shida ya maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania KERO Maji jijini Mwanza imekuwa kero sugu, wanafunzi tunapata shida sana

    Maji huku Mwanza imekuwa ni kero kubwa sana, wanachuo tunaishi kwa tabu sana tunapata shida kubwa ya maji ilihal tuko karibu na ziwa Victoria Sijui mnatusaidiaje kuepukana na hili. Tunalipia bili za maji kwa wakati lakini bado maji kuyapata ni changamoto. Ni siku ya 4 sasa maji hayatoki
  2. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 DAWASA: Usambazaji wa maji Kinondoni wafikia 97%, Je, ulipo bado kuna shida ya maji?

    Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Dar Es Salaam(DAWASA) @dawasatz Mhandisi Mkama Bwire amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kusaidia upatikanaji wa maji katika Wilaya ya Kinondoni kufikia asilimia 97%. Akizungumza katika Kikao Kazi cha DAWASA na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania KERO Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: Wananchi tumechoshwa na shida ya Maji nchini

    Mh Rais Samia Suluhu Hassan Nakusalimia kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Awali ya yote nianze kwa kukutakia uzima na afya katika kutekeleza majukumu yako. Baada ya salamu hizo nije katika ujumbe ninaokusudia kukuandikia. Ni hivi ndugu Rais, WANANCHI HATUNA MAJI YA UHAKIKA na...
  4. K

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Uongozi wa Mkoa wa Mbeya unaendelea kudhibiti Kipindupindu lakini Wakazi wa Isyesye hatuna Huduma ya Maji kwa wiki sasa, hii inarudisha nyuma juhudi

    Hadi leo Januari 21, 2025, maeneo ya Isyesye hapa Jijini Mbeya haujapata maji kwa wiki moja sasa, tumetoa taarifa kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (MBEYA UWSA) lakini hatuoaji majibu yanayoeleweka. Hii sio mara ya kwanza, kila inapotokea kunakuwa na ugumu kwa kupata majibu...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Aweso awaasa DUWASA, Msizoee shida za wananchi

    Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso, amewaasa wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kuacha kuzoea shida za wananchi, na badala yake kuzitafutia ufumbuzi ili wananchi wapate huduma ya Majisafi ya uhakika. Waziri Aweso amewaasa wafanyakazi hao wakati wa Mkutano...
  6. M

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Wananchi wa Unyianga Singida na shida ya maji

    Sisi Wananchi wa Kijiji cha Unyianga kilichopo Kata ya Mtamaa, Manispaa ya Singida tunalia kukosa huduma ya maji safi, ni miaka kadhaa sasa tangu ‘Danganya Toto’ ya kujengewa Tenki la Maji na kuwekwa mabomba ifanyike lakini hadi leo hatujawahi ona maji yakitoka. Tulijengewa tenki la maji na...
  7. GenuineMan

    JamiiForums Tanzania KERO Dawasa kwanini Hakuna Maji Maeneo ya Kimara, na hamtoi taarifa Yoyote

    Ni karibu mwezi sasa maji ya dawasa yanatoka kwa machale maeneo ya kimara. Yaani, yanatoka kwa masaa 24, baada ya hapo hayapo mpka baada ya siku tatu ndio yanatoka tena. Mfano mara ya mwisho mabomba kutiririsha maji ni siku ya jumanne, hadi leo hakuna kitu. Na hii hali ina karibia mwezi sasa...
  8. K

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Rais Samia alivyokuja Geita tulipata maji, tangu kaondoka shida imerudi palepale

    Mimi Mkazi wa Geita kwa muda mrefu sasa mkoa wetu umekuwa na changamoto ya mgao wa maji. Maji yamekuwa yakitoka mara moja kwa wiki. Hii ni kwa Mtaa wetu na maeneo mengine mengine. Kila tukiuliza shida ni nini viongozi wetu wamekuwa wakitoa visingizio. Kila mara wamekuwa wakisema kuwa wapo...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tabata Mawenzi pamekuwa na shida ya maji zaidi ya siku 10 mpaka sasa, DAWASA Tabata hawajatoa ufafanuzi kama ni mgao wa maji umeanza

    Mapato yanayopatikana kwenye malipo ya maji si yangeboresha upatikanaji wa maji, na kama inawezekana wafanye utafiti wa kuchimba visima vikuu vya kila wilaya kuliko kusubiri maji ya mto Ruvu maana maji tunayachota yana chumvi nyingi hayafai kwa afya ya tumbo
  10. M

    JamiiForums Tanzania Shida ya maji yaanza tena kama ilivyo ada katika miezi hii ya September, October na November

    Kama ilivyo kawaida, inapofika miezi ya 9, 10 na 11 Shida ya maji huwa kubwa katika jiji la Dar es salaam. Cha ajabu jili jambo lipo kwa miaka nenda rudi, lakini Serikali hii dhaifu ya CCM, isiyojielewa, iliyoshindwa kusolve ishu za msingi kama maji halafu inadhani bado ina legitimacy mbele ya...
  11. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Aibu kubwa: Mkuu wa nchi yupo Morogoro yenye shida ya maji kila kona. Lakini hajatamka neno moja juu ya mradi wa Kidunda

