stationery

Stationery is a mass noun referring to commercially manufactured writing materials, including cut paper, envelopes, writing implements, continuous form paper, and other office supplies. Stationery includes materials to be written on by hand (e.g., letter paper) or by equipment such as computer printers.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Natafuta kazi ya stationery

    Habari, Mimi ni mdada natafuta kazi ya stationery. Nina miaka 26, nina utaalamu na uzoefu mkubwa wa kazi zote za Stationery na mauzo. Pia, nina ujuzi wa Graphic Design na nina ujuzi wa kutumia mashine ya Heat Press Sublimation kuprint mugs, chupa, na T-shirts. Naweza kutengeneza picha mbao na...
  2. Whitney Houston

    Machimbo ya Kulangua Bidhaa za Kuuza Stationery

    Habari za weekend wanajamvi. Nipo katika mchakato wa kufungua biashara ya Stationery,nipo mkoani ila nataka kuwa nalangulia Bidhaa Mkoani Dar. Naombeni mnitajie machimbo nitakayolangua Bidhaa kwa bei rafiki ya chimbo. Bidhaa kama madaftari,counter book,gundi,marker pen,ribon za mapambo kwenye...
  3. MOST WANTED

    Anahitaji mfanyakazi kike stationery

    Jinsia: Kike Uzoefu: Mwaka 1 Vigezo: 1.Awe anajua kutumia computer na kutumia application zote muhimu za Microsoft Office kwa ajili ya huduma za Stationery 2. Kufanya application zote muhimu katika tovuti za serikali na zinginezo 4. Awe anajua kutumia mashine na vifaa vya stationery 3. Awe...
  4. wayeka

    Kazi ya Stationery

    Anatafutwa kijana wa Stationery awe anajua vizuri computer na pia awe anaishi Dar. Wasliana nasi kwa namba +255 684 553 947.
  5. Smile Digital Stationery

    Smile digital stationery, faraja mpya

    Nyakati zinabadilika, kuna baadhi ya watu muda kwao ni mchache sana wakati huohuo majukumu ni mengi. Nimeamua kuwaletea hii huduma ya SMILE DIGITAL STATIONERY ili kuwarahisishia wale ambao Hawana muda wa kwenda kukaa nusu saa, lisaa au masaa stationery kwaajili ya kuchapa na kusubiria kazi zao...
  6. T

    Tunauza vitabu vya shule mtalaa mpya

    Trumark Stationery & Books ni wakala wa vitabu vyote vya shule vya mtaala mpya. Ukinunua vitabu kwa wakala una uwezo mkubwa wa kupata punguzo la bei. Vitabu kuanzia shule ya awali, msingi na Sekondari. Vitabu vyote vya darasani na mazoezi. Popote ulipo Tanzania tunakuletea. Tupigie 0765...
  7. T

    Anahitajika binti wa kufanya kazi stationery

    Anahitajika Binti wa kufanya kazi stationery, SIFA: Awe na uzoefu wa kufanya kazi stationery Anajua kutumia computer Mwaminifu Awe na umri 20-25 Awe ni mkazi kati ya haya maeneo Mbezi kimara, Kinyerezi Malamba Mawili na Segerea. Mwenye SIFA hizo aje PM
  8. youngkato

    Wanaofanya kazi za stationery. usisubiri wateja wa ku-print tu, ongeza huduma mpya kwa msaada wa ChatGPT!

    Dunia ya kidijitali imerahisisha sana maisha. Siku hizi hauhitaji kuwa na ofisi kubwa au degree ili kutengeneza pesa. Ukiwa na simu tu na ChatGPT, unaweza kufanya kazi nyingi sana ambazo watu wanahitaji mtaani — na kulipwa. Hapa nitakuonyesha kwa lugha rahisi jinsi unavyoweza kutumia ChatGPT...
  9. Masokotz

    Vifaa vya Stationery Vinauzwa-Mikoani Tunatuma

    DESK ACCESSORIES Bulldog Clips Business Card Books Business Card Cutter Business Card Holder Business Card Rolex Calculators Dumping sponges Index Card Memo Cubes Paper Clip PAPER PRODUCTS Photocopy papers Photo Printing Papers Glossy Papers Manila sheet A1 OFFICE & SCHOOL STATIONERY...
  10. S

    stationery

    anatafutwa kijana wa kufanya kazi ya stationery ARUSHA. Awe na Elimu kuanzia kidato cha nne,ujuzi wa computer, graphics. tuma cv yako kwa no 0782396666
  11. R

