"Lakini kabla sijamaliza nataka nimpongeze na naomba msichukie hili, Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuilinda amani ya nchi yetu, Lakini pia nivipongeze vyombo vya ulinzi na usalama, ndugu zangu hawa Jeshi na polisi hawalali, sisi tunakuwa tunalala lakini wao wanakuwa wako macho...