simba

  1. JamiiForums Tanzania Safu ipi ya ushambuliaji simba vs yanga itatisha musimu huu?

    Yanga sc. Mayele Kambole Morrison Aziz ki Moloko Nkane Ngushi Simba sc. Phiri Sakho Banda Okrah Manzoki ( kama atasajiliwa) Kibu Kyombo
  2. N

    JamiiForums Tanzania Ombi langu Simba day: Wazomeeni magarasa wakitambulishwa

    Siyo mimi tu washabiki wengi wa Simba wamestushwa na baadhi ya sura walizoziona leo kwenye msafara wa kwenda Egypt Kwa kuwa wenye maamuzi wameamua team iendelee na hekaheka za kutegemea wakimbiaji toka pembeni na siyo M CF wenye akili timamu basi nawaomba wapenzi wa simba mtakaojitokeza tarehe...
  3. JamiiForums Tanzania Nani alisema Chris Kope Mugalu atatemwa Simba?

    Jamaa ni mmoja ya wachezaji waliokwea pipa leo kwenda Misri na kikosi cha Simba kwa ajili ya maandalizi ya Msimu ujao (Pre Season). Wale wote mliokuwa mnasema jamaa atatemwa, itoshe kusema tu jamaa yupo sana Msimbazi😆😆
  4. N

    JamiiForums Tanzania Simba yaufyata kwa Kigwangwala, wampigia simu, kutia nguvu

    Hayawi hayawi yamekuwa baada ya Mwamedi kuikacha team na hali kuwa mbaya huku vi akiba vikiisha kabisa,Said bagalile a.k.a Hamis Kigwangwala alitoa sharti kwamba wampigie simu kama wana shida yeye asaidie usajili na mengineyo .....yote hayo aliyasema huko jamhuri ya twitter katika juhudi zake za...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Simba hii ya Okrah tukipata mtu wa kukaba katikati

    Wapinzani wajiandae, MO anafanya kazi sasa naanza kuelewa. Tukipata mkabaji pale ktkt ***** aje na huyo manzoki pale mbele. BEKI QUTTARA achukue nafasi ya ONYANGO SIMBA ITAKUWA MOTOOOOOOOOOOOOOOOO
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kwa hili la Kigwangwala, Simba wanachezea almasi mchangani

    Kigwangwala also known as SAID BAGAILE ni mgodi unaotembea baada ya kuitumikia nchi kwa uadilifu mkubwa na ustadi akiwa naibu waziri kisha waziri sasa ni wakati wa simba sc kumtumia kwa uzuri. Kila siku Bagaile anatoa malalamiko jamhuri ya twitter na ma parody yamemgeuza mdoli punching bag...
  7. JamiiForums Tanzania Je, Vunja Bei na Mo wamejitoa Simba?

    Habari. Katika press ya Leo ya kumtambulisha kocha mpya wa Klabu ya Simba hapakuwepo na matangazo ya Mo Dewji ,Sport Pesa wala Vunja bei. Napata Shaka na hii timu kwamba imepoteza wadhamin wake?
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kuna dalili Simba mwakani pakavu

    Kwa hali ilivyo Simba possibly mwakani pakavu tena. Not sure kama BARBARA atatuvusha mwanamama huyu. Akpan is OK, Je kuendelea kumtegemea MKUDE ni ngumu sisi kutoboa. Tatizo la MKUDE ni mvivu sana imagine Mkude acheze ktkt mnacheza na wydad au Mamelod. Kama SImba wanataka kubalance timu vizuri...
  9. JamiiForums Tanzania Simba SC kutangaza usajili wa Kichuya leo

    Nimemkumbuka hayati Magufuli na usemi wake tunajenga kwa fedha zetu za ndani. Na wao Simba SC wanasajili wachezaji wa ndani kwa fedha za ndani bila tajiri aliyesusa. Leo adhuhuri kwa saa za Afrika Mashariki, Ramadhani Shiza Kichuya atakuwa anatambulishwa kama mchezaji mpya ndani ya kikosi...
  10. JamiiForums Tanzania Thamani ya wazawa yaonekana kwa klabu ya Simba

    Klabu ya Simba imeendelea kuonesha ukubwa wake. Ni jinsi gani wachezaji wazawa inaendela kuwaamini katika kikosi chake na kuwathamini. Thamani yao inakuja kutokana na kupewa kipaumbele cha kwanza ktk utambulisho. Pia nawapongeza mashabiki na wadau wa mpira kwa mapokezi mazuri kwa wachezi...
  11. JamiiForums Tanzania Ili kumaliza ubishani timu gani ina mashabiki wengi kati ya simba na yanga nashauri kiwekwe kipengere cha kuuliza swali hilo kwenye sensa ya Agosti 23

