tume huru ya uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nipe Maji

    PreGE2025 Waziri Mkuu: Tume Huru ya Uchaguzi imeshatuambia uchaguzi upo, chama kinachotaka kwenda kiende

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa ametoa rai kwa wananchi kuwa makini na kauli zinazotolewa na watu mbalimbali kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, akisisitiza umuhimu wa kuchuja maneno na kulinda mshikamano wa taifa. Akizungumza katika mkutano wa hadhara leo...
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Tume Huru ya Uchaguzi yatangaza majimbo mapya nane, Dar es Salaam yapata Kivule na Chamazi

    Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi, Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele leo Mei 12,2025 ametangaza kuwa Tume hiyo imekubali kuanzisha Majimbo mapya ya uchaguzi nane katika Mikoa mbalimbali nchini ambapo kwa Mkoa wa Dar es salaam yameanzishwa Majimbo mapya mawili ambayo ni Jimbo la Kivule na Jimbo la...
  3. pombe kali

    Ajira Tume Huru ya Uchaguzi ni kweli au utapeli?

    Salamu naomba wajuvi wa mambo mtusaidie hili kuna jumbe zina sambaa kwenye mitandao ya kijamii zikiwa na link ya ajira za tume huru ya uchaguzi nimejaribu kuingia kwenye link tajwa ila naona kama inakuwa na utaratibu ambao sio wa kawaida kwani kuna sehemu inasema share to your contacts...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Deus Kibamba: Katiba inasema Itakuwa ni marufuku kwa watu wanao husika na uchaguzi kujiunga na chama chochote cha siasa

    Mwanazuoni na mchambuzi wa masuala ya siasa, Deus Kibamba amesema kuwa kitendo cha mmoja wa Makamishna wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuwa na historia ya kuwa kiongozi mwandamizi wa chama cha siasa kunaweza waondolea wananchi imani juu ya usimamiaji haki kwenye uchaguzi. Kibamba...
  5. Z

    Chadema ndio wanapaswa kulaumiwa na wanachama wao kwa kukataa kusaini kanuni za maadili na sio kuilaumu Tume Huru ya Uchaguzi

    Nimemshangaa sana mzee wetu Warioba Kuishangaa Tume na kuzishangaa Kanuni za uchugazi badala ya kuwashangaa Viongozi wa Chadema (Katibu Mkuu) ambaye kwa Jeuri tu walisusia kusaini kanuni hizo za uchaguzi na huku wakitambua kufanya hivyo kutawazuia wao kushiriki uchaguzi Mkuu. Jambo hilo sio tu...
  6. Just Pray

    PreGE2025 Waziri mkuu: Serikali tutahakikisha uchaguzi unakuwa wa amani na utulivu, Tume huru ya uchaguzi wametuambia watausimamia kwa uhuru, haki na uwazi

    "2025 huu ni mwaka wa uchaguzi, sisi kama serikali, kama wadau wa uchaguzi, pindi tume huru ya uchaguzi watatoa ratiba tunatarajia nyie ndiyo mtalieleza taifa (Wanahabari) na sisi ushiriki wetu ni kuhakikisha kwamba yale yaliyo muhimu ya kuufanya uchaguzi huu kuwa wa usalama, na kila mmoja...
  7. K

    PreGE2025 Ninaishauri mamlaka kuwa baada ya uchaguzi mkuu katiba mpya iandikwe upya na tume huru ya uchaguzi iundwe upya

    Kwa sasa Uchaguzi Mkuu umekaribia na bado miezi kama sita tu ambapo hakuna namna yeyote mabadiliko yanaweza kufanyika. Hivyo naomba Mamlaka kufanya yafuatayo mara tu baada ya Uchaguzi mkuu Oktoba, 2025. (1) Mamlaka ichukue jukumu la haraka kuandika Katiba Mpya ambayo imepigiwa kelele sana na...
  8. Wazolee

    Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi, No Reform no Election, Hizi ndio sera za CHADEMA wanazozihubiri kwa zaidi ya miaka 10

    Hizi ndio sera za CHADEMA wanazo zihubiri katika majukwa Yao Kwa zaidi ya miaka kumi Sasa Katiba mpya CHADEMA wanaamini kwamba katiba mpya itakuja na uwepo wa serikali tatu hivyo katika hizo serikali 3 na wao wanaweza kupata japo Moja Tume huru ya uchaguzi CHADEMA wanahisi Huwa wanaibiwa...
  9. H

    PreGE2025 CCM kukataa tume huru ya uchaguzi, ni kukubali wazi kuwa huwa hawashindi bali wanapora uchaguzi

    CHADEMA wanachokitaka kupitia NO REFORM NO ELECTION siyo wao kupewa upendeleo, bali kuwa na uchaguzi huru na wa haki ili yeyote anayeshinda, awe ameshinda kwa haki. Na ili hilo liwezekane, kwanza, ni lazima Tume ya uchaguzi na wote wanaosimamia mchakato wa uchaguzi ni lazima wawe huru wasiokuwa...
  10. P

    Hekima imuongoze rais katika hili

    Kampeni ya No Reforms, No election ina hoja za msingi sana na ni vyema CCM wakakubali kuwepo na tume huru na mchakato wa uchaguzi ulio wazi kabisa. Kuna baraka nyingi sana kutoka kwa Allah unapokuwa umeshinda kwa haki. Kwenye hili la Tume huru ya Uchaguzi: Katika akili za kawaida kabisa...
  11. S

