udhu

  1. Waufukweni

    Sheikh Alfarouk: Kwenye kuapishana kwenu msitumie Msahafu. Mtu hana udhu anakama? Acheni kufanyia kejeli

    Sheikh Haji Alfarouk; "Endeleeni na Siasa zenu, kwenye kuapishana kwenu, msikamate Msahafu, kwasababu mnachoapia ninyi ni kuilinda Katiba mpaka kufa kwenu. Mtu yupo kwenye siku zake anachukuwa Msahafu anaapa, Sheikh awataka Viongozi wa Kisiasa kuachana na kitabu kitakatifu cha Quran"
  2. The Father of All

    Hata kama watazima maandamano, je Samuya bado atakuwa na udhu wa kuongoza nchi yetu au aende kwao Zanzibar na kutuachia nchi yetu?

    Kuna haja ya watanzania hasa watanganyika kuanza kutafakari juu ya mstakabali wa taifa letu. Je, tutafanya uzembe tuliache kwenye makucha machafu ya machawa na ida amin mama ili tuumizwe na kuibiwa zaidi? Je, tutafanya nini? Nadhani huu ndiyo wakati muafaka wa kujikomboa na kulikomboa taifa letu...
  3. Felixtz

    Elimu juu ya Udhu

    Habali wana JF, Natumai mu wazima wa afya. Ningependa kufahamu katika swala zima la kusimamisha swallah, je ina umuhimu kufanya udhu kila unaposwali? Kwa mfano ukafanya idhu na kusimamisha swala ya fajr, je utahitajika tena kufanya udhu kwa swala zijazo, na vp kama sehemu iliyopo sio rafiki...
  4. and 998 others

    Serikali iingilie mavazi harusini

    Yaani watu hawavai kwa adabu harusini, why? Itungwe sheria kudhibiti mavazi ya ovyo. Inatutoa kwenye udhu
Back
Top Bottom