    Hii ni dhahiri kuwa hayupo serious na maisha ya wananchi. Zaidi ya kampeni za chinichini alizoanza kwa kulaghai wananchi ili wajazane kila anapopita. Mradi wa Kidunda una umuhimu sana kutatua shida za maji kwa mkoa wa Morogoro. Nilitegemea kiongozi makini aombe msamaha kwa kutotekeleza mradi...
  12. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Barua ya Wazi Wizara ya Maji

    Ndgu waandishi wa habari, Wizara hii ina historia kubwa. Iliwahi kushikwa na wakubwa na watu maarufu. Haijawahi kuboronga. Haijawahi kutokea migongano ya kimaslahi. Kwa maana hiyo haijawahi kuwa maji yapo na wananchi wanahangaika kwa sababu za kisiasa wakakosa maji. Hili jambo sasa lipo.
  13. P

    JamiiForums Tanzania HIVI RAIS ANAJUA KAMA KUNA SHIDA YA MAJI DAR?

    Katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya wananchi serikali ina husika moja kwa moja kuhakikisha watu/wananchi wake wanapata maendeleo endelevu. Huku wananchi tukiwa tunajitutumua kuhakikisha tunaishi vizuri, ni vyema serikali nayo ikatoa kwa ubora huduma za msingi kwa wananchi wake...
  14. mirindimo

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mafundi wa DAWASA wanachepusha maji maeneo ya Kimara Temboni

    Kumekua na tatizo la maji kwa zaidi ya wiki sasa maeneo ya Kimara Temboni kwa Msuguri. Taarifa zilizopo ni kuwa kumekuwa na tabia chafu ya watumishi wa DAWASA kuchepusha maji kwa nia ya kufanya biashara na kujiingizia kipato. Shida ya maji imejitokeza tena kipindi hiki ambapo eneo kubwa la...
  15. Doto12

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Kinyerezi kuna shida kubwa ya maji, group la DAWASA WhatsApp halifanyi chochote kutatua kero hii

    Group limeundwa na watu wa DAWASA wenyewe cha ajabu hawasikilizi shida za wananchi. Mh. Waziri anahangaika huku na kule lakini wafanyakazi wa DAWASA wachache wanafanya masihara na maisha ya wananchi. Rais anahangaika huku na kule kuna wapuuzi wamekaa kwenye kiyoyozi wanashika videvu. Mh...
  16. Nyendo

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Maji Malamba Mawili ni mgao mkali, baadhi ya Wakazi walio kwenye miinuko wana miezi hawapati maji kutokana na kasi ndogo ya maji. DAWASA wafafanua

    Malamba Mawili maji ni ya mgao yanaweza maliza wiki 2 bila kutoka na yakitoka yanatoka usiku wa manane yakitoka kidogo kidodo, yanachirizika hayana kasi hata kidogo kiasi ambacho baadhi ya watu ambao nyumba zao zimepo kwenye miinuko kidogo maji hayafiki kabisa. Kuna baadhi ya watu wana miezi...
  17. Mzee Saliboko

    JamiiForums Tanzania Karibu wiki nzima Kimara hatuna maji. Shida nini?

    Karibu wiki mbili sasa tunatembelea ringi maji hakuna mitaa ya Kimara. Shida ni nini Dawasa?
  18. W

    JamiiForums Tanzania KERO Morogoro: Wakazi wa Maeneo ya Manyuki mwisho tunateseka kwa Shida ya Maji, yanatoka mara 1 tu kwa Wiki.

    Wana morogoro maeneo ya manyuki mwisho tuna teseka na Maji ya Serikari Maana kuna mambomba lakin maji yana toka jumanne tu kila Week Licha ya kutoka mara 1 bado yanakuwa hayana nguvu kiasi kwamba yanashindwa kupanda kwenye Matenki na kutulazimisha kubebelea Ndoo na Madumu Sasa hii imekuwa...
  19. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Siku ya maji duniani. Ujenzi wa lile bwawa la vidunda la kumaliza shida ya maji Dar umefikia wapi?

    Leo ikiwa siku ya maji duniani. Lile bwawa walilisema litamaliza shida ya maji Dar na Pwani ujenzi wake umefikia wapi?
  20. Annie X6

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Waziri wa Maji jitokeze huko uliko uagize Tabata Kinyerezi wafunguliwe maji

    Mimi kama mama. Naomba waziri waa mbie waache visa vyao, wanapogombana wao kwa wao anayeumia ni mama. Wasichana wadogo wanabakwa, wakinamama tunadhalilika. Jamani tuoneeni huruma mpate uongofu wa Mungu. Hawa watu waache kumtesa mwanamke. Imetosha baasi. Haiwezekani nadamka asb kuchota maji...
Back
Top Bottom