johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,889
- 141,824
Hawa ndugu zetu wa Ufipa st Chadema wao huwa hawajihusishi na "ndumba"?
Sijawahi kuwasikia wakiambatana na Waganga wa mitishamba
Hata wakati ule ilikuwa wao na askofu Gwajima au askofu Malone na hata sass wanaye askofu Mwamakula na Shehe Ponda.
Isijekuwa hawa jamaa ni Mpango wa Mungu kweli?
Huku tawala ndumba ni kawaida sana tunaye hadi ndumbaro
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Sijawahi kuwasikia wakiambatana na Waganga wa mitishamba
Hata wakati ule ilikuwa wao na askofu Gwajima au askofu Malone na hata sass wanaye askofu Mwamakula na Shehe Ponda.
Isijekuwa hawa jamaa ni Mpango wa Mungu kweli?
Huku tawala ndumba ni kawaida sana tunaye hadi ndumbaro
Mungu wa mbinguni awabariki nyote