uchafuzi wa mazingira

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Keyboard_Warrior

    KERO Viwanda vinafanya Kibaha eneo la Zogowale kuwa sio mahali salama kuishi

    Mimi ni mkazi wa Kibaha-Zogowale, eneo ninaloishi limezungukwa na viwanda. Hivi karibuni kumeibuka shida kubwa ya uchafuzi wa hali ya hewa wakati wa usiku. Kuna harufu kali sana inachafua hewa wakati wa usiku, nina uhakika harufu hii si salama kwa afya ya binadamu. Viwanda ni chachu ya maendelo...
  2. rich1

    KERO Urundikwaji wa Uchafu mitaa ya mafichoni, Manyara-kiteto

    Kama kichwa cha habari kinavyosema,huu n mwez watu hali kama unavyo iona. Cc;Mwenyekit wa mtaa machifoni Cc:Mbwana Afya wilaya ya kiteto Cc:Mkurugenzi wilaya ya kiteto Cc: Mkuu wa mkoa wa manyara
  3. Chicho_

    KERO Uchafuzi wa Mto Matarawe, Manispaa ya Songea Mjini: bomu la kimyakimya

    Utupaji hovyo wa taka kando ya Mto Matarawe umekuwa tatizo kubwa linalozidi kushamiri kila siku. Wananchi wanaoishi karibu na mto huo wamegeuza kingo za mto kuwa sehemu ya kutupia taka ngumu, taka za nyumbani, plastiki, mabaki ya chakula na hata vinyesi. Tabia hii si tu inaharibu mandhari ya...
  4. A

    DOKEZO Uchafuzi wa mazingira kata Usagara, kijiji Nyangh'omango, kitongoji Nyaruhama kutokana na uchimbaji moramu

    Hapa ni katika kata ya Usagara, kijiji cha Nyangh'omango,kitongoji Nyaruhama kuna uchafuzi wa mazingira unaendelea eneo hili kwa kuchimba moramu eneo last makazi ya watu. Hili jambo linahatarisha maisha kwa wakazi wa eneo hili hasa watoto, shimo ni refu sana wakati wa mvua maji hutuama humo...
  5. A

    KERO Uuzaji holela wa eneo la kijiji unaosababisha Uchafuzi wa mazingira kwa kuchimba moramu kata Usagara, kijiji Nyangomango, kitongoji Nyaruhama

    Kuna tatizo linaendelea hapa kata ya usagara,kijiji Nyangomango,kitongoji Nyaruhama. Kuna uchimbaji wa molamu katika makazi ya watu na mbaya zaidi lipo shimo lefu sana ambalo limetokana na uchimbaji wa hyo molamu hii ni hatari na watu wanaoishi maeneo haya hasa watoto hasa kipindi cha mvua maji...
  6. Mwanongwa

    DOKEZO Shinyanga: Maji taka yanayotoka kiwanda hiki cha vinywaji sio salama, Mamlaka zifuatilie

    Hivi hapa Shinyanga kuna kiongozi wa mazingira? Viongozi wa mkoa wako wapi? Na wamafanya nini? Wale wa Wilaya vipi? Kusema ukweli sisi wananchi wa Shinyanga tumekuwa tukiteseka kwa muda mrefu na maji machafu ambayo yamekuwa yakitiririka kutoka ndani ya kiwanda na kuja hadi kwenye makazi ya watu...
  7. A

    KERO Tabia ya kujisaidia haja ndogo pembezoni mwa Daladala Stendi ya Daladala Mbezi Luis inakera sana

    Kuna tabia ambayo hasa inafanywa na Madereva na Makondakta wa Dalalda kujisaidia haja ndogo pembezoni mwa magari yao wakati yakiwa kwenye foleni hasa magari yaendayo shamba yaani Mlandizi, Boko Mnemela, Chalinze na Miono inaendelea kukithiri. Taboa hiyo imesababisha kuwe na harufu mbaya sana...
  8. Mwanongwa

    KERO Mbeya: Chemba ya Maji taka Mitaa ya Forest ya Zamani inamwaga maji ya kinyesi mtaani na inachukulia poa tu

    Habari ndugu zangu wana jukwaa wenzangu. Hili Jiji la Mbeya licha ya kukumbwa na ugonjwa wa Kipindupindu ambao kila siku tunasikia Serikali inapambana nao lakini hali ya uchafu katika baadhi ya maeneo inaendelea kuongezeka. Na hizi mvua zinazoendelea kunyesha ndiyo zinazidi kusambaza uchafu...
  9. A

    DOKEZO Mto Goba unazama kwenye taka. Hii inaonekana hata kutoka angani

    Uchafuzi wa mto Goba unaweza kuonekana kutoka angani. Hamuamini? Angalieni picha zilizo chini. Zinaonyesha picha za satelaiti za mto Goba. Kati ya 2018 – 2021, kulikuwa hakuna maeneo makubwa ya kutupa taka. Lakini ukilinganisha picha hizo na za mwaka 2024, utaona kwamba pembezoni mwa mto...
  10. Roving Journalist

    NEMC: Kuchoma gari au shehena yoyote kwa makusudi ni kinyume na Sheria ya Uchafuzi wa Ardhi

