uchaguzi huru na haki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Wakili Dickson Matata: Uchaguzi unatakiwa uwe huru na wa haki

    Imeelezwa kuwa kushiriki katika uchaguzi ambao hauko huru na wa haki ni kukiuka misingi ya demokrasia na kuhalalisha dosari za mfumo wa uchaguzi. Hayo yamesemwa na Wakili Msomi, Dickson Matata wakati akizungumzia uamuzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoshiriki katika Uchaguzi...
  2. Idugunde

    Katiba mpya itaiondoa CCM madarakani kwa sababu zifuatazo. Hata mstaafu Kikwete aliona ndio maana akaitia kapuni

    Chaguzi za rais ,wabunge na madiwani zitakuwa huru. Sababu tume ya uchaguzi itakuwa huru.Wizi wa kura utadhibitiwa. Mahakama zitakuwa huru, sababu majaji watakuwa wanaomba kazi hawatakuwa wateule wa rais. Kesi zinazohusu uchaguzi zitakuwa huru na upendeleo utakoma. Viongozi waliofanya...
  3. R

    GE2025 Kasim Majaliwa, uchaguzi huru na haki siyo maneno, ni process/mchakato ya kufikia Uhuru na haki! Je mchakato/Processes hizo umezifanya?

    Leo ulikuwa unazungumzia na kuwahakikishia wadau kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki. Je mchakato wa kufikia hapo umeufanya? Kuna mapungufdu mkubwa katika mchakato mzima wa kupiga kura . Vigezo hivi sidhani kama hapa vinatimizwa inavyotakiwa. VIGEZO VYA UCHAGUZI HURU NA HAKI 1. Voter...
  4. Zanzibar-ASP

    Uchaguzi huru na haki hauwezi kamwe kufanyika TFF ikiwa Karia atakuwa anagombea

    Ukweli usemwe mapema, tusifiche mambo. Kukua kwa soka letu kunahitaji misingi imara ya uongozi ndani ya chama cha soka. Matunda ya soka tuliyonayo sasa ni matokeo ya uongozi imara wa TFF kipindi cha urais wa Tenga ambao kwa makusudi kabisa ulianza upya kwa kujenga misingi imara ya uongozi wa...
  5. Waufukweni

    PreGE2025 Sheikh Ponda: Rais Samia akutane na wadau kujadili Uchaguzi Huru 2025

    Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda amesema; "Mwezi Oktoba mwaka huu nchi yetu inatarajia kufanya uchaguzi mkuu, katika kulizungumzia jambo hilo nyeti tumeona ni vyema tukayarejea maneno muhimu tulioyatoa katika Baraza la Eid lililopita Machi 31, 2025 ya kwamba...
  6. Waufukweni

    PreGE2025 Boniface Jacob: Tunataka ufike wakati uchaguzi ufanyike bila hata sisimizi kuumia

    "Chadema tunachokitaka tunataka uchaguzi wa kistaarabu sisi diwani tunapata ,wenyeviti wa mitaa tunapata na mbunge tunapata lakini tunapata kwa maumivu makubwa sana" "Ndiyo maana tumesema hatutaki uchaguzi wa kumwaga damu kwa sababu ili nishinde ubunge wa mikumi kwa mfano na wananchi kama...
  7. Parabolic

    PreGE2025 Tausi Likokola: Serikali iwajibike kutoa majibu kuhusu matukio ya utekaji na watu wanaopotea hasa wale wanaoikosoa

    Mwanamitindo wa Tanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola ametoa ujumbe mitandaoni akiitaka Serikali kuwajibika kutoa majibu kuhusu matukio ya utekaji na watu wanaopotea hasa wale wanaokosoa Serikali. Sikiliza video yake hapo chini
  8. M

    PreGE2025 Hakuwezi kuwa na uchaguzi Huru na Haki wakati unamuweka ndani Mwenyekiti wa chama kikuu cha Upinzani bila sababu zisizo na mashiko

    Unamuweka ndani Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini ili asifanye siasa. Hapa unatuma meseji gani, kwamba kama unazuia watu kufanya siasa za kudai mabadiliko, wewe uko tayari kufanya uchaguzi huru na wa haki?. Je, uko tayari kukubali kushindwa ukishindwa? Uko tayari wagombea wa chama...
  9. T

    PreGE2025 Dawa ya Uchaguzi Huru na Haki ni nini hasa? Nisaidieni

    Tumefika mahali wengine tumechanganyikwa na dhana ya No Reform No election, Mimi naomba wachambuzi wa mambo mnisaidie. Ukiangalia ni kweli uchaguzi wa 2019, 2020 ulikuwa mbaya haijawahi kutokea na Serikali akiwemo Rais alikiri hivyo, lakini mwaka 2024 hali ikajirudia na hatimaye CHADEMA na ACT...
  10. M

    PreGE2025 Tundu Lissu akutana na Kaimu Balozi wa Marekani kujadili umuhimu wa michakato ya uchaguzi huru, wa haki, na wa amani

    Leo, Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Lentz alikutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu na kujadili umuhimu wa michakato ya uchaguzi huru, wa haki, na wa amani kwa maendeleo endelevu ya kiuchumi, kijamii, na kisiasa ya Tanzania.
  11. Gabeji

    PreGE2025 CHADEMA mwombeni Rais Donald Trump ku-push hoja yenu ya uchaguzi huru na haki

