenye mchango mkubwa upande wa pili ndani ya ulimwengu.
Hapa kuna watu povu na maneno ya kejeli yata watoka kwa sababu hizi:
*Wengi wanawatumia kwa ajili ya mabaya!
*Wengi ni walonzi ,wanga na wachawi.
*Wengi humu mtaki kujionesha kuogopa kuwa mnatatua matatizo yenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.