NILIME MIMI SHAMBANI
1.............
Nilime mimi shambani, jua kali linawaka,
Majasho yanitokeni, mwili wote umechoka,
Kutwa ninalinda nyani, wanasumbua hakika,
Nilime mimi shambani, bei wanapanga wao.
2............
Ng'ombe wa bwana Shabani, wala mazao shambani,
Yanipasa kulindeni, mawio na...