trump

Donald John Trump (born June 14, 1946) is the 45th and current president of the United States. Before entering politics, he was a businessman and television personality.
Trump was born and raised in the New York City borough of Queens, and received a B.S. degree in economics from the Wharton School at the University of Pennsylvania. He took charge of his family's real-estate business in 1971, renamed it The Trump Organization, and expanded its operations from Queens and Brooklyn into Manhattan. The company built or renovated skyscrapers, hotels, casinos, and golf courses. In the 1980s and 1990s, following setbacks in several highly leveraged real estate ventures, Trump diversified into various side ventures, mostly by licensing his name. He co-authored several books, including The Art of the Deal. He owned the Miss Universe and Miss USA beauty pageants from 1996 to 2015, and produced and hosted The Apprentice, a reality television show, from 2003 to 2015. Forbes estimates his net worth to be $3.1 billion.
Trump entered the 2016 presidential race as a Republican and defeated 16 other candidates in the primaries. His political positions have been described as populist, protectionist, and nationalist. He was elected in a surprise victory over Democratic nominee Hillary Clinton, although he lost the popular vote. He became the oldest first-term U.S. president, and the first one without prior military or government service. His election and policies have sparked numerous protests. Trump has made many false or misleading statements during his campaign and presidency. The statements have been documented by fact-checkers, and the media have widely described the phenomenon as unprecedented in American politics. Many of his comments and actions have also been characterized as racially charged or racist.
During his presidency, Trump ordered a travel ban on citizens from several Muslim-majority countries, citing security concerns; after legal challenges, the Supreme Court upheld the policy's third revision. He enacted a tax-cut package for individuals and businesses, rescinding the individual health insurance mandate. He appointed Neil Gorsuch and Brett Kavanaugh to the Supreme Court. In foreign policy, Trump pursued an America First agenda, withdrawing the U.S. from the Trans-Pacific Partnership trade negotiations, the Paris Agreement on climate change, and the Iran nuclear deal. He imposed import tariffs triggering a trade war with China.
A special counsel investigation did not find sufficient evidence to establish criminal charges of conspiracy or coordination with Russia, but found that the Trump campaign welcomed the foreign interference under the belief that it was politically advantageous. Trump was also personally investigated for obstruction of justice and was neither indicted nor exonerated. In a July 2019 telephone call, Trump pressured the Ukrainian president to investigate Joe Biden, a potential rival U.S. presidential candidate for 2020, and his son Hunter Biden. A whistleblower alleged a White House cover-up and a wider pressure campaign which may have included the withholding of military aid to Ukraine, sparking the Trump–Ukraine scandal. In response, the House of Representatives initiated an impeachment inquiry to investigate whether Trump had abused his office for political gain.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Trump anaishukuru Iran kwa kutoa notisi ya mapema ya Marekani, Nina furaha kuripoti HAKUNA Wamarekani waliojeruhiwa

    Trump anaishukuru Iran kwa kutoa notisi ya mapema ya Marekani, anasema sasa ni wakati wa amani "Iran imeitikia rasmi Ufutaji wetu wa Vifaa vyao vya Nyuklia kwa jibu dhaifu sana, ambalo tulitarajia, na tumekabiliana kwa ufanisi sana," Rais wa Marekani Donald Trump alisema katika chapisho kwenye...
  2. Marekani Raia waandamana kumtaka Trump aondoke madarakani.

    Tayri wananchi wa US wameanza kushinikiza kuondoka kwa donald trump kwa kuanzisha maandamano.
  3. Rais Trump anampenda sana Mungu: Sikiliza alivyohitimisha hotuba yake baada ya kuvisambaratisha vinu vya nyuklia – Iran

    Katika hotuba yake aliyoitoa Ikulu - White House, mara baada ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya vinu vya nyuklia vya Iran, Rais Donald Trump amehitimisha hotuba hiyo kwa maneno ya kugusa sana moyo, yanayoonesha wazi kuwa anamcha Mungu kwa dhati na kutambua uongozi wake mkuu. Namnukuu...
  4. U

