tule

Schoenoplectus acutus (syn. Scirpus acutus, Schoenoplectus lacustris, Scirpus lacustris subsp. acutus), called tule , common tule, hardstem tule, tule rush, hardstem bulrush, or viscid bulrush, is a giant species of sedge in the plant family Cyperaceae, native to freshwater marshes all over North America. The common name derives from the Nāhuatl word tōllin [ˈtoːlːin], and it was first applied by the early settlers from New Spain who recognized the marsh plants in the Central Valley of California as similar to those in the marshes around Mexico City.

View More On Wikipedia.org
  1. Logikos

    Janga wachume wao, Kula tule Sisi !!!

    Hata wahenga walisema mchuma janga hula na wakwao na sio mchuma Janga hupelekea wengine wakale...; Ni mengi yalikuwa yakitokea na tuliyaona tangia kitambo; Impunity, Ufisadi, Ufujaji na sio tu kutokujua kula na vipofu bali watu walikuwa mpaka wanawatemea mate let alone kutokuwashika mkono...
  2. Mzee Mwanakijiji

    PostGE2025 Ka-nzi Activated... Mauaji ya Mamia... Wamelishana Yamini, na Sisi Tule Yamini...

    Na. M. M. Mwanakijiji Sioni namna gani Samia anaweza kujiuzulu halafu mambo yakaisha. Video na picha zinazoendelea kutoka sasa hivi na zile zitakazotoka baadaye zinatudokeza uzito, ukubwa na uovu uliofanyika kati ya Oktoba 29 na Nov 3/4. Tunaweza kuona kuwa kilichofanyika hakikuwa suala la...
  3. Sir robby

    Muungano wetu ulikuwa wa kubadilisha jina kutoka Tanganyika kuwa Tanzania kwani Zanzibar ipo vile vile ila Tanganyika haipo

    Wadau MUUNGANO wetu ni Wa Nchi 2 Tanganyika na Zanzibar. Matokeo ya MUUNGANO huu yakaizaa Nchi ya TANZANIA. Jambo la AJABU NCHI ya ZANZIBAR imeendelea kuwepo licha ya kuungana na Tanganyika lakini Nchi ya TANGANYIKA HAIPO Swali Kwanini Tanganyika ilipotea Bali Zanzibar ipo? Kama Serikali ya...
  4. Komeo Lachuma

    Pole pole kama wewe umeshiba tuache wengine tule. Usitaki mwagia mchanga kwenye sinia la wali. TUTAONANA WABAYA

    Leo tutahakikisha huathiri maisha ya watu kwa namna yoyote. Wewe uliamua kuachia Ubalozi. Wengine bado tunataka tufanye kazi na tustaafu kwa Manufaa ya familia. Unalotaka kufanya ni kuharibia watu maisha na harakati. Jipime ndugu yangu. Usidhani hilo jambo lako litaleta mabadiliko. Halitaleta...
  5. Ritz

    Tetesi: Freeman Mbowe kutimkia CHAUMMA

    Wanaukumbi. Taarifa za ndani zinaweka wazi kuwa Mbowe ameamua kujinga na CHAUMMA. Mbowe kwenda CHAUMMA.. kwanini wafuasi wa Chadema hawataki na wanamshambulia mbona Lissu, alikuwa NCCR Mageuzi au? Tatizo lipo waoi. Pambaneni kuzuia uchaguzi si mlisema mwaka huu hakuna uchaguzi sasa...
  6. T

    Ili tule pesa ya Shabiby kura ya maoni Gairo ni kumshindanisha na Prof. Joel Mmasa mgombe mwenye nguvu. Tutamchangia pesa ya fomu Profesa.

    Pesa ya mwarabu ni ngumu kutoka hasa amapokuwa na wagombea dhaifu anaowaandaa mwenyewe. Kipindi kilichopita tulinemeka wajumbe kwa sababu Dr. Mmasa wa Udom kuwa tishio kwake hasa kwa usomi wake na umaarufu wa baba yake. Japo hatoi pesa inayoweza kushindana na pesa ya Shabiby. Kijana huyu msomi...
  7. 888I

    Tule Vinavyotolewa… Lakini Tusiuzwe!

    #NoReformsNoElection Wananchi wa Butiama wamepewa ng’ombe 500 kama sadaka ya Eid al-Adha kutoka kwa Mbunge wao, Jumanne Sagini – tukio lililopambwa kwa kauli za mshikamano, imani na upendo. Nalishukuru tukio hilo. Hakika ni tendo la ukarimu, na linalogusa mioyo ya walio wengi. Lakini hapa...
  8. Carlos The Jackal

    Tule tujamaa twa 'Mama asemewe'. tumepotelea wapi?? huwezi Kupambana na Ukweli ,Uhalisia !!.

    Wakuu, tujamaa tule tumeenda wapi??.
  9. Mwachiluwi

    Leo tule catress na juice

    Leo niliji mwaga mapema sana saa nne nipo home Njaa ikawa inauma dah kuagiza chakula naona uvivu hapa nikaamua kwenda kwenye friji kutafuta chochote kitu Nikanywa mtindi nikaona mayai ndio nikapata wazo la catress Nikaanza kuandaa viazi mbatata nikachemsha baada ya kuiva nikaanza kusaga...
  10. Mwachiluwi

    Tule mishikaki, ndizi, viazi,kachumbari na matunda

    Leo nikaona vyema kuandaa chakula hiki chepesi sana kupika Kwanza nilianza kumenya viazi kama unavyo ona Niliacha vichuje maji vizuri baada ya kuosha then nika menya ndizi na kuweka kwenye maji ili zisiwe nyeusi Kabla ya hapo nili andaa nyama yangu mda kidogo nikaweka...
  11. Mwachiluwi

    Tule chapati na kitimoto roast

    Hello Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo Nikaanza na chapati Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto...
  12. H

    SoC04 Tule Mlo kamili na upimaji afya viwe ni vipaombele Kwa mtoto wa kesho

    Tukisema mtoto ni taifa la kesho iwe Ina maanisha Kwa vitendo Kwa wadau wazazi mpka serikali yenyewe. Ifike mahali wataalam waafya watoe masomo ya mlo kamili Kwa kina mama wajawazito wapo kliniki ili kutengeneza mtoto Bora wa kesho pia ni vizuri wataalam wa afya wakawaoa elimu mama wa jawazito...
Back
Top Bottom