Kwa kinachoendelea kwenye ligi ya Tanzania ni aibu kubwa sana uongozi uko wapi serious
Moja ya mambo ntakayofanya ni kuhakikisha huu ujinga mamlaka ya kupambana na kuzuia rushwa inachunguza mienendo ya rushwa ndani ya timu za mpira bila uoga yaani wanakuwa na meno tofauti na ilivyo sasa
Mambo ya kushangaza na kustaajabisha kabisa hata kama ni kubebwa Lakini hii ni too much
Mashujaaa FC wamezurumiwa wazi kabisa na Refa aliyechezesha Mchezo dhidi ya Simba SC na Mashujaaa.
Dakika kumi na tano za nyongeza na Penati isiyo halali Refa kafunika mkwaju Baada ya kuambiwa na mchezaji ...
Yanga anaenda kutimizaa malengo yake yote ikiwa ni pamoja na kutwa ubingwa wa
1. NBC PL
2. CRDB confederation cup
3. Yanga ashatwaa ngao ya jamii akimpiga mtani Simba goli 2 Nusu final, huku akimtwanga Azam Goli 4
Wachezaji wanaotoka
1 Kennedy Musonda
2 Aziz ki
3 Clement Mzize
4 Aboubukar...
Nimefuatila sana mechi za simba wanavyocheza!
Straika wa simba wapo vizuri sana lakini kipengele cha utulive katika box la mpinzani hawana!
Elie mpanzu ana speed nzuri lakini uchoyo ndani ya box unaigharimu timu asilazimoshe kushoot kila wakati .
Ateba naye hivyo hivyo huwezi kuiona ile gusa...
Simba wakisema wahamie ligi ya Egypt hawawezi kukosa tano bora.mpira wa Simba na timu za Egypt unarandana sana.
Azam natamani wahamie ligi ya Zanzibar. Huku bara ibaki Yanga na nduguze
Hii club binafsi nashindwa kuielewa ina malengo gani, Wachezaji bora kama Yoro diaby, Gibril Sillah, Fei toto nk.
Wote wana viwango vikubwa ila hawajulikani wanapambania kitu gani, sanasana wanang'ara wanapokutana na timu za Kariakoo tofauti na hapo shughuli yao inakwisha.
Timu inawachezaji...
Leo nimetazama mechi ya Azam dhidi ya Singida BS nimeshangaa Azam akiweka akiba ya wachezaji wake muhimu Kwa ajili ya Alhamis dhidi ya Yanga
Mechi zote za ligi Zina hadhi sawa, yaani Azam yupo radhi afungwe na Singida BS halafu akamie Simba na Yanga apate sare au ushindi wa taabu nae atambe...
Leo nimeangalia mechi ya Yanga nikitarajia kuwepo na upinzani mkali baada ya sakata lilotokea siku chache zilizopita nikitegemea Tabora watadraw au kushinda nikiwa na shauku ya Simba kurudi kileleni.
Nilichokiona wanachokifanya Yanga nimejikuta napata wasiwasi na hofu, Yanga ame dominate vibaya...
kakangu
Mjomba wangu
Haya mambo lazima na n lazima utayameze
Nilikujulishe tu kama mjommbaa ile asali uliyotema lwenye conference lazima uimeze tenaaa
nakujuza tu uliidharau yanga ipo siku itakuadhibu nipe mdaa
ulitutukana kama tumeshindwa mpira tukaangaliee cinema
nakwambia utakuwa wa...
Najua bado mnaumia kwa wale wachezaji wenu kushirikiana nasi. Manula ni binadamu msimpe adhabu kubwa hivi.
Ni tamaa tu ambazo binadamu wanakuwa nazo lakini msiue kipaji chake cha mpira please.
Arafat Haji ndo makamu wa Rais wa Young Africans
Arafat Haji ni msomi haswa akiwa mtaalam wa uchumi na Tehama
Amepata Masters yake ya IT kutoka Conventry University
Arafat ni Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Nina Zanzibar na CEO wa PBZ bank, yaani ulisema connection serikalini au eti TFF...
Wakuu
Uongozi wa TFF, Bodi ya Ligi, Simba na Yanga chini ya Wizara ya Utamaduni, sanaa na michezo utakutana kesho Machi 27 saa 4 asubuhi katika ofisi za BMT kujadili hatma ya mechi ya Derby iliyoahirishwa Machi 8.
Pande zote zimethibitisha kushiriki kikao hicho.
Soma, Pia
Serikali yawaita...
1.Nakumbuka alifanya utovu wa nidhamu akaadhibiwa na TFF sjui baadae adhabu ikaota mbawa
2. Alikuwa kocha wa team flani kwenye SAMIA celebrity cup team ya kwanza alifanya uhuni akafukuzwa akasingizia kujiuzuru akahamia BAD NATION ya marioo Jana akaleteza vurugu akaongoza team kutoka uwanjani...
FULL TIME - Friendly Match
Coastal Union 1️⃣ ➖ 2️⃣ Taifa Stars
⚽️ Kibu Denis
⚽ Kibu Denis
⚽ Amara Bagayoko
Naona Kabisa timu ya Taifa stars haipo serious huwezi kufanya maandalizi na coastal union na Kisha uende kuchuana kimataifa tena na timu zenye uchu kweli kweli Wa kutoboa kuingia kwenye...
Unajua watu wanaongea tuuu. Unajaribu kuwaelewesha, unajaribu kuwaonyesha njia lakini waaapiii. Wamekaza mafuvu hawataki kabisa kusikia!
Sifa mojawapo ya wanaume ni kwamba tunasimamia kile tunachoamini na hiki ndio ninachoamini:
Kwanza, Yanga hawana pesa za kwenda CAS.
Pili, Yanga hawana...
Kwenye barua ambayo TPLB imewajibu Yanga yenye kumbukumbu namba TPLB/2024/625 ya Machi 16,2025 imewaambia Yanga hawawezi kupewa alama tatu kutokana na kuwa hakuna KANUNI ya Ligi Kuu inayoamuru jambo hilo ambapo TPLB imewapa sababu takribani 10, nitazielezea kwa uchache.
1- Mchezo ulighairishwa...
Nimeshangaa Rais wa TFF kuonesha upande wake kuwa yeye anaiunga mkono Simba kwenye uvunjifu wa kanuni Simba walioufanya makusudi na kusababishwa mechi kuvunjwa
Inaonekana dhahiri Rais Karia ambaye ni Shabiki wa Simba anatumia mamlaka yake kuhujumu timu ya Yanga wazi wazi
Karia ulituhujumu...
Katika pita pita zangu mitandaoni, nimeshuhudia kauli zinazoshangaza ,eti Yanga inamuogopa Simba! Jamani, kweli hii ni Yanga mnayozungumzia? au kuna Yanga nyingine? Hakuna timu hapa Tanzania inayoweza kumtisha Yanga! Ni ipi hiyo? Haipo! Yanga ni mfalme wa soka la Tanzania, na historia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.