sofa

A couch, also known as a sofa, settee, futon, or chesterfield (see Etymology below), is a piece of furniture for seating two or three people. It is commonly found in the form of a bench, with upholstered armrests, and often fitted with springs and tailored cushions. Although a couch is used primarily for seating, it may be used for sleeping. In homes, couches are normally put in the family room, living room, den or lounge. They are sometimes also found in non-residential settings such as hotels, lobbies of commercial offices, waiting rooms, and bars.

View More On Wikipedia.org
  1. Nauza kitanda inch 6×6 kirefu ni sofa bed nyeupe kikubwa 280,000

    Kwa mwenye uhitaji anipigie 0684101707, nimeweka picha hapo haijakamilika sina picha nyingi maana nilikifungua pindi tu nimejifungua, kitanda kina hali nzuri,
  2. B

    INAUZWA Sofa (L-shape) imetumika mwezi mmoja tu inauzwa

    hii sofa ni balaa inanesa nesa tu ina spring yaan bado ina hata karatasi kwenye hizo gold ni full white lether afu ngumu ni L shaped na ina sehemu za kuchajia simu bei yake mpya kabisa ni 650000 au 700000 mimi hii nimeitumia karibia mwezi mmoja tu utaipata kwa 500,000 mahari Dar es...
  3. Dawa ya sofa, carpet na seat za gari

    Dawa nzuri ya kusafisha sofa,carpet na seat za gari unatumia povu tuu kwa 15,000 ina ujazo wa lita moja na brush zake, whatsup: 0757785804
  4. U

    Nina hofu kubwa na huyu kuku kaingia ndani kataga kwenye sofa na sijui katokea wapi, sielewi nifanyeje, au ni uchuro?

    Wadau hamjamboni nyote? Wenye elimu zenu mkiongozwa na ndugu mshana na bujibuji nipeni ushauri Niwatakie siku njema
  5. R

    Msaada chimbo la vitambaa vya sofa

    Habarini wakuu, Naomba kujuzwa sehemu wanapouza vitambaa vya sofa kwa bei ya jumla,
  6. Mke mwenye hizi sifa 16 anahitajika haraka

    Vigezo; 1. Miaka 30 Mpaka 41 2. Amezaliwa Mara ya Pili. 3. Amejazwa Roho Mtakatifu. 4. Amebatizwa Maji Mengi. 5. Anaipenda na Kukubali Huduma ya Boniface Mwamposa Pamoja na Mitume na Manabii Wote Wenye Makanisa. 5. Aliye Tayari kuwa Mama Mchungaji. 6. Aliye Tayari kuishi mazingira Yoyote...
  7. Kava za sofa

    Jipatie kava za sofa kwa bei nafuu Zipo kava za kawaida Kava ya mmoja 30,000 Kava ya wawili 40,000 Kava ya watatu 50,000 Pia zipo kava za marinda Kava ya mmoja 40,000 Kava ya wawili 50,000 Kava ya watatu 60,000 TUPO KARIAKOO DELIVERY FREE KWA DAR UNALIPIA UKIPATA MZIGO MKOANI TUNATUMA...
  8. INAUZWA Amazing L Sofaset for sale

    Sofaset L shape, iko poa sana Price: 350k (bila cofee table) Contact: 0697224996 Location: Victoria
  9. INAUZWA Sofa set 7 seaters, 3:2:1:1

    Full fiber & spring Bei tsh 2.1m Ipo Tayari (kulipia na kubeba) Location; Keko Chang’ombe Road, Dar es salaam Wasiliana nasi kwa 0759086992
  10. K

    Sofa Shampoo zinauzwa

    Kwanini uingie gharama ya kubadili kitambaa Cha sofa zako? Jipatie sofa shampoo ambayo inaosha sofa kwa kutumia povu tuu, na ndani ya dk 45 tuu, sofa zako zinarudi na kuwa mpya kabisa, bei zetu ni kuanzia elf 25000, tupo Sinza-Dar kwa mawasiliano zaidi tupigie 0744466202.
  11. Nina changamoto ya usikivu hafifu. Natafuta kazi; ikiwa ya kutengeza sofa itanifaa zaidi

    Habari zenu wakuu, Mimi ni kijana wamiaka 24 kwasasa, elimu yangu ni kidato cha nne ambapo nilifaulu vizuri ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutosikia vizuri. Baada ya kumaliza shule mwakav2015, kuanzia 2017 nilianza rasmi kujifunza kutengeneza sofa...
  12. Naomba msaada wa kunichagulia sofa zuri kati ya izi

    Naomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi. Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu? Nina wasiwasi na kuharibika miguu yake, yaani iyo miguu ya sofa. Nasoma comments zenu..... Asante.
  13. S

    Rafiki yangu ni Mwinjilisti WA KKKT anahitaji mchumba baadae awe make mwenye sofa zifuatazo Mtumishi WA Umma aliyezaliwa mwaka 1983-1988 antfute inbox

    Rafiki yangu ni Mwinjilisti WA KKKT anahitaji mchumba /mke aliezaliwa 1983-1988 anipigie namba 0755 144 754 nimuunganishe na muhusika. Asante
  14. SOLD: Bed sofa ya chuma inauzwa, ipo Moshi Mjini

    Bed sofa ya chuma 5kwa6. Bei nafuu kabisa 250,000 rangi hiyo... Mawasiliano. 0672701329....au.....0756294771.... Asanteee.... Wako katika biashara mtandao...
  15. Kila kitabu na zama zake, corner sofa ndiyo habari ya mjini leo.

    Corner sofa ndiyo habari ya town, ukiongeza na flat screen ukutani na TV table ya mstatiri. Uzuri wa corner sofa mgeni anaweza kulala mpaka asubuhi omba tu asiwe kikojozi. Kwa kweli ni mfuko tu lakini corner sofa ya ngozi inapendeza na inadumu kwa muda mrefu. Ukiwa na ukuta mweupe blue...
  16. Ni kitanda gani kizuri; mbao, chuma au sofa?

    Ni kitanda gani kizuri na sifa zake nikanunue Hatimaye kama nilivyonuia kwamba mwezi wa tisa hautaisha bila kuwa na kitanda ni karibia mwaka Sasa mimi na mama mtoto wangu tunatupa godoro yetu chini asanteni Wote mlionipa matumaini tokea siku ya kwanza nilipolalia mabox MUNGU ASIFIWEEEE
  17. Watengenezaji sofa msaada

    Heshima kwenu. Naomba kujua kuhusu mbao zinazotumika kutengenezea sofa. Je ni mbao ngumu au Kuna aina nyingine???
  18. Dar - Mbezi Msuguri; Nauza Friji kubwa na ya kisasa (brand samsung) na SOFA nzuri sana (Leather sofa)

    Hello ladies and gentlemen hizi hapa mali safi kabisa Friji iko mwake mwake kama unavyoiona.. Bei 750,000 Tuwasiliane Mbezi kwa Msuguri
  19. K

    INAUZWA Sofa set fior sale in Tanga

    Price 850000/= call 0787103846. Bargaining room for serious buyers ipo.
  20. Msaada wa vitambaa vya sofa

    Habari, Naomba msaada wa kufahamishwa wapi naweza pata vitambaa vizuri vya sofa vinavyodumu kwa muda mrefu na bei yake. Nitashukuru sana kwa msaada wenu. Ahsante
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…