taasisi imara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Suluhisho la Tanzania ni Taasisi imara, badala ya kutegemea Wanasiasa

    Nadhani mabadiliko ya kweli yanaanza kwa kuwa na independent institutions. Hii inamaanisha kuwa na free judiciary ambayo inaweza kutoa haki bila kuingiliwa na wanasiasa, strong anti-corruption body inayoweza kupambana na corruption kwa yeyote bila kujali nafasi yake, na free press inayoweza...
  2. Lord Denning

    Ukitaka kulimaliza Taifa lolote zimalize Taasisi hizi 4. Kagame yuko sahihi kutudharau Watanzania

    Ukimsikiliza Kagame anavyozungumza hivi sasa, unaelewa kabisa huyu mtu anawajua majirani zake inside out kiasi ambacho hawawezi kumwambia chochote au kufanikiwa kumfanya chochote. Ukimsikiliza Kagame vizuri utaelewa kuwa, kwa sasa anajua kabisa kuwa Tanzania ni Taifa ambalo limeshajifia...
  3. K

    Kanisa ni taasisi imara ilikuwepo na itakuwepo milele hakuna wa kulifuta kanisa isipokuwa Mwenyezi Mungu tu

    Leo siku ya pentecost tunafundishwa kuwa ni sikukuu ya kuzaliwa Kwa kanisa takatifu la Mungu sikukuu ya Mavuno... Watu Wana ongea lugha mbalimbali lakini zote Zina msifu Mwenyezi Mungu... Hakuna wa kulifuta wala kulivunja hekalu katatifu( KANISA) 1. Kanisa ni nyumba muhimu 2. Kanisa ni ofisi...
  4. hmaloh

    Msaada: Nahitaji kufahamu kuhusu kuanzisha taasisi

    Habari za muda huu wana JF,nahitaji kufahamu ni mambo gani ya msingi yanayohitajika ili kuanzisha taasisi. Na je taasisi inaweza kuanzia ngazi ya Kijiji au kata? naombeni msaada wenu ndugu zangu.
  5. Msanii

    Katiba yetu ya leo inakosa MAMLAKA ya kuwajibisha. Katiba inapaswa kuunda Taasisi imara na siyo kinga kwa viongozi wasiowajibika ipasavyo

    Rais ambaye ndiye mlinzi namba moja wa KATIBA ya nchi anasema ni KIJITABU.... na hakuna uwajibikaji wowote kwenye hilo (Ibara ya 26.-(1) Kila mtu ana wajibu wa kufuata na kutii Katiba hii nasheria za Jamhuri ya Muungano.) Bunge letu linapokea na kupitisha kwa mbwembwe miswada yote ambayo ina...
  6. D

    SoC03 Utawala Bora na Ujenzi wa Taasisi Imara kwa Maendeleo ya Taifa

    Utawala Bora na Ujenzi wa Taasisi Imara kwa Maendeleo ya Taifa Utangulizi Maendeleo endelevu ya taifa ni lengo kubwa linalopatikana kupitia utawala bora na ujenzi wa taasisi imara. Taifa lenye utawala bora na taasisi zilizoimarika huweka misingi thabiti kwa maendeleo ya jamii na kushughulikia...
  7. J

    Askofu Bagonza: Ili tusirudi huko tulikotoka Mifumo na Taasisi Imara ndio muhimu kuliko Super Woman au Super Mwamba!

    Askofu Bagonza wa KKKT Ngara amesema Ili tusirudi huko tulikotoka Mifumo na Taasisi Imara Ndio muhimu kuliko Super Woman au Super Mwamba Bagonza amesema takwa la Katiba mpya ni la Jana wala siyo la Leo na kwamba Watawala wanaihitaji Katiba mpya kuliko Watawaliwa Chanzo: Jambo TV
Back
Top Bottom