Wakati zoezi la uokoaji likiingia siku ya 7, idadi ya vifo inazidi kuongezeka, kwa upande Syria kuna vifo 3,575 na Uturuki pekee kuna vifo 24,617
-
Madhara mengine ni zaidi ya watu Milioni 13.5 wameathirika Nchini Uturuki huku wengine Milioni 5.3 wakipoteza makazi Nchini Syria na kiujumla zaidi...