star tv

Star is an American musical drama television series created by Lee Daniels and Tom Donaghy for the Fox Broadcasting Company. It revolves around three talented young singers who navigate the music business on their road to success and stars Jude Demorest, Brittany O'Grady and Ryan Destiny. The series, which is set in Atlanta, consists of original music, along with musical fantasy sequences, as dreams of the future. Queen Latifah, Benjamin Bratt, Amiyah Scott and Quincy Brown co-star.The series premiered on December 14, 2016. With the premiere of the series, Amiyah Scott became the third openly transgender person to play a trans major character in a scripted television drama series in America, after Laverne Cox on Orange Is the New Black and Jamie Clayton on Sense8.Star is a joint production between Lee Daniels Entertainment and 20th Century Fox Television and syndicated by 20th Television. On February 22, 2017, Fox renewed the series for a second season, which premiered on September 27, 2017, and crossed over with other Fox series Empire.On May 10, 2018, Fox renewed the series for a third season. Season 3 premiered on September 26, 2018, and airs on Fox Wednesdays at 9:00 PM. Internationally, new episodes premiere on Netflix in Canada the following Thursday.On May 10, 2019, Fox canceled the series after three seasons.

View More On Wikipedia.org
  1. Genius Man

    Suala la kuifungia star tv na redio free africa ni kuuwa nchi kiuchumi na kiteknolojia inaonekana kuna muhuni amekataliwa kununua hiyo kampuni

    Suala la kuifungia star tv na redio free africa ni kuuwa nchi kiuchumi na kiteknolojia inaonekana kuna muhuni amekataliwa kununua hiyo kampuni. Kwa hii serikali haramu sishangia kusikia star tv imekataliwa iuuzwa kwa wahuni na hakuna utawala wa kisheria ndio sababu kuu ya kuanza kuiba na...
  2. B

    StarTV yakatisha matangazo ya BBC Swahili baada ya mtangazaji kusoma kichwa cha habari

    Kutokana na habari za utekaji kutrend Leo kwenye vyombo vya habari hasa habari hiyo kurushwa na BBC. Nikaamua niwafate BBC Swahili kupitia Star Tv Kila saa 3 kamili usiku. Cha ajabu hiyo habari ya utekaji imekatwa na star tv muda huu na kuweka matangazo TU. Aisee hii nchi ilikofikia na mbaya...
  3. Benjamini Netanyahu

    Nimeangalia marudio ya mahojiano cha Bwege EATV na kipindi cha mjandala mkuu Star tv cha Paschal Mayalla, asee nimeona tofauti

    Jana wakati naangalia marudio ya mahojiano ya mzee Mbwege na mtangazaji Mtei nikalinganisha kipindi cha mjadala mkuu jumatano Star TV cha Paschal Mayalla ni aibu kubwa sn kwa msomi kama Paschal Mayalla kuwa chawa badala ya kuwa mzalendo kwa taifa lake, Bwege pamoja na kwamba ni mgonjwa wa figo...
  4. A

    Mamlaka iiangalie BBC Swahili via Star tv

    Nimesikiliza taarifa ya habari ya BBC Swahili Leo hii saa tatu kupitia Star tv mwandaa maudhui na mtangazaji wake wamepwaya sana hasa kesi ya Lissu walivyoitolea taarifa. Kila haki nyuma kuna wajibu,BBC wana malengo yao kama taasisi na hili siwalazimishi kubadilika sabu wapo kibiashara,malengo...
  5. The Palm Beach

    Benson Kigaila mwana G55: Akiwa kwenye kiti moto cha Odemba wa StarTV, akijiuma uma na kujichanganya

    https://www.youtube.com/live/nvKNTGAG-9Q?si=H3CYz7QBr2c2gMz9 Sasa unaweza kuelewa ni kwanini hawa jamaa wa wanaojiita G55 ni wajinga wa kiwango cha huyu mzee Benson Kigaila.. Akataa katakata kujibu swali la mke wake kuwa miongoni mwa wale wabunge 19 na kwamba kama ni yeye ndiye aliyesaini fomu...
  6. Inside10

    Star tv na Azam king'amuzi leo, je ni hujuma dhidi ya BBC swahili?

    Wakuu naomba kuuliza Sta tv na Azam king'amuzi wanahujumu bbc swahili ?! Mara nyingi siku zenye habari nzito kwa hivi karibuni ikifika saa 3 usiku Star tv siipati kwenye kingamuzi changu.
  7. Pascal Mayalla

    Amani ya Nchi:Mhimili wa Serikali, Bunge, Mahakama Kimya! Mhimili wa 4 The Media Hatunyamazi, Leo Saa 3:30 Angalia Star TV, Usikose!

    Wanabodi Kuna hali tete fulani ya amani na usalama nchini, mihimili 3 ya Serikali, Bunge na Mahakama, hawawezi kuzungumzia, sisi Media ambao ni mhimili wa 4 usio rasmi, tunuweza kuzungumzia jambo lolote ambalo serikali hawawezi, Bunge haliwezi, na mahakama haiwezi. Moja ya jambo hilo ni hili...
  8. M

    Mwandishi wa Star Tv, Aloyce Nyanda aamriwa kumlipa fidia DED Tsh bilioni 2 kwa udhalilishaji wa mtandaoni

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza imemhukumu Mwandishi wa habari kituo cha runinga cha Star Tv, Alocye Nyanda kulipa faini ya Sh 2 bilioni baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kufanya udhalilishaji wa kimtandao. Hukumu hiyo iliyosomwa leo Aprili 11, 2025 na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mkoa wa...
  9. Zee la madawa

    Hivi Eatv na Star tv ni vituo vya kidini ya kikiristo?

