subaru

Subaru (スバル) ( or ; Japanese pronunciation: [ˈsɯbaɾɯ]) is the automobile manufacturing division of Japanese transportation conglomerate Subaru Corporation (formerly known as Fuji Heavy Industries), the twenty-second largest automaker by production worldwide in 2012.Subaru cars are known for their use of a boxer engine layout in most vehicles above 1500 cc. The Symmetrical All Wheel Drive drive-train layout was introduced in 1972. The flat/boxer engine and all-wheel-drive became standard equipment for mid-size and smaller cars in most international markets by 1996, and is now standard in most North American market Subaru vehicles. The lone exception is the BRZ, introduced in 2012 via a partnership with Toyota, which uses the boxer engine but instead uses a rear-wheel-drive structure. Subaru also offers turbocharged versions of their passenger cars, such as the Impreza WRX, Legacy and Outback XT, Ascent, and previously the Legacy GT and Forester XT.
In Western markets, the Subaru brand has traditionally been popular among a dedicated core of buyers. Marketing is targeted towards specific niches centered on those who desire the company's signature drive train engine, all-wheel/rough-road capabilities or affordable sports car markets.Subaru is the Japanese name for the Pleiades star cluster M45, or the "Seven Sisters" (one of whom tradition says is invisible – hence only six stars in the Subaru logo), which in turn inspires the logo and alludes to the companies that merged to create FHI.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    JamiiForums Tanzania Ipi ni bora kati ya Subaru forester (Isiyo na turbo) na Volkswagen Tiguan, zote za 2010?

    Habari wakuu, Utamshauri mtu anunue gari ipi kati ya gari hizo mbili kwa kuzingatia vigezo vya mazingira ya miundombinu ya barabara zetu, hali ya kiuchumi (kipato cha kati) na upatikanaji wa mafundi wa kueleweka na vipuri. Subaru forester Volkswagen tiguan
  2. C

    JamiiForums Tanzania Land Rover Discovery 3 Vs Subaru Forester XS

    Wakuu nakuja humu kuomba wataalam kunipa ushauri Nina Subaru Forester XS 2.5 ya 2009 nataka kuiuza nihamie Land rover Discovery 3 ya 2005. Je wenye uzoefu wa Discovery 3 Hali ipoje Kwa spea, mafundi?
  3. A

    JamiiForums Tanzania Altezza zapotezwa na Subaru!

    Altezza gari za kibishoo zimepotezwa na mnyama Subie! Asanteni Sana #team_Subie# Kwa ushirikiano
  4. Valencia_UPV

    JamiiForums Tanzania Subaru Forester (2008-2023) unyama sana

    Hizi ndinga zimekaa vizuri kuanzia umbo la nje, speed 240kph (max), AWD, ground clearance nzuri. Vijana hizi ndo gari za kuendesha Kwa sasa si MURANO
  5. Valencia_UPV

    JamiiForums Tanzania Subaru Tribeca chuma makini

    Japo Subaru Forester imepata Promo na vijana walamba lips wengi wanainunua. Hiki chuma TRIBECA (Subaru) kimekosa kabisa machawa wa kupigia promo hapo Bongo?
  6. salehe magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    NISSAN DUALIS *CROSS RIDER Price :17.5mls (GARI NI MPYA 100%) Year 2010/2011 Engine Cc 1990 Full Ac Low mileage Rim sports 0688591584
  7. A

    JamiiForums Tanzania Mercedes Benz Sedan Vs Subaru Forester?

    Nimejichanga Sasa nataka kununua gari ili kujipongeza. Je gari gani ya kununua? Kati ya Benz E200 ya kuanzia 2009 Vs Subaru Forester XS ya kuanzia 2008.
  8. Mus_musa

    JamiiForums Tanzania Naomba maelezo kuhusu Subaru Impreza G4

    Habari. Kwa waliowahi kutumia hii gari naomba watuambie ikoje ubora wake kuanzia spea zake, fuel consumption iko vipi Asante!
  9. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Sikushauri kununua Impreza subaru

