Imani, Ushahidi na Ushuhuda wa Kuaminika
Biblia hushuhudia kwamba imani ya Wakristo ina msingi katika ukweli, kufikiri, ujuzi, na uthibitisho (Warumi 1:20; Zaburi 19:1-4; Yohana 5:31-47; Matendo 1:3; 26:25).
Baadhi ya watu wanashangaa kwa nini Yesu aliwakemea mitume kwa kutilia shaka ufufuo...