Kama unapata changamoto ya Kufuatilia Faida na hasara shamabani kwako au daftari linakuchosha kupiga hesabu nyingi,tumia Fuga App kurahisisha kufahamu faida unayopata au hasara
Pakua Fuga app Leo Playstore Fuga - Apps on Google Play
Wengi tunadhani tutakumbuka tarehe za Kuku wetu chanjo kichwani,lakini sio kweli , Kama Young Lunya alivyosema "Kichwa kina vitu vingi"
Ukweli mchungu ni kwamba unaweza kusahau kuwapa kuku wako Chanjo ya Tsh 8,000 alafu ikakuletea hasara ya kupoteza kuku wenye thamani ya zaidi ya Tshs 1,000,000...
Tulipoanza kutengeneza Fuga App, hatukutaka kubahatisha kile wafugaji wanahitaji.
Ndiyo maana ndani ya app tumeweka kitu rahisi sana.
Kama kitu kinakusaidia, tuambie.
Kama kuna sehemu inakuzngua, tuambie.
Kama una wazo la kuboresha Fuga App, tuambie.
Una wazo? Una Swali, Kuna sehemu...
Kama wewe ndo umemaliza chuo au mwaka kesho unataka kuanza ufugaji wa Kuku Kwa urahisi,hii ni kwa ajili yako
Kama unataka kuanza Kufuga kuku kwa urahisi,bila kuhangaika kujua pa kuanzia, bila kuteseka kupata bajeti halisi, na bila stress ya kufuatilia kila kitu manual,
basi hivi ndivyo unaweza...
Anza Wiki Kwa Ushindi
Ukiwa na Fuga App unaweza kusimamia Shamba lako la kuku kwa urahisi,utapata
Ratiba ya Chakula ya Kila siku kulingana na umri , idadi na aina ya Kuku
Calculator itakayokusaidia kujua gharama na vifaa vinavyohitajika kabla ya kuanza Kufuga
Mafunzo kuhusu Ufugaji bora wa...
Wafugaji wamekuwa wakituomba sehemu moja ya kujifunza mambo muhimu ya ufugaji wa kukuna hatimaye imefika!
JIFUNZE ni kipengele kipya ndani ya Fuga App kinachokupa maarifa ya uhakika kuhusu: chakula, chanjo, makazi, afya, na mbinu za kuongeza faida.
Ni rahisi kusoma, kuelewa, na kutumia kila...
💡Je, unajua? Ukirekodi gharama zako zote kwenye Fuga App,inarahisisha kufuatilia faida na hasara zako kwa urahisi ukiwa popote pale kupitia simu yako📱kwa ajili Ufugaji Wako wa Kuku
Huna haja ya daftari tena Fuga inakusaidia kujua faida au hasara mapema zaidi ili uweze kuboresha ufugaji wako...
Heri ya Wiki Mpya Wafugaji Wapambanaji
Unapoanza wiki hii, Fuga App ipo kukusaidia kufanya ufugaji wako uwe rahisi na wenye faida zaidi!
Makadirio ya Gharama: Jua kwa usahihi kiasi cha mtaji unachohitaji kuanza au kuendesha mradi wako hakuna tena kubahatisha!
Ratiba ya Ulishaji...
Anza Wiki Yako kwa Mafanikio,Tumia Fuga App kupunguza stress kwa kufuga kwa Uhakika,Punguza gharama kwa kuwapa Chakula kulingana na idadi na aina ya kuku, Kumbushwa Chanjo za Kila wiki,Fahamu gharama za kufuga kuku aina yoyote. Pakua Fuga App Leo Bure kabsa Playstore...
Wakuu mimi ni mfugaji na nina uzoefu sana katika ufugaji japo nakili wazi bado huwa najifunza kwa wenzangu tena kwa bidii sana.
Nilichanja kuku wangu chanjo ya kideri (Newcastle)27/07/2025 na hapo nyuma nilikuwa nimechanja Ndui kama mjuavyo ndui huwa tuna chanja kwa mwaka mara1 tu au miezi 10...
Hii ndiyo inatokea pale ambapo ugonjwa unaingia kwenye banda kabla ya chanjo kufanyika.
Ukiona dalili, mara nyingi huwa ni kuchelewa sana.
Chukua mfano wa Ugonjwa wa Kideri (NewCastle) moja ya magonjwa hatari zaidi ya kuku hapa Tanzania. Unaweza kupoteza hadi 90% ya kuku wako ndani ya siku...
Mwaka 2023 nilipoanza kufuga kuku, kuna swali moja lililokuwa linanisumbua sana nitumie mkaa au umeme kuwapatia joto vifaranga?
Mwanzoni nilidhani ni changamoto yangu binafsi. Lakini nilivyoanza kuzungumza na wafugaji wengine, niligundua haraka kuwa si mimi pekee niliyekuwa kwenye mkanganyiko...
Weka namba ya whatsapp nikutumie kitabu cha Utengenezaji wa incubator kwa njia ya kienyeji namna ya kutotolesha vifaranga nyumbani kwako Kwa kutumia plastic au box na vifaa vingine vinavyopatikana nyumbani kwako
**Tutakutumia kitabu Kwa njia ya Whatsapp namna ya kutengeneza kitotolesha...
https://youtu.be/Kf2DhWBoXUA
Katika mazingira ambayo wengi huamini kuwa "ufugaji wa kisasa ni kwa matajiri," Mzee Hashimu – afisa mstaafu kutoka Mwanza – anathibitisha kinyume chake. Akiwa na uzoefu wa maisha na ujasiri wa kujaribu vitu vipya, leo anafuga kuku wa Sasso kwa kutumia cage...
https://youtu.be/EA1vMZRRktQ?si=Cb1kvCI2ybwJO36n
KUTOKA MWANZA: Safari ya Mabadiliko kwa Mfugaji wa Kuku wa Mayai!
📍 Mwanza | 🐔 Mashamba Mawili | 💡 Ushauri wa Kitaalamu
Juzi tulipata nafasi ya kipekee kutembelea mfugaji mwenye mashamba mawili ya kuku wa mayai. Licha ya jitihada kubwa na maono...
🐣 Unataka Kuanza Ufugaji wa Kuku?
Hizi Ndiyo Sababu Kuu Kwa Nini 70% ya Wafugaji Huacha Kabla ya Miezi 6! 😩👇
1️⃣ Bajeti 💸 – Wengi Huanza Bila Mpango wa Fedha
Watu wengi huingia kwenye ufugaji bila kujua gharama halisi za:
🔹 Chakula
🔹 Dawa
🔹 Vifaa
🔹 Huduma
Matokeo? Mtaji unaisha kabla kuku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.