sudan

Sudan (; Arabic: السودان‎ as-Sūdān), officially the Republic of the Sudan (Arabic: جمهورية السودان‎ Jumhūriyyat as-Sūdān), is a country in northeastern Africa. It is bordered by Egypt to the north, Libya to the northwest, Chad to the west, the Central African Republic to the southwest, South Sudan to the south, Ethiopia to the southeast, Eritrea to the east, and the Red Sea to the northeast. Sudan has a population of 43 million people (2018 estimate) and occupies a total area of 1,886,068 square kilometres (728,215 square miles), making it the third-largest country in Africa and also the third-largest in the Arab world. Before the secession of South Sudan from Sudan on 9 July 2011, the united Sudan was the largest country in Africa and the Arab world by area. Sudan's predominant religion is Islam, and its official languages are Arabic and English. The capital is Khartoum, located at the confluence of the Blue and White Nile. Since June 2011, Sudan is the scene of an ongoing military conflict in its southern states.
Sudan's history goes back to the Pharaonic period, witnessing the kingdom of Kerma (c. 2500 BC–1500 BC), the subsequent rule of the Egyptian New Kingdom (c. 1500 BC–1070 BC) and the rise of the kingdom of Kush (c. 785 BC–350 AD), which would in turn control Egypt itself for nearly a century. After the fall of Kush, the Nubians formed the three Christian kingdoms of Nobatia, Makuria and Alodia, with the latter two lasting until around 1500. Between the 14th and 15th centuries much of Sudan was settled by Arab nomads. From the 16th–19th centuries, central and eastern Sudan were dominated by the Funj sultanate, while Darfur ruled the west and the Ottomans the far north. This period saw extensive Islamisation and Arabisation.
From 1820 to 1874 the entirety of Sudan was conquered by the Muhammad Ali dynasty. Between 1881 and 1885, the harsh Egyptian reign was eventually met with a successful revolt led by the self-proclaimed Mahdi Muhammad Ahmad, resulting in the establishment of the Caliphate of Omdurman. This state was eventually destroyed in 1898 by the British, who would then govern Sudan together with Egypt.
The 20th century saw the growth of Sudanese nationalism and in 1953 Britain granted Sudan self-government. Independence was proclaimed on 1 January 1956. Since independence, Sudan has been ruled by a series of unstable parliamentary governments and military regimes. Under Gaafar Nimeiry, Sudan instituted Islamic law in 1983. This exacerbated the rift between the Islamic north, the seat of the government and the Animists and Christians in the south. Differences in language, religion, and political power erupted in a civil war between government forces, strongly influenced by the National Islamic Front (NIF), and the southern rebels, whose most influential faction was the Sudan People's Liberation Army (SPLA), eventually concluding in the independence of South Sudan in 2011. Between 1989 and 2019, Sudan experienced a 30-year-long military dictatorship led by Omar al-Bashir. Due to his actions, a War in Darfur Region broke out in 2003. Bashir was accused of ethnic genocide. Overall, the regime left 300,000–400,000 dead. Protests erupted in late 2018, demanding Bashir's resignation, which resulted in a successful coup d'état on April 11, 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. Two link roads connecting Kenya to South Sudan to cost Sh22.6bn

    Two link roads connecting Kenya and South Sudan will cost at least Sh22.6 billion as the roads agency seeks to open up the northern corridor. The Kenya National Highway Authority (KeNHA) says in documents seeking approval from the National Environment Management Authority (Nema) that the first...
  2. Ripoti: Sudan Kusini Kinara wa Nchi zenye mazingira hatarishi kwa Watoa misaada Duniani

    Umoja wa Mataifa unasema Sudan Kusini inaendelea kuwa "mazingira yenye vurugu zaidi" kwa watoa misaada ya kibinadamu ikifuatiwa na Afghanistan na Syria baada ya Wafanyakazi 5 wa Mashirika ya Kutoa Misaada kuuawa wakiwa kazini Ndani ya Mwaka 2022 pekee Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya...
  3. Rais wa Sudan Kusini awafuta kazi Waziri wa Fedha, Gavana Benki Kuu

    Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir Mayardiit amewafukuza kazi Waziri wa Fedha, Agak Achuil Lual ikiwa ni miezi minane tangu alipomteua katika nafasi hiyo pamoja na Gavana wa Benki Kuu, Moses Makur. Baada ya uamuzi huo ambapo sababu hazijawekwa wazi, Rais Kiir amemteua Gavana wa zamani Dier Tong...
  4. Sudan Kusini yaongeza muda wa Serikali ya mpito kwa miaka 2

    Viongozi wa Sudan Kusini wametangaza hii leo kwamba Serikali ya mpito ya nchi hiyo itasalia madarakani kwa miaka miwili zaidi ya muda uliokubaliwa, katika hatua ambayo washirika wa kigeni wamesema inakosa uhalali. Waziri anayehusika na masuala ya baraza la Mawaziri Martin Elia Lomuoro, amesema...
  5. Sudan yafungua Mpaka wake na Ethiopia

    Sudan imefungua tena mpaka wake muhimu na Ethiopia wa Gallabat ambao ulifungwa Juni 27, baada ya kuishutumu Ethiopia kwa kuwanyonga wanajeshi wake saba. Taarifa ya kamati ya kiufundi ya Baraza la Ulinzi na Usalama la Sudan imesema uamuzi huo umechukuliwa baada ya viongozi wa Sudan na Ethiopia...
  6. Idadi ya vifo kutokana na ghasia za kikabila Sudan imefikia 65

    Idadi ya watu waliofariki kutokana na ghasia za Kikabila katika Jimbo la Blue Nile Nchini Sudan imefikia watu 65 na wengine 150 wakijeruhiwa tangu kulipozuka machafuko wiki iliyopita. Waziri wa Afya wa Jimbo la Blue Nile, Gamal Nasser al-Sayed amesema vurugu hizo zimetokana na uchochezi wa...
  7. K

    Sudan: Kondoo ahukumiwa miaka mitatu gerezani kwa kuua mtu

    Kondoo mmoja Nchini Sudan ya Kusini amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia na kumuua mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 45. Mmiliki wa kondoo huyo ameamriwa kulipa ng'ombe watano kwa familia ya mwanamke huyo na pia kondoo huyo atatolewa...
  8. Ethiopia na Sudan zafikia makubaliano ya amani

    Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed amesema amefikia makubaliano na kiongozi wa nchi jirani ya Sudan ili kusuluhisha kwa amani mzozo wa mpaka ambao umesababisha mapigano hivi karibuni Mazungumzo kati ya viongozi hao wawili yanafuatia mapigano katika eneo la mpakani mwezi Juni, ambapo Sudan...
  9. Sudan: Jeshi laridhia mchakato wa Serikali ya Kiraia

    Kiongozi wa Mapinduzi, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan amesema Jeshi litajiondoa katika mazungumzo ya Siasa yanayoendelea, na kuruhusu makundi ya Kisiasa na Kimapinduzi kuunda Serikali ya Mpito Tangu Mapinduzi ya Oktoba 2021, kumekuwa na maandamano ya kupinga Utawala wa Kijeshi takriban kila...
  10. Raia waandamana kupinga utawala wa Kijeshi Sudan

    Polisi nchini humo wanadaiwa kuwatawanya kwa mabomu ya machoI na risasi za moto Waandamanaji nchini humo waliodaiwa kufunga barabara kushinikiza ukomo wa utawala wa kijeshi, nakusababisha vifo takriban 9 na mamia kujeruhiwa Inaelezwa kuwa huduma za intaneti na simu zilikatizwa, mamlaka...
  11. UN: Watu zaidi ya 84,000 wamekimbia makazi yao Sudan

    Umoja wa Mataifa umeripoti Alhamisi kwamba ghasia magharibi mwa Sudan mwezi huu pekee zimewakosesha makazi watu zaidi ya 84,000. Umoja wa mataifa umeripoti Alhamisi kwamba ghasia magharibi mwa Sudan mwezi huu pekee zimewakosesha makazi watu zaidi ya 84,000. Imeongeza kuwa idadi hiyo...
  12. Sudan: Zaidi ya 30% ya raia wanakabiliwa na uhaba wa chakula

