Kuelekea 29 October.
Kwanza Je, Tanzania kama nchi nyota yake ni ipi?
26 April 1964, Tanzania ilizaliwa.
Baadani ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hii inaifanya nchi, wananchi, uongozi wa juu kuwa na sifa za nyota Taurus /Ngombe.
Sifa zake kuu ni kupenda vitu vya thamani, ufahari...