tanzania tuitakayo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    SoC04 Mfumo wa E-Afya kwa taifa lenye afya bora

    UTANGULIZI Huduma za afya nchini Tanzania zimekuwa za mbovu hali ambayo inapelekea wananchi wa kawaida kulalalamikia serikali kila mara na wengine kushindwa kuhudhuria shughuli za kimaendeleo kutokana na ukosefu wa huduma bora za afya kutowafika katika baadhi ya maeneo nchini. Baadhi ya kero...
  2. TUMA TANZANIA 1

    SoC04 Mfumo wa Elimu utengeneze viongozi na wafanyakazi sahihi

    Tanzania itakuwa yenye maendeleo endapo itakuwa na viongozi na wafanya kazi wazalendo, wasiopenda rushwa, na ambao sio wabinafsi. Kwa sasa tunapitia changamoto mbalimbali katika kustawi kwa taifa letu kutokana na viongozi na wafanya kazi kukosa sifa nilizozitaja hapo juu lakini chimbuko la...
  3. Edson Eagle

    SoC04 Mambo ya kuboresha ili kukuza elimu bora na yenye tija

    Serikali katika suala la elimu ihakikishe Inatatua changamoto ya uhaba wa walimu kwa baadhi ya shule Ukosefu wa vifaa vizuri vya kufundishia na kujifunzia Kuongeza mashule hususani katika maeneo yenye uhaba wa shule Kuandaa mitaala itakayowafanya wanafunzi kujifunza uhalisia wa changamoto...
  4. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Imekuwa ni jambo la kawaida kila mara zifanyikapo sherehe za kitaifa (Sherehe za Uhuru, Muungano na Mapinduzi ya Zanzibar) kuambatana na maonyesho ya kijeshi. Maonyesho haya yamekua yakionyesha mbinu kadha wa kadha wanazotumia wanajeshi wakiwa vitani. Ni jambo la kuvutia na kusisimua sana...
  5. N

    SoC04 Akufaaye kwa Dhiki ndiye Rafiki

    Tanzania Tuitakayo, huweza kuja kwa kuwa na taifa moja ambalo ni rafiki zaidi ya ndugu (Special Relationship) kama urafiki (Special Relationship) uliopo kati ya mataifa yaliyoendelea zaidi duniani; USA na UK. 'Special Relationship' ni uhusiano wa kidiplomasia wenye nguvu, wenye umuhimu na wa...
  6. Edson Eagle

    SoC04 Serikali na Wananchi washirikiane kutatua changamoto katika elimu

    Tanzania bado tuna changamoto katika suala zima la elimu ikiwa ni pamoja na mazingira mabovu ya kujifunzia, uchache wa vifaa bora vya kufundishia nakujifunzia, uchache wa shule katika baadhi ya maeneo hususani vijijini. Katika Tanzania tuitakayo serikali kwa kushirikiana na wananchi tunatakiwa...
Back
Top Bottom