uchina

Okinawa Prefecture (沖縄県, Japanese: Okinawa-ken) is a prefecture of Japan. Okinawa Prefecture is the southernmost and westernmost prefecture of Japan, has a population of 1,457,162 (as of 2 February 2020) and a geographic area of 2,281 km2 (880 sq mi).
Naha is the capital and largest city of Okinawa Prefecture, with other major cities including Okinawa, Uruma, and Urasoe. Okinawa Prefecture encompasses two thirds of the Ryukyu Islands, including the Okinawa, Daitō and Sakishima groups, extending 1,000 kilometres (620 mi) southwest from the Satsunan Islands of Kagoshima Prefecture to Taiwan (Hualien and Yilan Counties). Okinawa Prefecture's largest island, Okinawa Island, is the home to a majority of Okinawa's population. Okinawa Prefecture's indigenous ethnic group are the Ryukyuan people, who also live in the Amami Islands of Kagoshima Prefecture.
Okinawa Prefecture was ruled by the Ryukyu Kingdom from 1429 and unofficially annexed by Japan after the Invasion of Ryukyu in 1609. Okinawa Prefecture was officially founded in 1879 by the Empire of Japan after seven years as the Ryukyu Domain, the last domain of the Han system. Okinawa Prefecture was occupied by the United States of America during the Allied occupation of Japan after World War II, and governed by the Military Government of the Ryukyu Islands from 1945 to 1950 and Civil Administration of the Ryukyu Islands from 1950 until the prefecture was returned to Japan in 1972. Okinawa Prefecture comprises just 0.6 percent of Japan's total land mass but about 26,000 (75%) of United States Forces Japan personnel are assigned to the prefecture; the continued U.S. military presence in Okinawa is controversial.

View More On Wikipedia.org
  1. ELI COHEN

    Vita za kichini chini kati ya wana usalama wa US, Israel, Pakistan, Iran, Urusi, Qatar na Uchina. Aftermath yake hauwezi kuisikia kwenye media.

    Usiniulize nimejuaje, swali unalopaswa kuuliza ni kwa nini Cnn, bbc, fox, al jazeera hawaripoti japokuwa unakuta wamepata leak au kimemo😁 Ila ukweli ni kuwa wana usalama wa Marekani (CIA/NSA), Israel (Mossad), Pakistan (ISI), Iran (MOIS/IRGC), Urusi (FSB/GRU), Qatar (State Security), na Uchina...
  2. Msela Wa Kitaa

    Taiwan, Koxinga na vita ya Uchina dhidi ya Japan: Historia inayodhihirisha mvutano wa leo

    Kwa sasa tunaiona Taiwan kama eneo linalovutana na China, huku kila upande ukidai uhalali. Lakini je, historia ya Taiwan ni ipi hasa? Ilikuwaje sehemu ya China? Je, Nationalists walifika vipi kule? Na walikuwa na msimamo gani wakati wa vita dhidi ya Japan? --- 1. Je, China Ilikuwa Chini ya...
  3. Samia atosha tukutane2030

    Raia yeyote wa Uchina au mgeni angefanya uharibifu kwa watoto wa kichina namna hii hukumu yake ingekuwa kifo .

    Watoto hawana hatia, they are innocent. Wanataka wajaribu kila jambo. Haya madude yanatumia AI , yangiingia kichwani effects zake ni zaidi ya mapepo buku yaliyowaingia nguruwe enzi za Yesu. Nimewaona watu vijana kwa wazee waliochakazwa na haya madude mpaka wakachakaa. Serikali je, Kodi ni muhimu...
  4. N'yadikwa

    Hata wale walikuwa pro west sasa wanatamani kuitembelea Uchina

    Vita ya kibiashara SINO-US Trade war imeonesha kumbe Uchina yuko mbele sana. Nani kushinda hii vita. Time will tell. Binafsi natamani sana nifike Beijing nasikia ni bonge moja la jiji.
  5. Khanji kapoor

    Karolina leavit Tumeongeza ushuru kwa uchina kutoka 125% hadi 145%

    Yule dada mrembo press wa white house karolina leavit.amesema ushuru kwa vita zinazotoka uchina zitaongezeka kwa 20% kutoka 125% na kufikia 145% kwa sasa lkn sio mwisho. Tunataka turudishe ajira nyumban wamefaidika na sisi kwa muda mrefu hawataweza tena Naye Trump's akiongea na baraza la...
  6. ELI COHEN

    Siasa za ki-communist zimeishapitwa na wakati, mahusiano yetu na uchina yawe na mipaka kama vile yeye anavyowawekea wengine mipaka.

