shinyanga mjini

Shinyanga Urban District is one of the eight districts of the Shinyanga Region of Tanzania and includes the city of Shinyanga. It is bordered to the north by the Mwanza Region, to the south by the Shinyanga Rural District, to the east by the Kishapu District, and to the west by the Kahama District.
According to the 2002 Tanzania National Census, the population of the Shinyanga Urban District was 135,166. [1]

View More On Wikipedia.org
  1. GE2025 Katambi: Samia ameondoa 'Omba Omba' Mtaani, achana na wachawi wasiokutakia mema

    Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mkoani Shinyanga na Naibu Waziri, Ofisi ya waziri Mkuu (Kazi, Vijana na watu wenye ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi amesema ndani ya miaka minne ya Uongozi wa serikali ya awamu ya sita mapinduzi makubwa yamefanyika kwenye uwezeshaji wananchi...
  2. GE2025 Salome Makamba afyekelewa mbali na wajumbe, ubunge viti maalumu, Shinyanga mjini

    Huu mwaka mtamu sana, Hawa covid-19 ,walikuwa na jeuri aswaa. Huyu Lissu alipodai reforms alimtukana sana bungeni Ili aonekane. Na alijiapiza Kwa jeuri kuwa atarudi bungeni. Leo amefyekelewa mbali na wajumbe wa CWT. Bunge ataliona kwenye TV. Nawasubiri wajumbe wafyekele mbali hawa watu, na...
  3. GE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Shinyanga Mjini, Abdulaziz Sakala, arejesha Fomu ya Kugombea Udiwani Kata ya Mjini

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini, Abdulaziz Said Sakala, leo Julai 3, 2025, amerejesha rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mjini kupitia CCM, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025...
  4. R

    GE2025 Emmanuel Ntobi achukua fomu ya kuwania ubunge Shinyanga Mjini kupitia ACT Wazalendo

    Mwanachama mpya wa ACT-Wazalendo, Emmanuel Ntobi leo Jumatatu, Juni 30, 2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama kugombea ubunge wa Shinyanga Mjini Ntobi aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Shinyanga aliyehamia ACT-Wazalendo mwezi huu...
  5. L

    Tanesco boresheni maslahi ya vibarua Shinyanga mjini

    Habari TANESCO boresheni maslahi ya vibarua shinyanga mjini kwa maana wanateseka na kupitia changamoto ngumu sana kwa sasa ni miezi miwili huu wa tatu hawajalipwa wengi wao huacha kazi kwa kuamini wamezulumika kazi ni ya nguvu nyingi inapaswa wale lakini watakula nini ikiwa hawana pesa mamlaka...
  6. Tunatoa huduma za kutengeneza kompyuta. Tupo Shinyanga Mjini

    CHUKUA HII🔥: Je, Unatafuta Fundi Laptop & Desktop na smartphone ambaye anatatua Matatizo haya? TUSTARY GRAPHIC DESIGNER AND WEB DEVELOPER. Najikita kuhakikisha nafanya Uchunguzi (Diagnosis) ya Tatizo kwenye Laptop/ Desktop yako na smartphone 📍Je mshale Wa kwenye kompyuta(cursor) umepotea...
  7. Shinyanga Mjini ni kelele tu za bodaboda zilizotobolewa exhaust

    Yani imekuwa kero kwa baadhi ya wananchi tunao ishi katika huu mji, yaani bodaboda zinatobolewa exoz yaan ni vijana kushindana kupiga vibuyu tu. Ukiaa kidogo maraa paaaaaaa! Ukigeuka tu kidogo tena mara puuuu puuuuu, yaan kiukweli imekuwa ni kero na binafsi nashindwa kuelewa vyombo vyetu vya...
  8. M

    Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Bwana Abui, unachochea udini ndani CCM

    Mwenyekiti CCM wilaya Shinyanga Mjini, Bwana Abui, unamchafua na unatumia jina la Mh. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano vibaya kwa maslahi ya nani? unaeneza siasa za udini kwamba Mwk wa CCM taifa anataka waisilam wachaguliwe kwa asilimia kubwa ili wampitishe 2025 kwa kura nginyi...
  9. Shinyanga: Basi la shule laua Mwanafunzi muda mfupi baada ya kumshusha

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Dereva wa gari la shule ya Msingi Samuu, Kassim Said Mahona (40) kwa kusababisha kifo cha mwanafunzi wa shule hiyo Godlight Chisawilo (04) kwa kumgonga na gari la shule hiyo Mjini Shinyanga. Habari kutoka eneo la tukio zinasema mwanafunzi huyo...
  10. Ofisa mifugo mbaroni kumkashifu Naibu Waziri Katambi

    OFISA Mifugo Manispaa ya Shinyanga, Velan Mwalukwa, ametiwa mbaroni kwa kumtolea lugha chafu Mbunge wa Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi, ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, na Ajira. Mwalukwa, ametiwa Mbaroni jana wakati wa mkutano wa Mbunge Katambi, Kata ya...
  11. Shinyanga: Mbunge wa Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi atembelea mnada wa ng'ombe wa Old Shy

    P. Katambi; mbunge wa Shinyanga mjini leo 18/07/2021. Alitembelea mnada ng'ombe wa old shy. Sikuona dhumuni la kuzuru hapo mnadani, zaidi ya kuwanunulia soda baadhi ya mwanachi hapo mnadani. Na huku wakimfulahia bila kujua changamoto zinazowakabili.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…