sheria batili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pascal Mayalla

    Bunge linatimiza wajibu wake kikamilifu utungaji wa Sheria na kuismamia Serikali?. Nani kati Bunge na serikali anayetutungia hizi Sheria Batili?!

    Wanabodi Leo naendelea na zile makala zangu elimishi kuhusu Ijue Katiba ya JMT kwa jicho la mtunga Katiba, nikiliangazia Bunge la JMT. Kwa mujibu wa Ibara ya 62 ya katiba, Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili, yaani Rais na Wabunge. Hii maana yake, japo Bunge...
  2. Pascal Mayalla

    Bunge letu, Bunge Kibri, Jeuri? Linawezaje kutunga tena Sheria batili? Limeamriwa kuondoa ubatili huo, linapata wapi jeuri ya kuidharau Mahakama?

    Wanabodi, Hii ni Makala Yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo. Angalizo: Hii Mada ni Swali na Alama ya Kuuliza iko wazi na sio Statement!. Nimeanza hivyo kwasababu mimi mwenzenu niliwahi kuitwa Bungeni Dodoma kwa kutuhumiwa kulidharau Bunge, kufika kule kule Mbunge aliyenishitaki kwa Spika...
  3. C

    KERO Maadhimisho ya wiki ya sheria Shinyanga wanaadhimisha kwa kuvunja sheria wakipiga muziki kwa sauti ya juu hadi usiku huu

    Hii nchi unaweza kudhani watu wamesoma basi wana akili timamu, lakini la hasha! Kitendo cha hawa watu wa sheria kupiga muziki mkubwa kiasi cha kuondoa utulivu kwa jinsi muziki ulivyo mzito, kinaashiria aina ya watu waliojaa ukanda huu wa Afrika ni wa aina gani. Hapo inapigwa miziki ya siku...
  4. Pascal Mayalla

    Je, Bunge Litimize Wajibu Wake KikamiliIfu Ikiwemo Kutunga Sheria, Au Liendelee Kuwa "Rubber Stamp" ya Kupitishia Miswada ya Serikali Bila Kuhoji?

    Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Nipashe. Wiki mbili zilizopita kwenye safu hii niliandika mada ya kumpongeza Spika wa Bunge, Dr. Tulia, kwa kazi nzuri aliyoifanya kwenye Mabunge ya Dunia, IPU kwa kuwakoromea maspika wenzake wa nchi za mabeberu, kuziburuza nchi za Afrika...
  5. Mhafidhina07

    Sheria zinapotungwa na watu wanaojua kusoma na kuandika bali siyo critical thinkers madhara yake huwa makubwa mbeleni

    Bunge ni chombo muhimu kwa maslahi ya pana ya Taifa hususani katika kuweka sheria na utaratibu wa kanuni/sheria za nchi,maadili ya viongozi na usimamizi wa chama/serikali tunapofanya mzaha katika kutathmini/kuweka vigezo vya mtu kugombea nafasi za ubunge tutambue kuwa tunawasaliti na kuwaumiza...
  6. Pascal Mayalla

    Je, Bunge Linaidharau Mahakama na Kuwadharau Watanzania? Kitendo cha Bunge Kutunga Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kinamaanisha Nini?

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la leo. Naomba kuanza kwa msisitizo wasomaji wa andiko hili, waione alama ya kuuliza, (?) kwasababu mimi mwenzenu, niliwahi kuitwa Bungeni kwa kutuhumiwa kuwa nimetoa statement kuwa "Bunge Linajipendekeza kwa serikali", kufika Dodoma...
  7. Z

    Je, kisheria kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na wenzake inaweza kufufuliwa? Ili kesi hiyo ife inachukua muda gani?

    Nauliza kama kisheria inawezekana kufufua kesi ya jinai iliyokuwa inamkabili Mbowe na wenzake. Je, ili kesi ife inatakiwa ichukue miaka mingapi?
Back
Top Bottom