    Sawa tuna njaa, sawa hatuwezi linga diplomatically kwa maana hatuna kitu. Ila nakuambia hivii njaa itatoka tumboni na kwenda akilini pale utakapogundua anaeshirikiana na wewe kukutoa katika tabu kuanza kulala na mke wako na kunajisi watoto wako kisa tu anakusaidia kuishinda njaa. min -me LOTH...
  7. N'yadikwa

    Vita ya Kibiashara kati ya Marekani na Uchina na Athari Zake kwa Tanzania na Afrika

    SOMA: Markets mixed as investors brace for Trump tariffs Vita ya kibiashara kati ya Marekani na Uchina imekuwa gumzo kubwa kwenye anga za uchumi wa kimataifa tangu mwaka 2018. Rais wa wakati huo wa Marekani, Donald Trump, alianza kuweka ushuru mkubwa kwa bidhaa zinazotoka Uchina, hatua...
  8. N'yadikwa

    Uchina Wameunda Kamera Yenye Nguvu Zaidi Duniani, Ikinasa Taswira kutoka Anga za Juu

    Unaweza kusema headline iwe "Ni Uchina Tena" Kamera za Ufukunyuzi Zenye Nguvu Zaidi Duniani zimetengenezwa na Wanasayansi wa China nchi hiyo ikiweka Viwango Vipya vya Upelelezi na Ufuatiliaji wa Kimataifa visivyomithirika. Kamera hizi mpya zina uwezo wa kushinda viwango vya kimataifa vya...
  9. State Propaganda

    PIGO JINGINE KWA MAREKANI: Urusi na Uchina zatengeneza Nvidia card bora mara 800 ya zile za USA

    Hii ni habari mbaya sana kwa Pro -USA. **************** ******************* Wanasayansi kutoka nchi hizo mbili wamesuka algorithm mpya kwa kutumia teknolojia ijulikanayo kama "reverse engineering" na kuweza kuboresha kadi kadi za video game . Algorithm hiyo mpya inaruhusu kadi za GPU hizo...
  10. B

    Mkutano wa Uchaguzi ulijaa Raia kutoka Asia ya Mbali na Uchina. Hii ina maana gani kwa siasa zetu?

    Ktk Dunia hii ambayo mbabe ni Mtu mwenye uchumi imara na ustawi wa watu tumezoea kuona Nchi za Asia ya mashariki na mbali ikijikita hasa kwenye siasa za uchumi na maendeleo. Ni ktk hali hiyo tumeona China huwa haiingili wala kujihusisha na siasa za nchi nyingine. Kwa Lugha nyingine huwa hawana...
  11. Mtoa Taarifa

    Mwanzilishi wa TikTok ndiye mtu tajiri zaidi wa Uchina

    Umaarufu unaokuwa kwa kasi kwa Mtandao wa TikTok umemfanya mwanzilishi mwenza wa kampuni mama yake, ByteDance, kuwa mtu tajiri zaidi wa Uchina. Kulingana na orodha ya Utajiri iliyotolewa na Taasisi ya Utafiti ya Hurun , Mfanyabiashara Zhang Yiming, sasa utajiri wake umefikia thamani ya Dola za...
  12. LIKUD

    Sababu za kiroho kwanini wewe unayetaka mafanikio kwenye biashara yako lazima uende kwenye madhabahu ya Mwamposa

    Hii ni kwale waaminio tu. Kwa wewe usie amini baki na maneno yako kwa sababu yanafaa zaidi kukaa kwenye kichwa chako kuliko kwenye uzi wangu. Now lets go watu wangu. Uzi ulio pita nilitoa maelekezo namna gani unatakiwa kufanya kama kweli upo serious unataka kufanikiwa kupitia madhabahu ya...
  13. BARD AI

    Urusi, China, Iran na Saudi Arabia zaanza maandalizi ya kuachana na matumizi ya Dola ya Marekani

    Ripoti mbalimbali zinadai kuwa Benki kuu za Urusi na Uchina zimeanza kuondoa akiba ya dola ya Marekani katika hifadhi yake huku biashara zake nyingi zikiendeswa kwa Yuan ya China. Kuhama huku kutoka kwenye dola kumechochewa na vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Urusi kwa kuivamia Ukraine...
  14. Mpinzire

    Mbinu za utatuzi wa migogoro za Uchina ni bora kuliko za Kimarekani

    Baada ya mazungumzo yaliyodumu kwa takriban miaka saba, Iran na Saudi Arabia hatimaye zimeamua kufufua uhusiano wao wa kidiplomasia, huku zikitangaza kwamba balozi zao kwenye nchi hizo pia zitafunguliwa. Hatua hii ilikuja kufuatia mapatano yaliyoongozwa na Rais wa China Xi Jinping jijini...
  15. Wildlifer

    'Choo cha Kuflush' cha 'kale zaidi' chavumbuliwa huko Uchina

    Likely dating to between 2,200 and 2,400 years ago, the toilet — consisting of a bowl and pipes leading to an outdoor pit — was unearthed in the ruins of the palace in Yueyang City Ruins, an archaeological site in Xi'an, the capital of Shaanxi province in central China. The ancient lavatory was...
  16. Shujaa Mwendazake

    Uchina yaijibu Marekani kuwa haitafuti Ukuu wa Dunia

    Uchina yasema 'haitatafuta uzushi' Beijing ilijibu baada ya Mkakati mpya wa Kitaifa wa Ulinzi wa Washington kutaja Uchina kama tishio kuu la Amerika Uchina yasema 'haitatafuta ukuu wa ulimwengu”' China imelaani Mkakati mpya wa Ulinzi wa Kitaifa wa Marekani (NDS), ikisema sera ya Marekani...
Back
Top Bottom