Nawaza sana kuhusu Kinjekitile Ngwale.
Huyu mhenga aliwezaje kuwashawishi watu wa wakati wake kuamini kuwa “ Maji Maji” yangewazuia risasi za mkoloni? Je, watu wa Kilwa na maeneo mengine walikuwa wajinga? Au walikuwa watu wanaotafuta tumaini katika mazingira ya kukandamizwa kupita kiasi?
Je...