    Athari mbaya za Mabadiliko ya TabiaNchi, machafuko ya Kisiasa na kupanda kwa bei duniani vimepelekea uhaba wa Chakula kwa zaidi ya 30% ya Wananchi wa Taifa hilo Inaelezwa kuwa, Watoto Milioni 3 walio chini ya umri wa miaka mitano wanakabiliwa na Utapiamlo, na takriban 375,000 wanaweza kupoteza...
  13. Kutoka south Sudan kabila la DINKA nimekuta na hii

    MARRIAGE IN SOUTH SUDAN MEANS 4 YEARS OF FREEDOM FOR BRIDE Today we tour the Dinka custom of marriage. Despite payment of dowry that ranges from 100 to 500 cows, women are treated godly. Once a man gets married, his wife will not cook or sweep for 4 years. This period is called "Anyuuc"...
  14. L

    Mjumbe wa China ailaumu Marekani kwa kushindwa ikiwa kama kiongozi anayeshughulikia vikwazo vya Sudan Kusini

    Mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa Zhang Jun jana aliilaumu Marekani kwa kushindwa kutimiza wajibu wake ikiwa kama kiongozi wa Baraza la Usalama anayeshughulikia vikwazo vya Sudan Kusini. Wajibu wa kiongozi anayeshughulikia vikwazo ni kusaidia Baraza la Usalama kutoa azimio...
  15. L

    Sudan yakabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula au hata kuwa mgogoro wa chakula mwaka 2022

    Wataalamu nchini Sudan wameonya kuwa mwaka huu nchi hiyo inakabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula au hata kuwa mgogoro wa chakula, na idadi ya watu wanaoathiriwa na njaa inaweza kuongezeka na kufikia milioni 18 ambayo ni asilimia 45 ya jumla ya watu wa nchi hiyo. Mchumi wa Sudan Bw...
  16. N

    Al Hilal ya Sudan kumchukua Morrison na keeper wa Dodoma Jiji

    Bm 3 ana deals 2 moja kwenda sudan au saudi arabia na mshahara ni mkubwa sana ,tatizo ni kwamba kule starehe hakuna sijui kama ataweza. Kingine kikubwa ni kipa wa Dodoma jiji aitwaye Mohamed Yussuph ambaye yuko kwenye kiwango bora sana anahitajika huko sudan pia
  17. Waandishi wa habari Sudan Kusini walia kukosa uhuru

    Waandishi wa habari wa Sudan na Sudan Kusini wameeleza kuwa wanakabiliwa na vitisho, ukandamizwaji na ukamataji holela hali ambayo inaondoa uhuru wa utendaji kazi wao. Inadaiwa kati ya Januari na Machi 2022, maafisa wa usalama waliondoa makala kadhaa katika Gazeti la Juba Monitor, ambalo...
  18. Naomba kujuzwa namna ya kupata ajira za Sudan Kusini

    Ninatamani kupata nafasi ya ajira South Sudan. Kwa anayefahamu namna ya kupata ajira huko anisaidie. Mimi nna uzoefu wa kazi miaka 10. Nimefanya kwenye NGOs miaka 5+. Miaka 5 kwenye education sector. Nina elimu ya masters. Bahati mbaya sina experience ya kufanya kazi kwenye emergency.
  19. Rais Sudan Kusini aunda jeshi linalojumuisha pande hasimu

    Serikali ya Sudan Kusini imetangaza kuundwa kwa uongozi wa jeshi lililoungana, ikitekeleza kipengele muhimu cha makubaliano ya amani ya mwaka 2018 ambayo wafuatiliaji wanatumai yataisaidia nchi hiyo kupata afueni baada ya miaka kadhaa ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. Taifa hilo changa duniani...
  20. Sudan: Kesi ya kwanza ya anayedaiwa kuwa kiongozi wa Janjaweed yaanza kusikilizwa ICC

    Mwanamume anayeshutumiwa kwa kuongoza wanamgambo wanaoogopwa na serikali ya Sudan wanaojulikana kama "Janjaweed" akanusha mashtaka kadhaa ya uhalifu wa kivita mwanzoni mwa kesi ya kwanza ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu kuhusu mzozo wa Darfur. Ali Muhammad Ali Abd–Al-Rahman (72)...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…