serikali ya rais samia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PostGE2025 Wanaharakati Kenya wakamatwa nje ya ubalozi wa Tanzania Jijini Nairobi wakitaka uwajibikaji serikali ya Rais Samia juu ya vifo vya raia

    Kundi la wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu nchini Kenya limekamatwa leo Desemba 9, 2025 nje ya Ubalozi wa Tanzania jijini Nairobi wakati wakikabidhi ombi linalopinga rekodi ya Rais Samia Suluhu kuhusu ukandamizaji wenye vifo tangu mwishoni mwa Oktoba, na kutaka uwajibikaji kutoka kwa...
  2. L

    Serikali ya Rais Samia Inawapenda na kuwajali Sana Vijana na Imefanya uwekezaji Mkubwa sana katika ustawi wao

    Ndugu zangu Watanzania, Kama kuna kiongozi anapaswa kushukuriwa ,kuungwa mkono ,kupendwa ,kulindwa ,kupiganiwa na kutetewa na vijana Wote wa Nchi hii. Basi kiongozi huyo siyo Mwingine bali ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri...
  3. Just Pray

    PostGE2025 Dkt. Ayoub Rioba wa TBC anasema CNN na wengine walitakiwa kuripoti Serikali ya Rais Samia ilivyopunguza vifo vya mama na mtoto

    Ama hakika uchawa mbaya sana. Kupitia kipindi cha Jambo Tanzania Cha TBC leo Novemba 25, 2025 mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania anasema vyombo vya habari vya magharibi vilitakiwa kutusaidia kuripoti kuhusu serikali ya Rais Samia kupunguza vifo vya mama na mtoto na si yaliyotokea...
  4. R

    PostGE2025 Heche : Serikali ya Rais Samia ndiyo muasisi wa Mauaji, utekaji na ubakaji

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokradsi na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizunguma leo Novemba 19, 2025 ameituhumu Serikali iliyopo madarakani ya Rais Samia kuwa ndio iliyo ratibu na kuasisi Mauaji, utekaji na ubakaji kwa matukio yaliyotokea na yanayotokea nchini
  5. DuaZaMama

    PostGE2025 BAKWATA na taasisi za kiislamu zampongeza Rais Samia kwa kushinda Uchaguzi, walaani vurugu

    Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za Kiislamu nchini, limelaani vikali vitendo vya uhalifu vilivyotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, na kuisihi serikali kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo na vinara wa machafuko...
  6. Just Pray

    GE2025 ACT Wazalendo: Serikali ya Rais Samia imekosa uhalali wa kisiasa kuendelea kuongoza Tanzania, uchaguzi wa Oktoba 29 ni pigo kwa Demokrasia na taifa

    MSIMAMO WA ACT WAZALENDO KUHUSU MWENENDO NA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU 2025 Chama cha ACT Wazalendo kupitia kikao cha Kamati ya Uongozi Taifa kilichoketi 7 Oktoba 2025 kimefanya tathmini ya kina kuhusu mwenendo na matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025 ambao umekuwa pigo kubwa...
  7. tonicimmobility

    Mradi wa maji uliokwama kwa miaka 11 wakamilishwa na Serikali ya Rais Samia

    Chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mradi wa Maji wa Same–Mwanga–Korogwe ulianza rasmi mwaka 2014 baada ya utafiti wa awali kuanza mwaka 2006, lakini ulikwama kwa takriban miaka 20 kutokana na changamoto za kifedha, usimamizi, na mabadiliko ya mikataba. Soma pia: Rais Samia azindua Mradi wa...
  8. J

    VIDEO: David Kafulila, Ezekiel Kamwaga, Maggid Mjengwa na Said Miraji wachambua mambo makubwa ya nchi yakiwemo ya H.Polepole

    https://www.youtube.com/live/Tg4xJr-XGag?si=qkV33iiPHQZYvpad Na. Mwandishi wetu. Katika mjadala wa kitaifa uliofanyika kwenye Jukwaa la Wachambuzi, David Kafulila – Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPPC) – alibainisha kuwa maendeleo ya taifa lolote hayawezi...
  9. M

