Yohana 5:30
Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.
Na haya ndio maneno aliyoambiwa ayaseme
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa...