simba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndo sababu ya jina simba kutangulia, kila zinapotajwa pamoja simba & yanga

    Salaam wakuu, wengi hudhani ni mazoea tu, au pengine humaanisha simba ni kubwa kuliko yanga, jambo ambalo si sahih. ukweli ni kwamba, jambo hili limetokana na simba kuzaliwa na yanga, hivo kiprotokali jina la mtoto lazima lianze then la mzazi ndo hufuata, natumai walokua hawajui jambo hili...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Simba walicheza Abo Hamad sio Al Akdood

    Jamani embu haya mambo yakae sawa, watu wa graphics wa simba nafikiri ni vilaza flani hivi slow learners sana team imecheza na Abo hamad ya misri iliyopo daraja la pili siyo al akdood ya saud arabia ila ushindi ni uleulewa wa 6-0 naomba kuwakilisha
  3. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Pre-Season Match: Simba Sc yaua 6-0

    . FT: SIMBA SC 6-0 AL AKHDOOD ⚽️ Phiri 🅰️ Chama ⚽️ Mkude 🅰️ Okrah ⚽️ Kagere 🅰️ Banda ⚽️⚽️ Sakho ⚽️ Nyoni My Take Sakho kuna maelekezo kapewa na Sadio Mane. Tusije kulaumiana
  4. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Coastal Union ni klabu ya kienyeji na inayotumika na Simba pasipo kujijua

    Hii team miaka na miaka mafanikio kwao imekuwa ngumu tofauti na zamani .. Nimesikia kuwa kipa wao Mussa Mbissa ameachwa na wameletea kipa mcomoro.! Unajiuliza Mbissa ameachwa kwa kosa gani? Eti wanadai ameuza mechi ile final ya dhidi ya Yanga iliyoisha kwa 3-3 kisha wakaenda matuta..! Yaani...
  5. R

    JamiiForums Tanzania SoC02 Jinsi harufu ya Simba inavyoweza kukomesha migogoro ya wakulima na wafugaji

    UTANGULIZI Migogoro ya wakulima na wafugaji imekuwa kikwazo kikubwa cha maendeleo vijijini na mahusiano baina ya wakulima na wafugaji katika nchi nyingi zilizo katika ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara. Pamoja na kuwa na juhudi za maksudi za kutatua migogoro hii bado kumekuwa na kukosekana...
  6. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Simba sc yatangaza kuzindua App

    Kupitia mitandao yao ya kijamii timu kubwa Afrika Simba sc umewataka mashabiki wake kujiandaa na tukio kubwa ni lipi hili saa saba kamili mchana.
  7. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Pape Sakho ashinda goli bora la mwaka CAF 2022

    Mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho amefanikiwa kushinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Julai 21, 2022. Tuzo hizo zimetolewa Rabat Nchini Morocco ambapo Sakho alikuwa akiwania nafasi hiyo dhidi ya Gabadinho Mhango wa Orlando Pirates na...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Haji ni pandikizi la Simba aliyetumwa kuja kuivuruga Yanga?

    Kuna mwandishi Kivuyo wa ITV aliwahi kutuonya kuwa huyu ni Simba damu na ni pandikizi limeuja kutuvuruga wana Yanga Sasa yametimia. Kambi imevurugika, mpasuko jangwani kuna wanaosema Yona atoswe, wengine wanasema tumtetee. Klabu imetoka kwenye reli ya pre season imeingia kwenye mgogoro Tuwe...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Bila Simba SC wafuatao wangekuwa wanauza matikiti kariakoo

    1.Haji Manara, huyu alikuja simba amepauka kama katoka ukraine vitani, aliokotwa mitaa ya Lumumba akiwa dalali wa magari na kesi za utapeli Hans Pope akazizima 2. Senzo Mazingiza, huyu alikuja Bongo na suti moja mashavu yamesinyaa leo shavu dodo. 3.Tuisila Kisinda, Tonombe Mukoko, Azizi Ki...
  10. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Tarehe kama ya leo miaka 45 iliyopita, Simba 6-0 Yanga

    Abdallah Kibadeni akaishia kupiga zake hat trick ya kwanza na ya pekee katika derby ya kariakoo. Utopolo mpaka leo wameshindwa kulipa kichapo hiki. Naambiwa baada ya mechi hii, bakora za kutosha zilitembea sana jangwani! Kwahyo sio mbaya wakati tunaenda mbele tusisahau na tulikotoka, Utopolo...
  11. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari vyavamia kambi ya Simba SC

  12. Ghazwat

    JamiiForums Tanzania Pre Season | International Friendly Match | Ismailia SC 1-1 Simba SC

    Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi Simba SC, leo Julai 17, 2022 imecheza mchezo wake wa kwanza wa Kimataifa wa kirafiki (International Friendly Match) dhidi ya Ismailia SC ambayo inashiriki Ligi Kuu nchini Misri ambapo mchezo huo umekwisha kwa sare ya kufungana bao moja kwa moja, bao la Simba SC...
  13. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Simba acheni uongo, jana mmecheza na kikosi cha madereva taxi wa timu ya Ismail, timu kuu ilicheza ligi kuu

    Ismailia Wamecheza Jana mechi ya ligi ya kwao, leo mnawapiga fix mazuzu wenu mlionunua klabu yao milele kwa bilioni 20 za kwenye bango,,Eti mmecheza nao mechi. Nyieeee, Yaan Jana wacheze mechi ya ligi tena away,,kisha leo mcheze nao mechi ya kirafiki? Kuweni Serious, Waambieni ukweli Wafuasi...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Dereve teksi aliyeifunga simba aliwahi cheza soka la kulipwa

    Anaitwa Jean Morel poe ni mu ivory coast ana miaka 25 aliwahi kucheza soka la kulipwa belarus, kwa sasa anafanya kazi za u dereva teksi katika jiji la ismailia na jana alikuwa mojawapo ya madereva teksi na wasafisha uwanja waliocheza na simba na akafunga goli
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Simba SC: Mimi siyo Muumini wa Kuaminishwa 'Kipropaganda' na Matokeo ya 'Mechi Mazoezi' huko Kambini Misri

    Timu haina hata Wiki Moja tokea iende Kimafungu huko Ismailia nchini Misri na hata Kocha Mkuu hajajuana na Wachezaji wake halafu mnalazimisha Mechi Mazoezi ya Timu ya Vijana ya Ismailia na kutoka nayo Sare mnakimbilia 'Kuposti ' Matokeo Mitandaoni na kuanza Kujisifia. Naipenda sana Simba SC...
  16. N

    JamiiForums Tanzania La Wydad Simba day halitawezekana, leteni wengine wakali ndani ya top 20 za CAF

    Yes mmetuma barua ya maombi tarehe 8 /08 waje simba day lakini haihitaji kuwa rocket scientist with PhD kujua kwamba hilo haliwezekani kwani majamaa wana super cup vs Berkane kama sikosei ni tarehe 11/08 Ligi ya Misri ndiyo inaelekea kuisha sidhani kama kuna team itapatikana huko maana lazima...
  17. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Hizi kelele za Pre season wala hazina sababu, Msimu uliopita Simba walifanya pre season lakini wameambulia kombe lipi ?

    SIMBA SC NA PRE SEASON 2021 Tujikumbushe kidogo mechi za kirafiki kwa Simba SC na Pre season tukiachana na ile waliyopigwa za kutosha huko ughaibuni ila wakaficha Agosti 21, 2021 FA Rabat Simba 2-2 Rabat (Dilunga, Sakho) Agosti 26, 2021 Olypique 1-1 Simba SC (Pape Sakho) Septemba 8, 2021...
  18. M

    JamiiForums Tanzania SI KWELI CEO wa Simba kufungiwa miaka mitano 5 au maisha kujihusisha na mpira

    CEO wa Simba sports club Barbara Gonzalez kuna tetesi akafungiwa miaka mitano 5 au maisha kujihusisha na michezo haswa football Hii imetokea baada ya yanga kupeleka malalamiko TFF kuhusu tuhuma alizozitoa kwa team hiyo inapokea wageni ambao Simba ilikua ikicheza nao champion league na...
  19. M

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mohammed Adil Erradi atua Dar kimyakimya kujiunga na Simba SC kama kocha mkuu

    Kulikuwa na uvumi kuwa klabu ya Simba kuachana na kocha wa klabu hiyo, Pablo Franco Martín kutokana na mfululizo wa matokeo mabovu ya timu na kufungwa na Yanga katika nusu fainali la kombe la FA. Kumekuwa na taarifa kuwa Mohammed Adil Erradi, amefika Dar kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mabosi...
  20. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Simba Sc kusajili wachezaji wenye kasi ni mipango ya Nusu Fainali

    Ukiangalia uwezo wa timu zote zilizowahi kuitoa Simba Sc robo fainali,ni timu zenye kasi sana. Orlando Pirates na Kaizer Chiefs. Angalia pia timu zinazopenya nusu fainali,hakuna timu inayocheza slomo. Usajili uliofanywa na Simba kwa Augustine Okra na Phiri ikiwemo anayetajwa kusajiliwa Okwa ni...
Back
Top Bottom