Viwango vya wachezaji wa Yanga vimeshuka,Aziz Ki injini ya timu hata timu ya Taifa hajaitwa yupo zake Tabata snall planet anakula shisha,kutoka kushinda tuzo ya mfungaji bora mpaka kuwa na holi moja katikati ya msimu,Dube mpaka aombe radhi kwa wazee wa Azam,Pacome amesusa anataka kuondoka,timu...