Asalam aleikhum wa rahma tulah wabalaqatuh!
Kwa kweli nakosa la kusema. Nimeamini mfa maji heshi kutapata tapa. Imefikia tunatuma watu wakatubu na kupiga picha na Papa? Huyu huyu Papa ambaye miaka na miaka tunamtukana?
Tena ni beberu hawa. Haya mabeberu yametuweka sehemu mbaya sana. Watu wa...
Nina uhakika kinachoendelea dhidi ya Katoliki si mzaha wala burudani, bali ni dharau, dhihaka na kejeli ya wazi dhidi ya Katoliki na Imani ya Kikristo kwa ujumla. Hii ni hatua hatari sana kwa Taifa.
Mzaha wa aina hii hauwezi hata kufikiriwa kufanywa na vijana wa Kikristo dhidi ya taasisi za...
Repercussions zote na after effects zinarudi kwako. Kataa upuuzi kama huo!
Inajulikana worldwide kuwa Wakatoliki halisi hawawezi kufanya ushetani kama huo!
Kuwa macho na walioandaa ujinga huo. Wanakuharibia!
UTANGULIZI
Mwaka 2017 Raisi Duterte alianzisha vita kali dhidi ya Madawa ya Kulevya nchini Ufilipino. Aliaua maelfu wa watu aliodai ni watumiaji na wauzaji wa madawa. Alienda hadi mbele ya kadamnasi na kujisifu kwamba wakati ni Meya wa Davao alikuwa anatembea usiku na kupiga watu risasi...
Nilikemea kwa nguvu sana tabia za viongozi wa dini kutumika kisiasa. Niliwataja kwa majina yao. Nimefurahi sana kuona Papa amesoma kwa umakini wa hali ya juu na kuzielewa vizuri posts zangu za hapa JF.
Najua mpaka anakuja kutoa ujumbe huo wa kuwakemea kwa nguvu wale wanaotumika kisiasa atakuwa...
Kwanza kabisa, ni muhimu niseme kwa upande wangu, uhusiano wangu na Mungu ni wa kipekee na unatokana na matendo yangu zaidi kuliko kujitolea kwa kanisa moja. nipo tofauti kidogo na watu wengi wanaoliabudu kanisa au mchungai zaidi kuzidi Mungu.
Sababu kuu iliyosababisha uamuzi wangu wa kuhama ni...
athari
chanya
familia
jamii
jamii na maendeleo
kanisa
kuacha
kuhamia
kuhamisha
kujutia
kwenda
maendeleo
msabato
rasmi
sababu
siwezi
ukatoliki
usabato
wangu
watoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.