tume ya matukio ya oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Balozi Msuya: Idadi ya vifo 518 imepatikana kwenye vyanzo rasmi kama Wizara ya Afya na wafiwa wenyewe

    Mjumbe wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, Balozi Radhia Msuya, ametoa ufafanuzi kuhusu idadi ya vifo iliyobainishwa katika ripoti ya tume hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Dar es Salaam, Balozi Msuya amesema idadi hiyo imezingatia taarifa kutoka kwenye vyanzo rasmi kama...
  2. O

    JamiiForums Tanzania Samia ameamua kutumia kitabu cha Putin, CCM watapata ajali sana

    Kuna Tetesi, Ameandika Maria Sarungi "Msishangae kesho mkisikia muumbe au hata mwenyekiti wa Tume ya Chande anaumwa yuko mahtuti! Familia za hawa wajumbe wawe makini SANA! Mtakuja kuniambia"
  3. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asasi za Kiraia: Tume ilitumia taarifa za Polisi ambao nao wanatuhumiwa kuua waandamanaji

    Halima Somda - THRDC Asasi za kiraia na taasisi za watetezi wa haki za binadamu 14 leo Aprili 27 zimekosoa ripoti ya Tume ya Uchunguzi wa Uvunjifu wa Amani wa Oktoba 29, 2025 wakitaka kuundwa kwa tume huru ya kimataifa na kuwalipa fidia waathirika wa vurugu hizo. Tume hiyo inayoongozwa na Jaji...
  4. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Jaji Mstaafu Othman Chande: "Waliokatwa majina yao" ndio waliohamasisha na kuchochea vurugu na mauaji ya Oktoba 29

    Ripoti Tume ya Samia chini ya uenyekiti wa "Jaji Mstaafu" Othman Chande is full of self - contradictory statements and statistics of the number of deaths Tunamshukuru Mungu wa mbinguni sana ktk Yesu Kristo kwa kuwa amewafumba macho na akili ili wakose ufahamu, wajichanganye na kisha waonekane...
  5. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Rais walio kufa ni Watanganyika je walijua ilo?

    Mh Rais walio kufa ni watanganyika je walijua ilo? Je wangapi na ni ndugu zako? Je ni Rais yupi aliwai kuwa Rais kwa mauaji ya watu hata 300? Tanganyika?walikufa ni wengi kwa Nini usiqchei nchi? Nipo ninalia nikimwaza clala masawe hata kwenye orodha ya chande hayupo.R.I.P clala
  6. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Vijana waliopewa mafunzo ili waanzishe Vurugu 500, waliouawa 518, Chande Sisi siyo vipande

    Umejaribu kubalance lakini hesabu zinakukatalia. Zaidi umejichafua tu kupalilia uongo.
  7. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Umeenda kutoa ushahidi jinsi ulivyopoteza mpendwa wako, mara unamsikia Chande anasema ulilipwa afkumi kufanya vurugu😂

    Nacheka kama mazuri Wakuu ila daaah ni zaidi ya kupewa za uso😂🤣 Eti jamani, si hata Chande angesema mirioni mirioni angalau hata tungeshawishika kidogo🤣🤣. Kweli jamani mtu akarisk na kupigwa risasi kwa alf 10? Au ndo mshazoea mazombi ya sisiemu mnayowapa afsabasaba basi mkaona mkitutajia...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia wewe ni mama yangu mkubwa ila leo umezidisha hasira kwa Watanganyika. Subiri moto uwake upya

    Kauli yako ya kusema hii ripoti ni ya kwako wakati kodi za Watanganyika zimetumika kuwalipa hawa vibonge kwenye tume ucharwa, kweli kabisa? Kwanini huishiwi na vituko katika hotuba zako? Ni kwambie tu mama mkubwa kilichotokea leo kimekoleza moto kwa Watanganyika, wataendelea kukubagaza sana...
  9. The Watchman

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Madai ya kuwepo kwa makaburi ya Kondo hayakuweza kuthibitishwa

    "Lakini pia, Mheshimiwa Rais, kulikuwa na madai ya kuwepo makaburi ya halaiki. Kulikuwa na madai hayo kupitia vyombo vya habari vya kimataifa na mitandao ya kijamii kuhusu uwepo kwa makaburi ya halaiki eneo la makaburi ya Kondo, Kunduchi, Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam. Tume imefanya...
  10. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Thamani ya mali zilizoharibiwa na ghasia za Oktoba 29 ni Bilioni 125. Sekta binafsi thamani yake Bilioni 89, za Serikali ni Bilioni 36

    Wakuu Akizungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam
  11. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Waliofariki kutokana na vurugu ni 518, watoto walikuwa 21

    Akizungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam
  12. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Baadhi ya Wanaharakati walitumia changamoto za wananchi kuwachochea wananchi kushiriki vurugu za Oktoba 29

    Akizungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam Soma Pia: Jaji Chande: Kauli za wanasiasa kama 'No Reforms No Election'...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Bila uwajibikaji sioni namna hiyo tume ikiponya taifa zaidi ya kupigilia msumari kwenye vidonda na kuzidisha uhasama

    Hamjambo Wote! 1. Kilichotokea October 29 kiliingiza nchi yetu kwenye historia ngumu, mbaya na yenye maumivu yenye kumbukumbu za machozi ya damu. 2. Kwa wazee niliokutana nao wenyewe wanasema wao wenyewe tangu kuzaliwa hawajawahi kuona Hali na tukio la namna lile. Hii ni kumaanisha wote...
Back
Top Bottom