Shirikisho huru la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema lina matumaini na Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atashughulikia madai yao ya muda mrefu yalipwe kwa wakati ili kuinua maisha ya wafanyakazi.
Shirikisho huru la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema...
Maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi mwaka 2020 yamefutwa na Serikali kutokana na Mapambano ya COVID 19. Zikiwa Zimesalia siku 5 kufikia siku hii muhimu kwa wafanyakazi kote nchini sioni hatua wala jitihada zozote za Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi kutetea Maslahi mapana ya Wanachama wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.