Maboss.
Naomba mwongozo wa kujitoa kwenye Chama cha Wafanyakazi (TUGHE) HR ameonesha ujeuri wa kutonipa ushirikiano.
Najitoa kwasababu binafsi. Naamini sio kosa Kiutumishi.
Asanteni.
Kwanini Watumishi tunaungwa katika Vyama vya Wafanyakazi, Chama Cha Wafanyakazi Wa Serikali Na Afya Tanzania (TUGHE)na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) bila kuchagua?
Kuna hivi vyama vya Wafanyakazi TUGHE na TALGWU wanakuunga kilazima bila mfanyakazi kujua, hawakupi...
Anonymous
Thread
afya
ajira
ajira mpya
bila
katika
kilimanjaro
kuchagua
mpya
mwanga
ridhaa
talgwu
tughe
vyama
vyama vya wafanyakazi
wafanyakazi
watumishi
wilaya
Mei mosi iko njiani ila changamoto ya hivi vyama vya watumishi bado vinaukandamizaji,, uwajibikaji usio na tija kwa viongozi wa matawi pamoja na kukata pesa watumishi kwenye mishahara yao bado kumekua na ushirikishwaji mdogo kwa wanachama,,
Tshirt zisizo na ubora,, miradi ya matawi kumilikiwa...
Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimelalamikia uwepo wa Kanuni inayokiuka Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayowazuia watumishi wa umma kujihusisha na masuala ya wafanyakazi, jambo ambalo limekuwa kero na kuzuia ukuaji wa vyama hivyo pamoja na kudhoofisha hima...
Kimsingi naona mwaka huu wafanyakazi utumishi wa umma wanaotarajia kusheherekea siku yao maalum wamepigwa na kitu kizito kichwani maana hizo t-shirts hazina mvuto wowote na zimekuwa zikijirudia mwaka kwa mwaka na huenda ni matoleo ya miaka iliyopita yakabaki ndio wanarudishiwa licha ya michango...
Ndani ya Jeshi la Polisi Tanzania kuna Chama cha Wafanyakazi (TUGHE) ambacho kinaundwa na raia, I mean wale ambao siyo police officers but wapo ndani ya Jeshi la Polisi.
TUGHE ina matawi mengi, that’s why nimeeleza kwa ufafanuzi kuwa ninaowazungumzia hapa ni wale walio ndani ya jeshi hilo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.