Wakuu
Nimekuwa nikilalamikia sana kuhusu hawa Wachina humu, naona sasa Wanigeria wameamua kufanya kweli.
Malawi na Angola na sasa Nigeria wameshaanza kuchukua hatua dhidi ya hawa watu. Sisi Wabongo tunakwama wapi maan siku hizi ukitembea kule Oysterbay na Mikocheni wameshajitengenea maeneo...
Hawa ni wachina wanapewa tenda ya kuprint tshirt, Vijana wa Kitanzania wanasota mitaani tu, na sio kusota wapo wenye offisi jama za hawa wachina ila hawajapewa hii kazi.
Kuna vijana wana offisi za kuprint mboba CVN wasiwape? au wanaona watatajirika na hivyo CCM itakosa watu wa kuipigia magoti...
Wakuu,
Wakati watu tunalalamikia miradi ya Wachina kuwa mingi nchini, kumbe huo ni mkakati wa Wizara ya Mambo ya Nje?
Leo nilikuwa napitia ile sera ya Mambo ya nje ya mwaka 2001, toleo la mwaka 2024 ambalo Rais Samia aliizindua hivi karibuni.
Kwenye sera hiyo, kipengele 1.2.2 page ya 6...
Wakuu.
Hivi mnaikumbuka ile Kebbys Hotel pale Bamaga, ambayo inaangaliana na Taasisi ya Elimu karibu na TBC?
Kwa wale wajanja wa hili jiji, hiyo Kebbys Hotel ilikuwa ni bonge moja la meeting point kipindi hicho.
Sijui nini kimetokea hapa katikati naona sasa hivi na yenyewe imebadilishwa jina...
Wakuu,
Binafsi napata faraja sana kuona mjadala huu wa Wachina unaendelea kupata airtime na sasa umeingia rasmi bungeni.
Siku ya Ijumaa, Mbunge wa Vunjo Charles Kimei alizungmzia suala la Wachina (japo aliwaita wageni) ambapo alisema kuwa Wachina wamekuwa tishio kwa kuchukua fursa za wazawa...
Utafiti mtandaoni unaonyesha Africa kuna Wachina 1m. South Africa ikiwa na Wachina zaidi ya laki nne. Nchi ya Zambia ina wachina 100,000. Kenya wapo 50,000. Tanzania yetu wapo 30,000.
Mytake. Kwa labour cost ya China haikutakiwa tulielie wakija kwetu kutuuzia bidhaandogo ndogo. Vitu kama...
Katika siku za hivi karibuni takwimu kutoka Idara ya utafiti wa mambo ya China na Afrika (CARI) katika Chuo Kikuu cha Johns Hopkins cha Marekani, zilionesha kuwa idadi ya wafanyakazi wachina barani Afrika imepungua kwa zaidi ya nusu ikilinganishwa na mwaka 2015 ilipofika kilele, tangu takwimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.