wachina tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Natafuta

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu, tunaomba upambane na Wachina wamegoma kuondoka kwenye biashara za wazawa

    Wachina wanatudharau sana jamani Pamoja na kupitisha Sheria Kali Bado wanaendelea na biashara kama hakuna kitu Ni dharau sana
  2. Carlos The Jackal

    Ni Sera za Serikali ya CCM ndizo zimewajaza Wachina Tanzania wanaoiba Ajira za Wazawa

    Serikali ya CCM kama zilivyo Serikali mbalimbali za Kiafrika zinazopokea misaada ya wachina , Shariti Kuu wanalopewa ni Hilo 'Kuruhusu Raia wa kichina watamalaki bila vikwazo ' . Ongezeko Hilo la utegemezi Kwa Wachina, Kuna uwezekano wa 100% Uchina kua na Uwezo wa kuamua Chama gani kiendelee...
  3. R

    Sikiliza long term effects za mjazano wa wachina Tanzania na Afrika in general ambazo huwezi kuzigundua kwa sasa

    sikiliza clip hii kama hitafutwa..... kuna maafa makubwa yanakuja huko mbeleni hali hii isipodhibitiwa mapema
  4. Lycaon pictus

    Nchi zenye wachina Wengi Afrika

    Utafiti mtandaoni unaonyesha Africa kuna Wachina 1m. South Africa ikiwa na Wachina zaidi ya laki nne. Nchi ya Zambia ina wachina 100,000. Kenya wapo 50,000. Tanzania yetu wapo 30,000. Mytake. Kwa labour cost ya China haikutakiwa tulielie wakija kwetu kutuuzia bidhaandogo ndogo. Vitu kama...
  5. Parabolic

    DOKEZO Kufurika kwa Wachina Tanzania ni fursa au janga?

    Mjadala wa raia wa kigeni hususani Wachina kufurika katika maeneo ya kibiashara hasa jijini Dar es Salaam, umechukua sura mpya, baada ya Serikali kuanza kuchukua hatua za kuwafuatilia kama wanafuata taratibu za kisheria. Hatua za Serikali zimekuja wakati kukiwa na malalamiko ya kufurika kwa...
  6. R

    Wafanyabiashara wanaochukia wachina kujaa ni Wabaguzi waliojaa tamaa, Wachina wako poa sana muwaache watupe nafuu ya maisha, Tumechoka kupigwa

    TAMAA Tatizo la hawa wenzetu wa TZ wanatupiga sana, Kitu alichonunua elf 20 anataka kukiuza elf 60. kwa machina hakuna hiyo, kwa wateja tunaheshimiwa bila kujali muonekano wala kujuana na bei zao Looooooh !! Zinavutia sana lazima ukienda kuuza upate faida wala hawana husda Mchina anatosheka na...
  7. Waufukweni

    VIDEO: Nchi hii tamu jamani, angalia hawa Wachina wanavyoponda raha

    Wakuu Nchi hii tamu jamani, angalia hawa Wachina wanavyoponda raha. Sio mara ya kwanza kusikia raia wakigeni wakiisifu Tanzania kama nchi nzuri
Back
Top Bottom