    Kama umeme ukikata wakati umeenda stationary kufanya lamination, cheti au nyaraka muhimu ikaharibiwa, nani anawajibika ?

    lamination ni zoezi la kujaladia vyeti ili viwe na uimara wa muda mrefu, visiharibiwe na maji, uchafu, mikunjo, n.k. Umeenda stationery kufanya lamination (Kujaladia) cheti cha elimu, hati ya nyumba / shamba, leseni ya tenda, n.k. MARA PAAAP !! umeme unakatika, mashine yenye moto mkali...
  12. Anastasia21

    INAUZWA Hp laserjet ink for sale

    Jaman maofisini, stationary na wote mnao miliki private printer ink inauzwa. 150,000/- Ukiihitaj ni pm upate mzigo
  13. mimi mtakatifu

    Natafuta location nzuri ya kuweka stationery hapa Dar es Salaam. Naomba ushauri wako

    Wakuu naomba ushauri ni sehemu gani hapa Dar es Salaam naweza kuweka stationery ya kawaida tu sio kubwa na nikapata mzunguko mzuri wa pesa. Ukinishauri nitaenda kutembelea eneo na kupima kutazama najua wataalam wa fursa mpo unaweza ukawa umeona sehemu inayofaa nitashukuru ukinipa ushauri. Kuna...
  14. Brojust

    Karibu Shaloom Africa Stationery, Kwa huduma bora, Tupo Buguruni sheli:

    Tukiwa tunaelekea mwisho wa mwaka, Basi nawakaribisha SHALOOM AFRICA kwa ajili ya huduma zote za kiofisi. Tunapatikana Buguruni sheli na namba zetu zipo kwenye bango letu. Karibuni sana.
  15. ndetembea

    Anatafutwa Mfanyakazi wa Stationery (Typist), Mwanza

    Stationery ipo Mwanza, Wilaya ya Nyamagana maeneo ya chuo cha SAUT 1. Awe na uwezo mzuri wa kutumia vifaa vya stationery kama vile computer, printer, photocopiers, pamoja na vifaa vingine vinavyohusika katika mazingira hayo 2. Awe na speed nzuri ya ku type (at least 40PPM) 3. Asiwe na majukumu...
  16. Pantomath

    Naomba kujuzwa mtaa wanaouza Vifaa vya Stationery hasa Rimu paper kwa bei rahisi.

    Nahitaji hivi vifaa kwa bei nzuri na ya jumla, hasa rimu paper, bei yake ikoje kwa kariakoo, mtaa gani vinapatikana kwa wingi? Au ndio haya haya maeneo karibu na kanisa la kkt, Magila na Muhonda? Je specifically wapi wana bei iliyopoa? Mwanza nako kwa aliyeko kule wanauzaje? Mashine za...
  17. music mimi

    Biashara ya stationery ya mtaji mdogo iliyoongezewa thamani

    Wakuu naomba mawazo yenu. Nina mpango wa kuanzisha stationery ya mtaji mdogo around mil 5 yani umo kila kitu mpaka fremu. Naomba ushauri zaidi ya kuprint na kutoa copy pamoja na vifaa kama bahasha, rimu, kalamu, etc Naweza vipi kuongeza thamani kwenye stationery kwa gharama ndogo lakini niwe...
  18. Smarter

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Awali ya yote Napenda Kushukuru na Kupongeza Jukwaa kwa Mawazo Elekezi. Naomba nielimishwe/nijulishwe juu ya Biashara ya Stationaries kwa ujumla, (Uuzaji wa Tonner, Karatasi, madaftari, peni, Office equipments, Photocopies) nakadhalika. Natamani kusikia kwa mtu anaefanya hii biashara, Mzigo...
  19. maina23

    Afisa Mtumishi Mkuu achana na kulazimisha kutumia nguvu kutumia ESS kama kigezo cha kupanda madaraja watumishi. Kwa sasa nchi iko busy na stationery

    Usome
  20. O

    Stationery kukosa flash na usb ni ajabu

    Umeanzisha stationery machine zote muhimu unazo isipokiwa flash na usb Leo flash Hadi buku 5 unapata usb 1500 kwa 2000 Unajikuta unakosa jero ya wateja bure printer ya Epson 300-400k, photocopier ya canon 700-1000k na vikorokoro vingine unakosa usb na flash
Back
Top Bottom