    H Polepole: Serikali ni kama nyumba isiyo na mwenyewe

    Balozi msitaafu Humphrey Polepole amewaomba watanzania wasimuhukumu kwa kushindwa kutoa matokeo mazuri kwenye kazi yake ya Ubalozi wa Tanzania nchini Malawi na baadae nchini Cuba kwa sababu alikuwa hapati ushirikiano wa kutosha kutoka kwa watendaji wa Serikali ya Rais Samia kwani wengi...
  10. R

    Wazo pana la mradi mkubwa wa kukuza uchumi kwa Serikali ya Rais Samia: Kagera ijengwe SGR Mwanza to Bukoba

    Utakuwa mradi wa fungua uchumi kanda ya Kagera....wa mizigo ya Uganda, Rwanda, Burundi to Dar es salaam Port by SGR
  11. Nyani Ngabu

    Al Jazeera yazidi kuikalia kooni serikali ya Rais Samia

    Heko tele ziende kwenye kituo cha Al Jazeera kwa kuendelea kuyamulika yanayoendelea Tanzania. Jana/ leo wamerusha habari za Boniface Mwangi kutekwa na kuteswa na vyombo vya usalama vya Tanzania. Kama bado haijatokew basi muda si mrefu itatokea. Serikali ya Samia itakuja kukifungia kituo cha...
  12. Waufukweni

    PreGE2025 John Heche: Serikali ya Rais Samia imetumia TSh. Bil 571 kwenye matumizi yasiyo na tija

    Akirejea kwenye ripoti ya CAG Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche asikitishwa na matumizi ya bilioni 571 kwenye mambo yasiyokuwa na tija. Uwasilishaji wa ripoti ya CAG > Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27, 2025
  13. Waufukweni

    PreGE2025 Mbunge Munde: Watakaosimamia Uchaguzi sio Wakurugenzi. Rais Samia amefanya 'Reforms' za kutosha kuelekea Uchaguzi

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Munde Tambwe, ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita kwa kusikiliza na kutekeleza maoni ya wananchi kuhusu reforms za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special...
  14. technically

    Serikali ya Rais Samia nunua magari haraka kusaidia wanafunzi jiji la dar es salaa

    Hivi hii kalaa ya watoto kuamka ndani saa9 na kurudi nyumbani saa 4 usiku serikali haioni aibu? Katika majiji yote makubwa hasa Dar, Mwanza, Arusha na Mbeya watoto wanateseka Sana! Watoto wananyanyaswa San Watoto wa kike kushikwa shikwa kwenye magari ya umma, kudharirishwa, kunyanyaswa na...
  15. GENTAMYCINE

    Naomba kujua faida ambayo Upuuzi wa Mwijaku kutamba Mitandaoni huku akionyesha Dola Feki kila mara

    Najua hawezi Kuguswa kwakuwa tayari anatumika na Myemeni, ila endeleeni tu Kulea huo Upuuzi wake mtanikumbuka!!!!
  16. milele amina

    RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

    Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kuacha kuingiza siasa katika mambo yanayowahusu binafsi hasa katika Afya kwani hazitawasaidia badala yake zitawachelewesha na pia kuwa na madhara zaidi. Akizungumza hivi karibuni na wanachi wa Temeke jijini Dar Es...
  17. GENTAMYCINE

    Usalama wa Taifa kuna Waziri mmoja Mwandamizi Serikali ya Rais Samia tafadhali anzeni Kumchunguza hasa

    Ni Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu. Nimemaliza.
  18. Waufukweni

    PreGE2025 Tundu Lissu: Uhusiano wa Mbowe na Serikali ya Rais Samia umetugharimu

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameweka wazi sababu za kuwania nafasi ya uenyekiti wa chama hicho ngazi ya taifa na kutoa maoni yake kuhusu changamoto za kisiasa nchini. Lissu ameyasema hayo wakati wa mahojiano ya hivi karibuni na kituo cha habari cha...
Back
Top Bottom