tafuta hela

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Ameniambia" Tafuta Hela" Najiuliza mbona yeye Wenye Hela hawamuoni?

    Duniani kuna majambo na vijambo. Basi bwana juzi nikiwa natoka kwenye mishe zangunza kijamii nikapita Atm. Eneo hilo kuna Parking so nikajump kidogo pale na kuweka Mkweche wangu. Eneo hilo hilo kuna Yard ya Wauza Nyapu. Turudi nyuma kidogo, siku hizi ukikutana na Mwanamke Mzuri au mwenye...
  2. Notorious thug

    Tunatumia vibaya neno "tafuta hela"

    Nimeona uzi flani wa mdau kaenda GSM MALL SHOP kaona kitanda kinauzwa 8M kaja na uzi anatushauri tutafute hela. Najiuliza tutafute hela kwa ajili ya kununua vitu vya bei kubwa na starehe nyingi zisizo na maana kisa tumetafuta hela? Naona tutafute hela tuukabili umasikini ila sio kwa kufanya...
  3. MamaSamia2025

    Acha makasiriko tafuta hela": kauli inayochochea mmomonyoko wa maadili

    Kwa wakati huu wakati taifa linakabiliwa na tatizo kubwa la kukosa maadili kumetokea pia namna nyingi za shetani na wafuasi wake kuwakatisha tamaa wale wote wanaopigania maadili mema. Imefikia wakati mtu ambaye anashauri kuhusu mwenendo mzuri kwenye jamii kudhalilishwa na kuonekana mjinga na...
  4. Killa Cam

    Tafuta hela ikusaidie uzeeni

    Tafuta hela iwe mlizi wako usitafute hela kwa kupata wanawake wazuri. Ukiwa na hela ina kupatia heshima kwenye familia na jamii. Ukiwa na hela ukiumwa inakuwa rahisi kwako kupata matibabu mazuri. Tafuta hela ikupe mke mwema sio mke mzuri, unaweza kuwa na mke mzuri wa sura na umbo lakini akawa...
  5. MAWEED

    Vitu ambavyo sio vya kufumbia macho ukiwa mwanaume

    Salaam, twende kwenye mada, Ukiwa kama mwanaume hutakiwi kufanya haya; 1. Kutokuwa na pesa wala kazi yoyote ya kukuingizia kipato. 2. Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja wakati huna kipato kikubwa. 3. Kumpondea mwanaume mwenzako kwa mwanamke. 4. Kutokuwa na manzi/kutofanya mapenzi. 5. Kutovaa...
Back
Top Bottom