    Mnaonunua hili gari mmeangalia mazingira halisi ya hapa kwetu Tanzania? Gari ipo chini sana pia ni gari ambayo mafuta yanaenda mengi sana sijui kuhusu spare zake kama ni rahisi kuzipata hapa bongo, je mafundi wa magari hapa bongo wanaweza litengeneza ilo gari? Mafundi wa bongo ni wachache sana...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nichague ipi kati ya BMW X3 2013 au Subaru Forester 2013

    Kati ya gari hizi mbili ambazo naona kwasasa zinanunuliwa sana kwenye miji mikubwa zikiwa na namba E, ipi inafaa zaidi kwa matumizi ya kawaida ya mjini. Zote ni 2.0 AT petrol za mwaka 2013/14 na zote ni all wheel drive/4WD. Wenye uzoefu na hizi gari msaada. Budget yake ni kuanzia 43m mpaka 50m...
  11. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Subaru Foresta 2.5, 2017

    Hii Subaru ya South Africa ipo vizuri kwa muonekano Mbio kwa wakimbiaji na balance ipo pia..hapo naona inauzwa 32,000,000 Tsh bado kaizari na gharama za kusafirisha mpaka Tunduma...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Subaru Forester inauzwa

    Bei ni 10m. Maongezi yapo. Engine sio ya turbo. Kwa mawasiliano na kutest, 0689-601271 na 0685-493792
  13. Lyrics Master

    JamiiForums Tanzania Subaru Forester Vs Honda Crossroad

    Wakuu habari za Jumapili!? Kuna kahela nimepata kidogo nataka kuagiza gari. Baada ya kufikiria kwa muda mrefu nimetamani gari mbili tu; Subaru Forester au Honda Crossroad. Wataalam wa magari nichukue lipi hapa? Ushauri wenu wa maana sana kwangu. Asanteni.
  14. YETU MOTORS CO LTD

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Tunatoa huduma ya kuagiza magari ya aina mbalimbali

    PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
  15. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    ✍🏾Kwa jina Naitwa CECE motors. Najishughulisha na Uagizaji wa Magari mapya aina zote na nchi tofauti tofauti kama Japan,UK,Dubai, Singapore, e.t.c 👉🏼Pia Nafanya Clearing and Forward Agent Kwa Mizigo yoyote uliyoagiza/Utakayoagiza kama vile Magari,Makontena, E.t.c 👉🏼 Bila kusahau tunatoa Mikopo...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Magari makali

    ONDOKA NA GARI KWA BEI NAFUU SANA KARIBU WHATSAPP KWA MAELEZO ZAIDI 1.TOYOTA SPACIO ENGINE 1zz Engine cc 1970 Full Ac Full Document Bei Mil 8.8 2.RAUM NEW MODEL 2004 REG #DE Low Milleages. Engine 1nz CC 1490 Full Ac Full Document All duties and tax payed Bei Mil 8.8 3.TOYOTA IST 2004 REG #DR...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Kati ya Toyota Allex, wish na subaru impreza ipi ni gari nzuri?

    Wanajamvi Salaam. Nahitaji kununua gari kwa mara ya kwanza, naomba kufahamu kati ya Toyota Allex, wish na subaru impreza ipi ni gari bora na kwasababu zipi. Natanguliza shukrani za dhati kwa majibu yenu mazuri.
  18. Choro nondo

    JamiiForums Tanzania Subaru legacy year 2004

    Habari zenu ndugu zangu..natumai ni wazima wa afya kama ndo ivyo tumshukuru mungu kwa pamoja alhamdulilah mimi ndugu zangu na subaru legacyb4 year2004 shida yangu moja tu kwenye ac nikiwasha ac ubaridi unakuja baadae unakata nalafu unarudi tena ivyo ivyo nishajaza sana gas nakusafisha filter...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Subaru Forester xt bomba mbili inahitajika, bajeti 22m

    Wakuu habari Subaru Forester xt bomba mbili inahitajika, ambayo haijasajiliwa, ya showroom nyeusi isiyo na turbo Bajeti 22m
  20. kayeja jr

    JamiiForums Tanzania Subaru Forester 2008 vs Mazda C5 2012

    Wakuu nataman kujua kati ya hizi gari mbili ni gari ipi ya kuishi nayo in terms of .perfomance .durability .reliability .efficienty in terms of wese na mazagazaga mengine ila kwenye price naona kam hazitofautiani sana
Back
Top Bottom