Mara nyingi utasikia mara amani sio ya kuchezea, lakini huwezi kusikia wanasema neno haki. Je, amani wanayosema kulinda ni zile mali walizochuma? Je, wao ndio wana haki ya kulinda amani, sio watu wengine? Mara nyingi wanaosema amani ni wale walioshiba kwa kukwapua mali za umma, lakini hapo hapo...