Watu wengi wakisikia “ukoloni” wanafikiria wazungu walifika Afrika na bunduki tu wakaanza kuteka maeneo kwa nguvu moja kwa moja. Ukweli ni kwamba sehemu nyingi ukoloni uliingia taratibu sana kupitia biashara, mikataba na ushawishi wa viongozi wa maeneo husika.
Wazungu walipofika walijenga...
Mwanajamvi ni nani?,mwanajamvi ni nini?,mwanajamvi yuko wapi?
Kalooist ni nini ni nani?,Kalooist yuko wapi?
Mungu ni nini na nani na yuko wapi?
Dunia ni nini, ni nani na iko wapi?au ndo nini tofauti na bustani(enclosed area) ya Edeni( eneo liletalo furaha) ya watu tangu asili ya...
Hamjambo wote!
Moja ya mambo yanayokwamisha ukombozi katika mataifa ya Afrika ikiwemo Tanzania ni Pamoja na Harakati za Woga za kupigania Uhuru katika Jambo Fulani ndani ya nchi.
Huwezi pigania Uhuru ukiwa haupo Huru(ukiwa umejificha)
Hakunaga uhuru unaopatikana Kwa watu kujificha yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.