    Najua kipengere cha kuhoji dini kimekataliwa kwa sababu ya unyeti (sensitivity) wake, Lakini huku kwenye simba na yanga haitaleta madhara yoyote. Ni ushauri tuu ili tukate mzizi wa fitna. My take: Mimi ni simba galagazwa
  12. JamiiForums Tanzania Takwimu za wachezaji waliosajiliwa Simba na Yanga hadi hivi sasa

    Wachezaji waliosajiliwa na club ya Simba takwimu za musimu 2021/ 22. Mosse Phiri 13 goal Habibu Kyombo 6 goal Young Africa. Kambole 0 goal. Bernard Morson 3 goal Gael Birigmana 0 goal Nani Kalamba dume katika hizi sajili hadi hivi sasa?
  13. JamiiForums Tanzania Gael Bigirimana wakati yupo Newcastle, Simba ilikuwa na kikosi hiki...

    Haya pimeni wenyewe huyo babu wakati yupo kijana na wenzake vijana walikuwa hawa kikosini Simba...
  14. JamiiForums Tanzania I Sympathize with Habib Kiombo Simba mmemkosea sana Habib Kiombo

    Mimi ni shabiki wa damu wa Dar Es Salaam Young Africans lakini hiki kilicho tokea kwa kijana mwenzetu Habib Kiombo kimenigusa sana. Habib ame twezwa. Anacho fanyiwa Habib ni public humiliation. Anahukumiwa yeye kwa makosa ya viongozi na PR wa simba. Kama kijana anae tafuta maisha yake...
  15. JamiiForums Tanzania Wachezaji wanaosajiliwa Simba ni wale ambao marafiki wa Matola, kwa hiyo Kuna vijipasenti anapata

    Mjini watu wanaishi kwa mbinu, bila kumfukiza Matola, Simba msitarajie jipya. Matola anajua uwepo wake simba haukubaliki, hivyo anakusanya vyake
  16. M

    JamiiForums Tanzania Simba SC 'mnatudharau' sana 'Mashabiki' wenu yaani tunasubiri 'Vyuma' vya maana kumbe mnatushushia 'Garasa' Habib Kiyombo?

    Sasa Habib Kiyombo ana tofauti gani ya Uwezo mdogo kama alionao Yusuf Mhilu? Nani Kawarogeni mpaka leo hii Simba SC ina 'Scouting Team' ya hovyo hivi? Hivi kwanini Viongozi wa Simba SC mnapenda kutufanya Sisi Mashabiki wa Simba SC kuwa ni Madunduna ( Wapumbavu ) sana na labda mnadhani kuwa...
  17. JamiiForums Tanzania Nina shida na makava ya simba na yanga

    Wadau habari za muda huu Nashida na makava ya simba na yanga kwa anaejua machimbo yanapo patikana anisaidie nipo Tunduma 0627380556
  18. JamiiForums Tanzania Mo Dewji usidhani tumesahau na usijisahaulishe uliahidi kuwa Pre Season ya Simba SC ni Marekani

    Ukilifanikisha hili ( likiwa kweli ) naenda Kukusaidia Haja Kubwa Getini Lugalo Barracks Mchana Kweupe mbele ya MP's akina Lydia, Mwita na Clement.
  19. JamiiForums Tanzania Wakala wa uuzaji wa Jumla Cement aina ya SIMBA Arusha

    Salamu Wakuu Kwa muda mrefu sasa nilikuwa na mpango wa kufungua biashara ya kuuza CEMENT kwa bei ya rejareja mkoani Arusha. Wakuu naomba kupata mawasiliano au kuunganishwa na wakala anayeuza CEMENT za Kampuni ya SIMBA kwa bei ya Jumla. Kwa sasa nipo mkoa wa Arusha, hasa ukizingatia pia...
  20. JamiiForums Tanzania IMEISHA HIO: Kuomba msamaha kwa Haji Manara sio taarifa njema kwa Simba waliodhani kwamba atasimamishwa, Wembe ni ule ule

    Tunaendelea tulipoishia! Hapa hafungiwi mtu, Manara ataendelea kuwapelekea simba moto kama kawaida, hizo ndoto za abunuwasi kwamba Manara atafungiwa msahau, Sana sana Manara ataambiwa alipie faini ya milioni 5 na ataendelea na majukumu yake Wananchii !!! Makombe yaendelee!!!
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…