Simba imesajili vizuri
Upande wa Beki sio mbaya sana, Akpan atamsaidia Kanoute. Mhm apunguze UZITO. PHIRI is the best kwa sbb ana track mpira na anakimbia kwa haraka naye aongeze mazoezi ya kupunguza uzito.
Mzungu DEJAN yule hapana kwa soka la Afrika hatatusaidia mfano Jana SImba wakicheza...