Kuishi vijijini tabu yake ndio hii sasa
Unanunua king'amzi cha Dstv na hujuwi vifurushi vyake huwa vina bei gani
Naomba kufahamishwa ndugu wapenda michezo
Kwa sasa ni bei gani ili niangalime timu yangu ya PSG wiki ijayo?
Bei/Price TSH 16.8M
Call+255 747 999 927
TOYOTA iSt
Year: 2002
Engine: 1,490Cc
Mileage: 99,000+
Transmission: AUTO
Fog Lights
Sport Rims
Android Radio
Clean Interior
In Good Condition
Exchange Possible
Miaka ya 90 kurudi nyuma open space zilikuwepo ila ghafla miaka ya 2000 kuelekea 2010's zikaanza kuota mbawa sasa hivi kwenye miji yetu hakuna public garden, open space na sport centre to be honest hali ni mbaya
Sehemu kama dsm hali ni mbaya zaidi sababu unaweza tembea km 10 hakuna open space...
Nchi inayoongaza kuwa na maafisa ubashiri wengi afrika ni
1. South afrika - 83% ya maafisa ubashiri wanaweka majamvi.
2. Kenya - 79% ya maafisa ubashiri wanaweka majamvi.
3. Tanzania - 74% ya maafisa ubashiri wanapeleka moto.
4. Nigeria - 73% ya maafisa ubashiri wanaweka majamvi.
5. Uganda -...
Klabu ya Yanga SC ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya Kimataifa ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports Juni 15, 2025 mchezo huo ukiwa unalenga kujenga uhusiano mzuri na klabu hiyo.
Mchezo huo utachezwa Mjini Kigali, Rwanda.
Kukubali mwaliko huo kwa Yanga kunathibitisha dhamira yao ya kukataa...
Simba Sports Club imekuwa na mafanikio makubwa katika msimu wa 2024/2025, ikijidhihirisha kama moja ya vilabu bora zaidi barani Afrika na Tanzania.
π Mafanikio ya Kimataifa β CAF Confederation Cup 2024/2025
Simba SC imefuzu kwa fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF kwa mara ya pili katika...
In Sport betting, early payouts mean a bookmaker settles your bet as a win before the event is officially overβusually because your selection is in a strong position.
For example:
In football, if your team goes 2 goals up, the bookmaker might pay your bet out early, even if the game isnβt...
Nimeamua kuhamia jukwaa la siasa
Sasa
Napumzika ubishi wa Simba na Yanga
Nataka nianze kujadili mawazo mazito ya siasa
Nina akili na maarifa makubwa ambayo yanaweza kusaidia Taifa
Tujadili uchaguzi na maendeleo ya Taifa letu
Tujadili rasimali zetu zinazopotea midomoni mwa mbwa mwitu
Mijadala ya...
Yani mwenzenu ni mesuka mkeka Multbet yangu safi timu sita Arsenal vs Psg nikampa Arsenal, Barcelona vs Young boys nikampa Barcelona, inter Milan nikampa kushinda Leverkusen naye nikampa kushinda zidi ya Ac Milan Dortimund naye nika mpa kusinda na Man City nikampa kushinda.
Sasa hadi kipindi...
Habari za muda huu, wakuu tokea tarehe 1/8/2024 kwenye tv yangu hazionyeshi kabisa channels hizi Azam sport 1 HD, Sport 2 HD, na hata sport 3 HD.
Zipo ila zinaonyesha kama sijalipa wakati nimelipa package tayari.
Na nimejaribu kuwapigia Azam customers call center wahapatikani kabisa.
Tatizo...
Shaffih anatupa za ndaaani kabisa, anasema Wajumbe wa Bodi ya Simba wamejiuzuru.
Nini maoni yako kuhusu move hii kama itakuwa na ukweli
PIA SOMA
- Tetesi: - Simba inatarajia kumrejesha tena Barbara Gonzalez kwenye Bodi
Habari zenu wana JF.
Nahitaji badilisha rim za kwenye gari yangu zilokuja from Japan na kuweka hizi alloy wheels or sport rims.
Gari yangu ni porte na huwa nasafiri kwenda mkoa mara moja or mbili kwa mwaka. Nasikia hizi sport rims za dukani huwezi tumia katika route ndefu.Je kuna ukweli...
Hatimaye, kituo cha bein Sport kimetoa ufafanuzi na ushahidi kuwa goli la Azizi Ki halikuwa goli halali kwakuwa mpira haukuvuka wote kwa asilimia 100 kama kanuni zinavyotaka.
Video imeambatanisha.
NB: mjumbe hatukanwi jamani maana raia Wana jazba hatari
Kuelekea mechi dhidi ya Yanga SC
"Kwa aina yetu ya uchezaji tunastahili kupata sapoti kubwa kuliko tunayopata. Msimu uliopita tulishinda Ubingwa wa ligi lakini uwanja ulikuwa mtupu.
"Tunahitaji kelele zaidi, watu wengi zaidi kwenye siti (Uwanjani) na kwa kweli nafikiri tunastahili kwa sababu...