Serikali imetoa shilingi Bilioni 19.6 kwa ajili ya Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari SEQUIP mkoani Njombe.
Kati ya fedha hizo jumla ya Shilingi Bilioni 4.360 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali ikiwemo majengo ya madarasa, maabara, mabweni, bwalo la chakula...
Mwl. Nyerere aliweka dira pevu kwa kutenganisha majukumu ya viongozi watunga sera na watekeleza sera. Leo hii, watekeleza sera ndio viongozi na watunga sera ndo watekelezaji!!!.
Unamchukua form four failure unampa uongozi wa Mkoa, aongoze wenye Div one nk kufikia malengo ya Dira ya Maendeleo...
Elimu ya Tanzania imekumbwa na changamoto nyingi kutokana na kutokuwa na mtaala unaoendana na maendeleo ya sayansi na teknolojia.pamoja na kwamba serikali inajitahidi sana kuboresha na kuanza kwa mtaala mpya ila Bado haukidhi matarajio ya miaka 5 Hadi 25 ijayo kutokana na sababu zifuatazo.
Umri...
Ukiangalia kwa makini siasa za Afrika zinavyoendeshwa Kwa Sasa, unaweza kuona pasina shaka kuwa mserereko wa kurudi nyuma miaka 200 iliyopita ni mkubwa sana.
Kabla ya Mkutano wa Berlin ulioigawanya Afrika vipande vipande. Afrika yenyewe tayari ilikuwa imegawanyika kikabila na kiukoo.
Maarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.