    Marekani ndio nchi iliyoanzisha democrasia katika mfumo wa vyama vingi. Marekani kupitia IMF , WORLD BANK, wameineza sera ya democrasia, katika nchi masikini kuanzia miaka ya 1980s. Nguvu ya uma ni muhimu sana katika kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Tanzania. Lakini kulingana na asili yetu...
  12. Just Pray

    PreGE2025 Tukemee kauli ya Ally Hapi, kuvitaka vyombo vya dola kushughulikia wapigania mabadiliko ya kikatiba ni tishio kwa demokrasia na uchaguzi huru na haki

    Salaam Kauli ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi, inayoitaka vyombo vya dola kuwachukulia hatua watu wanaodaiwa kutaka kuzuia uchaguzi mkuu ni ya kutia wasiwasi katika muktadha wa demokrasia na haki za raia. Tamko hili linaibua maswali kuhusu uhuru wa...
  13. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 ACT Wazalendo yajipanga kushirikiana na Vyama vingine na Taasisi kupigania Uchaguzi Huru na Haki

    Chama cha ACT Wazalendo kimesema kipo tayari kuunganisha nguvu na vyama vingine vya siasa pamoja na taasisi mbalimbali ili kuhakikisha vinapambania uwepo wa uchaguzi huru na haki mwaka huu. Akizungumza leo Februari 23 kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho Kiongozi wa ACT Wazalendo...
  14. Mindyou

    PreGE2025 Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi: Ukijiandikisha mara 2 ili kupiga kura, adhabu ni jela kuanzia miezi 6

    Wanabodi, Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Jacobs Mwambegele, amesisitiza kuwa kujiandikisha zaidi ya mara moja ni kosa la jinai lenye adhabu ya kifungo cha angalau miezi sita, kisichozidi miaka miwili, au vyote kwa pamoja. Ameyasema haya wakati wa mkutano na wadau wa...
  15. Waufukweni

    PreGE2025 Godbless Lema: Uchaguzi 'huru na haki', umeongeza heshima kwa Mbowe

    Godbless Lema, Mjumbe Kamati Kuu CHADEMA. "Kwa sababu mara ya kwanza nilipoona misuguano imekuwa mikali sana nilikuwa natuma nilituma watu wajaribu kumwambia Mhe. Mwenyekiti (Freeman Mbowe) ajitoe. Nikihofia kwamba akianguka labda itashuka kidogo. Lakini alipoamua kuweka uchaguzi kwa kiwango...
  16. Mindyou

    PreGE2025 Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza kuanza kuandikisha wananchi kwenye daftari mkoani Songwe, Njombe, Rukwa na Ruvuma kuanzia Januari 12

    Wanabodi, Baada ya zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura kufanyika Dodoma na viunga vyake sasa zoezi limehamia mikoa mingine ==================================================== Kupitia ukurasa wa Instagram wa INEC, tume hiyo ya Uchaguzi imetangaza kuwa uboreshaji wa daftari...
  17. Mindyou

    Askofu Mwamakula: Hata sisi tunaowatetea CHADEMA tukigundua kuwa kuna ufinyaji wa haki mle ndani hatutawatetea tena

    Wakuu, Akiwa anazungumza hivi karibuni kwenye mazungumzo yake ya moja kwa moja na Jambo TV, Askofu Mwamakula amezungumzia mchakato wa Uchaguzi unaoendelea kwa sasa ndani ya CHADEMA Askofu Mwamakula amesema kuwa hata wao ambao hujitokeza pale ambapo CHADEMA wanateswa, wakiona kuwa kuwa...
  18. Chachu Ombara

    PreGE2025 LGE2024 Waziri Lukuvi atembea ofisi za ACT Wazalendo; Asema chaguzi zitakazofanyika wakati wa utawala wa Rais Samia zitakuwa zenye heshima, huru na haki

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Ndg. William Lukuvi akiwa ameambatana na Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mtungi leo 07/10/2024 ametembelea Ofisi za Makao Makuu ya ACT Wazalendo na kupokelewa na Kiongozi wa Chama Ndg. dorothy Semu aliyeambatana na Katibu Mkuu...
  19. I

    PreGE2025 Mambo haya yanapaswa kufanyika ili uchaguzi uwe huru na haki

    Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024, kuna mambo kadhaa muhimu ya kuzingatia ili kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa haki: 1. Elimu ya Mpigakura: Wananchi wanapaswa kupewa elimu ya kutosha kuhusu haki zao za kupiga kura, mchakato wa uchaguzi, na umuhimu wa kushiriki kwenye uchaguzi. Hii...
  20. Pascal Mayalla

    PreGE2025 Baada ya Mtu Kusema Ukweli Kuhusu Uchaguzi Kuendeshwa kwa Mutatis Mutandis, Tunaomba Uchaguzi Mkuu wa 2025 Uendeshwe kwa Ceteris Peribus!

    Wanabodi, Saa hizi ni usiku mkubwa, usingizi umejigomea, hivyo nimeshuka jf. Baada ya mwana CCM mwandamizi, ambaye ni born and breed CCM, kusema ukweli kuhusu ushindi wa uchaguzi kwenye baadhi ya maeneo, uchaguzi huendeshwa kwa mtindo wa Mutatis Mutandis!. Hivyo kwa heshima na taadhima...
Back
Top Bottom