    Inanishangaza na kujiuliza hivi vituo vya television vya Eatv na Star tv ni vya vituo vya kikristo na kama sio mbona kila asubuhi saa kumi na mbili ni kupiga nyimbo za kwaya tu as if watazamaji wake wote ni wakristo wakati kuna watazamaji wa kila dini kama...
  10. Mnyenz

    Je wajua: Siasa za CCM & CHADEMA huamua bei elekezi ya vitu hivi?

    Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, sisi kama wananchi tunayo mengi ya kujifunza. Tunayo haja ya kuchuja sera zao kwa upana kwa maana wao hawa wanasiasa ndio huamua bei za vitu tunavyohitaji katika maisha ya kila siku. Leo nakuchapishia picha ya vyombo vya moto ambavyo wanasiasa...
  11. Mfilisiti

    Imani hizi! Je, unajua kanisa linaitwa "Chanzo halisi?

    Leo baada ya kifurushi changu DStv kukata (mpira), nikashawishika kucheki hizi chanel za ndani, ile naweka star tv nakutana na kanisa linajiita "Chanzo halisi" Cha kushangaza wanatumia bibilia ile ile Wanaenda kuhiji kigoma, ndugu msomaji ni kigoma hii hii ya karibu na burundi😂😂 Na huyo...
  12. Gabeji

    Chief Odemba star tv nakuomba andaa mdahalo Kati ya lisu na mbowe tuwapime kwa hoja kama Mbowe atagombea .

    Watanzania na wanachadema, wapenda mageuzi, wapenda mabadiliko, wachague mwenye hoja na sio blah blah, I'li tuone democrasia ndani ya chadema inafanyika
  13. J

    LGE2024 JamiiForums kwa kushirikiana na Star TV inafanya mjadala kuhusu Tathmini ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Fuatilia mubashara mjadala wa Tathmini ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 unaofanywa na JamiiForums kwa Kushirikiana na Start TV. https://www.youtube.com/live/2DskPzSytWY?si=9Ykw6hjtEkxbl7MR Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 ingia hapa: LGE2024 -...
  14. J

    LGE2024 Mjadala JamiiForums & Star TV: Nafasi ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi wa Seriali za Mtaa

    JamiiForums kwa kushirikiana na Kituo cha Runinga cha StarTV, itaendesha Mjadala kuhusu Nafasi ya Vyombo vya Habari na Waandishi kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 Mjadala huo utakaoongozwa na Mtangazaji Edwin Odema 'Chief Odemba', utahusisha...
  15. chiembe

    Star TV na Chief Odemba wanaweza kushtakiwa na Paul Makonda kwa kukashifu, na wakalipa mabilioni ya shilingi

    Naona Start TV wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili. Nashauri Makonda au watu wengine wanaokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe...
  16. USSR

    Star TV kwenye kisimbuzi cha azamu inatatizo la picha tangu asubuhi je hawajui?

    Tangu asubuhi Star Tv haioneshi picha ni sauti tu inamaanisha hawa jamaa hawajui nini kinaendelea au ujinga wao tu USSR
  17. ndege JOHN

    Mch. Peter Msigwa yupo live kwenye kipindi cha Medani Za Siasa cha Star TV

    Mchungaji Peter Msigwa kada mpya wa CCM yupo live Star Tv. Fungulia tumsikilize Soma Pia: Peter Msigwa afichua madudu ya CHADEMA: Chama kimekuwa kama SACCOS, Mbowe anakimbiwa na kila mtu
  18. J

    31 Agosti, 2024 kufanyika Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa Maktaba ya UDSM. Dr Nchimbi, Mnyika, Shaibu na wengine Watashiriki

    Utakuwa ni Mdahalo muhimu sana kujua yaliyomo yamo Chief Odemba ndiye ataongoza Mdahalo huo kupitia Medani za Siasa Star tv Ni Jumamosi 31/08/2024 na Makatibu Wakuu wa Vyama vyote Watashiriki wakiwemo Dr Nchimbi, John Mnyika, Ado Shaibu na wengine Muda ni saa 3:30 Usiku hadi saa 5 :30 Usiku...
  19. Stuxnet

    Edwin Odemba Tafuta Hela Ukodishe Star TV Kwa Mzee Diallo

    Kwa sasa huwa naangalia Star TV vipindi 2 tu; Medani za Siasa na BBC ambacho Star TV wanakipitisha tu kwenye kituo chao. Star TV kwisha kabisa haina vipindi vyenye mvuto zaidi ya Medani za Siasa cha Edwin Odemba aka Chief Odemba Huyu nguli wa maswali ambayo ni multi task, multi discipline ni...
  20. Sir John Deere

    Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge

    Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria. Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge. Tukubaliane kimsingi uendeshaji wa nchi mbali na kufuata sheria na katiba lakini maslahi ya nchi yapo mbele zaidi ya sheria hii ni common sense tu unaweza usiikute kwenye sheria au katiba...
Back
Top Bottom