    CCM: Chama changu semeni kwa nini hatutaki tume huru ya uchaguzi

    Mjadala nyeti hivi sasa kwenye Taifa letu ni kuwepo kwa tume huru ya uchaguzi. Pamoja na ukweli huu, ukweli ni kuwa chama changu CCM kimeshindwa kuwaeleza watanzania kwa nini hakitaki tume huru ya uchaguzi?. CC: Wasirra Warioba, Amos Makalla, J.M.Kikwete Wapenda...
  12. funaku

    PreGE2025 Sitarajii kuona Mahakama inaingilia maamuzi ya Tume Huru ya Uchaguzi

    mimi sio mwanasheria lakini naamini mojawapo ya mabadiliko yaliyofanyika ni pamoja na kuibadili tume kutoka TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NA KUWA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI. Katika jaribio la kwanza kabisa la Kisheria ni kwamba sitegemei kusikia Maamuzi iliyoyafanya Tume huru ya uchaguzi...
  13. and 998 others

    Hongereni Tume HURU ya Uchaguzi Tanzania

    Hakika Tume ni HURU kweli kweli. Kanuni za Maadili ya Uchaguzi zinasainiwa peupe. Tunajivunia. Tukutane site Oktoba 2025.
  14. Just Pray

    PreGE2025 Hoja sita za ACT Wazalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, yataka Tume huru ya Uchaguzi iwe ya kweli

    Chama cha ACT Wazalendo kimeainisha hoja sita muhimu ambazo kinasisitiza kuwa utekelezaji wake na Serikali pamoja na Tume ya Uchaguzi ni msingi wa kujenga mazingira ya kuaminiana kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza katika Kongamano la Tatu la Operesheni Linda Demokrasia...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    PreGE2025 Tume Huru na ya Haki ya uchaguzi inahusu Watanzania wote. Hata WanaCCM wanaihitaji. Sio kuziabudu baadhi ya Familia za viongozi Kutafuta huruma

    Bila Shaka hamjambo! Hata Wana CCM wengi wamechoka kuabudu na kuogopa baadhi ya familia za viongozi. Hakuna mwana CCM anayependa kuwa Chawa, au mzazi anayefurahia kuona mtoto Wake aliyemzaa anakuwa Chawa WA watu wengine. Yaani umzae mtoto wako, umsomeshe na kumlea kwa jasho na Damu ili mwisho...
  16. K

    Tume Huru ya Uchaguzi iajiri watumishi watakaosimamia Uchaguzi Mkuu ambao siyo watumishi wa umma

    Ili uchaguzi uwe huru na haki ni vema Tume Huru ya Uchaguzi ikaajiri watumishi watakaosimamia uchaguzi mkuu 2025 ambao siyo watumkshi wa umma. Waigeni wenzenu wa nchi jirani ya Kenya ambayo Tume yao ina watumishi wa kudumu mpaka ngazi ya Kata. Kusitokee tena figisufigisu ya miaka ya 2020 na...
  17. B

    PreGE2025 Nani anayeaminika kuwemo kwenye Tume Huru ya Uchaguzi?

    Katika hali ya kawaida sio kwamba wahusika wamepuuza kinachoendelea kutokana na mapendekezo ya vyama vya upinzani. Ukweli ni kwamba nyuma ya pazia wanajaribu kuona cha kufanya (wanapima) kwamba ni njia gani watumie ili kuukubali mchakato wa mageuzi ya uchaguzi yanayopendekezwa. Huku juu juu...
  18. R

    Je, unaunga mkono hoja ya kuongezewa muda Rais aliyepo mamlakani Ili kusimamia Reforms kupata katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi baada ya 2025?

    Helow! Hoja ya kufanya reforms kwenye katiba iliyopo kupata Tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kabla ya uchaguzi wowote imeeleweka. Na kwa kuwa mamlaka ya mwisho kikatiba yapo chini ya umma wa wananchi, nichukue fursa hii kuuliza watanzania wenzangu ikiwa wapo tayari kumuona Rais aliyepo...
  19. Influenza

    PreGE2025 John Mnyika: Rais Samia hajasema ukweli kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi kuundwa kwa kuzingatia maoni ya Wadau wote

    Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amaema kupitia ukurasa wake wa X kuwa Rais Samia amedanganya kwenye baraza la Eid kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi Amesema “Rais Samia hajasema ukweli kwenye Baraza la Eid kwa kudai kuwa tayari Tume Huru ya Uchaguzi imeundwa kwa kuzingatia maoni ya wadau wote na...
  20. M

    PreGE2025 Viongozi wa CCM acheni kuisemea Tume Huru ya Uchaguzi

    Nakumbuka mwaka 2019/2020 aliyekuwa Rais wa wakati ule, John Pombe Magufuli ambaye pia alikuwa mgombea urais wa mwaka 2020 kupitia chama cha CCM alinukuliwa akisema "Uchaguzi utakuwa huru na wa haki". Yaliyotokea kutokana na uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2019 na uchaguzi mkuu wa mwaka...
Back
Top Bottom