    Mjadala ulizuka baada ya muimbaji wa nyimbo za Injili kuchoma moto gari alilopewa kama zawadi na Mchungaji, ambapo baadhi ya watu walisema hilo ni kosa kisheria wengine wakisema siyo kosa kisheria. Wakili Bashir Yakub alilitolea ufafanuzi upande wa kisheria (zaidi soma hapa), lakini je, upande...
  11. Suley2019

    PreGE2025 LGE2024 TAMISEMI iweke utaratibu maalumu wa Ubandikaji wa Mabango kwa Wagombea kuepusha ubandikaji holela na Uchafuzi wa mazingira

    Salaam Wakuu, Tanzania inaelekea kufanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024. Kwa sasa joto la uchaguzi huo limezidi kupanbda na Wagombea wengi wapo kwenye hatua za kurejesha fomu zao ili kupitishwa kugombea nafasi walizokusudia. Imekuwa kawaida kwa Chaguzi zilizopita kupita nje ya...
  12. D

    KERO Uchafuzi wa mazingira Barabara ya kuelekea Stendi ya Mabasi Magufuli

    Wapiga Debe, madereva bajaj na bodaboda wamekuwa wakijisaidia haja ndogo kwenye eneo la hifadhi ya barabara na mitaroni Barabara iendayo Stendi ya Mabasi Magufuli. Ukipita hapo pananuka haja ndogo. Ni hatari kwa afya. Mamlaka husika mpo wapi? Soma Pia: Uhaba wa vyoo Stendi Kuu Mbeya abiria...
  13. W

    Uchafuzi wa Mazingira na ufumbuzi wa tatizo hili

    Habari wana TANZANIA TUITAKAYO. Utangulizi. Ninayofuraha kupata wasaa huu kuandaa andiko langu linalohusiana na mazingira. Neno mazingira limefafanuliwa katika mawanda mapana lakini ngoja nilitolee maana rahisi na ya kawaida ikimaanisha jumla ya vitu vyote vinavyotuzunguka vilivyo na visivyo...
  14. A

    KERO Luchelele, Nyamagana: Wananchi hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na utupaji holela wa taka

    Katika halmashauri ya jiji la Mwanza wilaya ya Nyamagana, kata ya Luchelele mtaa wa Silivini mji mdogo wa( Nyamalango) kumekuwa na tabia ya viongozi wa mazingira kutoshughulika na majukumu yao hali inayopelekea takataka kutupwa katika barabara za mitaa. Taka kuwekwa maneo holela ambayo sio...
  15. mirindimo

    Picha: Hawa ni ZUKU Kariakoo nyaya hizi karibu zinakua uchafu

  16. Hakuna anayejali

    Eti, mifuko ya plastiki marufuku!

    Hakuna cha kuzuiwa ila ni mabadiliko ya aina ya mifuko. Nenda sokoni kanunuwe mboga, mihogo utapewa mfuko wa plastiki, chumvi zipo kwenye mifuko ya plastiki mi nadhani yalikuwa maamuzi ya kukurupuka tu.
  17. A

    KERO Usafirishaji ovyo wa taka usiozingatia kanuni za kiafya unachafua mazingira na kuhatarisha afya za wananchi

    Kumekuwa na usafirishaji wa taka ovyo bila kufuata utaratibu wa kiafya hivyo inapelekea maji machafu yenye harufu kali sana kumwagika barabarani. Tena unakuta gari la taka lipo kwenye foleni kwa hiyo watu wanateseka sana na harufu kali. Kwa hiyo ningeshauri manisipaa kufanya utaratibu wa jinsi...
  18. A

    KERO Arusha: Kuna uchafuzi mkubwa wa mazingira unafanyika maeneo ya Friends Conner na Soko la Samunge

    Habari, wanaouza viungo vya chakula, mboga za majani, matunda na bidhaa nyinginezo maeneo ya barabarani hasa maeneo ya friends Conner Arusha na maeneo ya soko la Samunge upande wa chini mwa soko mbele ya kituo cha kurekebisha tabia za watoto(magereza ya watoto Arusha) wapo watu wanaofanyia...
  19. heartbeats

    Mo Energy na uchafuzi wa mazingira

    Wakuu, Hakuna kitu nakerereka kama kutembea kila mita kumi nakutana na chupa ya Mo energy imezagaa hakuna dalili kwamba itaenda popote. Kwanini nisione chupa ingine kama ya maji ya azam au hill au kilimanjaro, hata ikionekana kwa bahati mbaya basi ukirudi hutoikuta hii ndo inatakiwa. Sasa Mo...
  20. Daz911

    Sheria iboreshwe kudhibiti uchafuzi wa mazingira

    U hali gani mwana JF. Napenda kuliongelea suala la uchafuzi wa mazingira kama kero. Serikali ya Jamuhuri ilipendekeza siku ya Jumamosi kama siku ya kufanya usafi, aidha iliweka sheria nzuri ilipelekea viwanda vya kutengeneza mifuko ya plastiki kufungwa. Kwa hili serikali ilijitahidi japo...
Back
Top Bottom