    Trump: Ama kutakuwa na amani au msiba kwa Iran; tumebakiwa na malengo mengi

    Trump: Ama kutakuwa na amani au msiba kwa Iran; tumebakiwa na malengo mengi Na Jacob Magid Fuata Leo, 5:18 asubuhi "Hili haliwezi kuendelea. Kutakuwa na amani au kutakuwa na janga kwa Iran kuliko tulivyoshuhudia katika siku nane zilizopita," Rais wa Marekani Donald Trump anasema katika hotuba...
  5. Trump yupo tayari ku "discredit" Vyombo vyake vya usalama kumtetea Netanyahu

    Ni kama vile serikali ya Marekani inamilikiwa na Israel. Inawezekana vipi akasema Tulsi ( mkuu wa intelligence) haujui kitu basda ya kuulizwa kua report ya march 2025 inaonesha Iran hana nuclear weapon? Inamana anaamini Netanyahu yuko sahihi lakini vyombo vya usalama vya Marekani haviko...
  6. R

    Trump atoa dirisha la wiki mbili kufanya majadiliano ya amani na Iran. Muda ukiisha atishia kuishambulia Iran

    Uamuzi wa Rais Donald Trump kufungua dirisha la majadiliano la wiki mbili kabla ya kuamua iwapo ataiamuru Marekani kuishambulia Iran umechochea harakati za haraka za kuanzisha tena mazungumzo ambayo yalikwama wakati Israel ilipoanza mashambulizi yake wiki iliyopita Kwa mujibu wa maafisa wa...
  7. Serikali ya Trump kupiga mnada mamilioni ya ekari za ardhi ya umma kuongeza mapato ya serikali

    Mpango wa serikali ya Trump kuuza zaidi ya ekari milioni 250 za ardhi ya umma iliyopo chini ya uangalizi wa serikali kuu kwa watu binafsi umepingwa vikali na kulaaniwa kila kona na raia wengi wa Marekani wa pande zote za kisiasa. Miongoni mwa ardhi zitakazouzwa zinajumuisha milima, nyika, misitu...
  8. U

    Trump atatoa wiki mbili zaidi kwa ajili ya diplomasia kabla ya kufanya uamuzi kuhusu shambulio la Marekani dhidi ya Iran

    Trump atatoa wiki mbili zaidi kwa ajili ya diplomasia kabla ya kuamua juu ya shambulio la Marekani dhidi ya Iran, yasema Ikulu ya White House Msemaji wa Ikulu ya White House, Karoline Leavitt, alizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari Alhamisi, mjini Washington, DC. Rais Donald...
  9. U

    Trump ameidhinisha mpango ya kuishambulia Iran

    Breaking News Trump ameidhinisha mipango ya kuishambulia Iran, - 19 Juni 2025, 12:30 asubuhi 2 Juni 18, 2025. (Brendan Smialowskyi/AFP) Rais wa Marekani Donald Trump aliwaambia wafanyakazi kwamba ameidhinisha mipango ya kuishambulia Iran, lakini...
  10. U

    Trump scoffs at Putin’s offer to help mediate Israel-Iran conflict: ‘Do me a favor, mediate your own’

    Trump scoffs at Putin’s offer to help mediate Israel-Iran conflict: ‘Do me a favor, mediate your own’ By AFP Today, 7:03 pm US President Donald Trump meets with Russian President Vladimir Putin at the G-20 Summit in Hamburg, Germany, July 7, 2017. (AP/Evan Vucci, File) US President Donald Trump...
  11. U

    Trump akataa kusema kama anapanga kuivamia Iran, asema Tehran inataka kujadiliana

    Rais wa Marekani Donald Trump amekataa kusema iwapo atauamuru mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, licha ya kutoa kauli hapo jana zilizoashiria kuwa anaelekea kufanya hivyo. “Naweza kufanya hivyo. Naweza pia nisifanye. Hakuna anayejua nitakachofanya,” Trump aliwaambia waandishi wa...
  12. Khamenei: Trump anajaribu kutupiga mkwara, Iran haijawahi kuogopa mikwara na haijawahi kukubali kishindwa

    Trump alijaribu kumchimba mkwara Ayatollah. Leo kapewa majibu yake na mzee. Maneno ya Ayatollah: The US President threatens us. With his absurd rhetoric, he demands that the Iranian people surrender to him.They should make threats against those who are afraid of being threatened. The Iranian...
  13. W

