tume huru ya uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mkalamo

    CHADEMA imeweka Mgombea jimbo la Konde. Je, ni kuhalalisha Tume ya Uchaguzi?

    Katika siku za hivi karibuni Chama cha Demokrasia na maendeleo, kupitia viongozi, wanachama na washabiki wake kote nchini, waliutangazia umma kuwa hawatashiriki uchaguzi wowote kama hakutakuwa na tume huru ya Uchaguzi. Mbaya zaidi ikakinyooshea kidole chama cha ACT Wazalendo, kilichoshiriki...
  2. technically

    Ushauri: CHADEMA na NGO's waitishe maandamano ya amani kudai Katiba ya Warioba na Tume Huru ya Uchaguzi

    Muda ni sasa, kesho ipo karibu sana na tutashtukia tayari 2025 hiyo. Hatuna Tume Huru wala Katiba mpya. Kama tuna pesa za Mwenge wa Uhuru tunakosa vipi pesa ya kumalizia Katiba ambayo ipo tayari kwa 90%? Kama tuna pesa za kufanya SENSA ya watu na makazi mwaka 2022 tunakosaje pesa ya kumalizia...
Back
Top Bottom