vita mashariki ya kati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Heche hapingi vita Mashariki ya kati?

    Kwanini CHADEMA hawapingi vita Mashariki ya kati ili mafuta yashuke bei? Katika statement zao, sijaona wala kusikia angalau kuilamu USA kuivamia Iran. Wao wanamlaumu Rais wa Tanzania tu badala angalau kutoa statement 1 ya kulaumu nchi zilizosababisha haya mambo
  2. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Trump akiri kuwa suala la Iran limeshakuwa 'Pasua Kichwa'

    Hii ni kwenye mahojiano na Waandishi siku ya jana ambapo Rais Donald Trump alikiri kuwa changamoto ya kuishughulikia Iran sio rahisi kama wengi wanavyodhani kwani yupo kwenye hali inayomfanya ashindane na watu anaodai; Trump analejerea ugumu wa vita ya Iran kwa hapo ilipofikia. Ni wazi Rais...
  3. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Vita ya mashariki ya kati, imewapa ahueni CCM

    Kwa sasa waliokufa mo29 hawana mtetezi tena, kwasasa watu wamehama kabisa, wengiwao kwasasa wanawatetea watoto wa shule wa iran na kiongozi wao alieuliwa. Kila muandishi wa habari kawa mchambuzi wa vita, na raia wote kwa sasa wamebebwa na upepo. Nawashauri ccm hii nafasi ya kupumua walioipata...
  4. Nguruvi3

    JamiiForums Tanzania Vita Mashariki ya Kati. US-Israel-Washirika dhidi ya Waajemi (Iran)

    Mashariki ya Kati yawaka moto Tulijadili suala la vita mashariki katika nyuzi tofauti. Kwa umuhimu wa tukio linaloendelea uzi huu utajadili kwa kina nini kimetokea, kinatokea na kitakachotokea siku za usoni Upo upotoshaji katika mitandao ya kijamii kwa makusudi au kutoelewa au kuelewa nusu...
  5. Zacht

    JamiiForums Tanzania Nchi 16 zaungana kulinda Gaza Flotilla

    Gaza flotilla ni msafara wa meli ulioandaliwa na wanaharakati wa kimataifa, mashirika ya kiraia, na watu binafsi wenye lengo la kupeleka misaada ya kibinadamu moja kwa moja kwa watu wa Gaza. Umeungwa mkono na mataifa 16 ambayo yametoa wito wa kulindwa kwake na kuheshimiwa kwa sheria za...
Back
Top Bottom