    Serikali: Tumeona tangazo la Marekani, Tumeanza kufanya Mashauriano

    Kufuatia taarifa ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu la kutaka nchi 36 kutaka kufanyia kazi baadhi ya mambo kadhaa ya kiuhamiaji ambayo yanaweza kuzuia raia wa Kitanzania kuzuiwa kuingia Marekani Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa amesema " Naomba kuujulisha umma kuwa tayari Serikali ya...
  14. A

    Trump Anaogopa Kuifuta Iran Vitisho Vyake Havikuwatisha Iran

    Iran si ya kutishwa kama walivyo dhani, leo Trump kisha anza kufyata mkia anasema umvunilivu wa Iran hata USA hauwezi. Mmefahamu au bado, anakusudia siwezi ingia direct vita na Iran sababu wamarekani hawana uwezo wa kusubiri kipigo cha Iran. Anasema Iran wanauwezo huo wa kusubiri , kipigo cha...
  15. W

    Trump anadai kumiliki anga la Iran, kasema hakuna nchini yenye vifaa bora vya ulinzi kama Marekani

    Siku kadhaa baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kuwaonya raia wa Iran waliopo mji wa Tehran kuhama mara moja kuwa kutakuwa na mashambulizi yanayoweza kufanyika katika eneo hilo amedai kuwa ba udhibiti wa anga la Iran Kupitia mtandao wa Truth Social Trump ameandika kuwa “Marekani sasa...
  16. P

    Trump: Marekani inaweza kumuua Ali Khamenei, ni "easy target" inajua wapi yupo ila haitafanya kwa sasa

    Rais wa Marekani, Donald Trump amesema kuwa Marekani inaweza kumuua Supreme Leader Ali Khamenei kwasababu ni "easy target" na inajua wapi alipo ila haitafanya kwa sasa ====== Trump: US could kill Iranian leader but won't - "for now" Donald Trump says the US knows where Iranian Supreme Leader Ali...
  17. Trump abadili msimamo, asema Iran iache kabisa mawazo ya nyuklia, hamna tena ruhusa kumiliki nyuklia ya nishati

    Kilichokua kinajadiliwa ilikua Iran ipunguze nyuklia au madini ya uranium, na kubaki na ya matumizi ya nishati tu, ila sasa inashurutishwa iache kabisa mawazo ya nyuklia, na mpaka sasa anga ya Irani imetekwa na Israel, ndege zinapiga zitakavyo...... US President Donald Trump said on Tuesday...
  18. Kuna kila dalili Marekani itajiunga na vita ya Iran-Israel. Rais Trump akatisha ziara ya G7

    Rais Trump kakatiza ziara yake ya kikao cha G7 huko Canada. Tayari inadaiwa ndege za kivita za Marekani zimeanza kuruka kulizunguka anga la Iran. Endapo Marekani itaingia kwenye hiyo vita, Iran ndo basi tena. Maana hakuna mpinzani wa Marekani ikija kwenye mambo ya kijeshi [ukiacha makomandoo...
  19. Trump awaagiza watu waihame Tehran, huku hiyo Tehran ikiwaka moto

    Hamna namna hadi Ayatollah atie saini kuacha mawazo ya nyuklia, kwa sasa amesazwa na lile gauni lake ila wengine wote wanafagiwa.... Israel imefanya maangamizi makubwa sana mpaka hapo, Marekani ingeacha kwanza kama mzee na lile gauni lake atatia saini mkataba wa kuacha manyuklia, kwa kweli...
  20. W

    Msafara wa ndege za kivita za Marekani waelekea Mashariki ya kati baada ya Trump kutoa agizo la dharura raia wa Iran kuondoka Tehran, foleni imeshona

    Baada ya agizo la Dharura, Foleni ya kuondoka Tehran imekuwa ni kubwa sana, Trump kalazimika kukatisha mkutano unaoendelea nchini Canada wa G7 na kurudi haraka Marekani, Amewaagiza wajumbe wa Baraza la Usalama wa Taifa (NSC) wawe tayari kwenye chumba cha dharura (Situation Room)...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…